Hbr za kupeluz wana jf! Najtokeza kwa mara ya kwanza ktk jukwaa hili nikitafuta mwanamke wa kumuoa. nina miaka 33, nina diploma ya marketing, muajiriwa, mkrito,mtulivu, mcha Mungu.
Sifa za...
About Me:
-28 years of age.
-Kurya.
-176 cm urefu.
-Maji ya kunde.
-Degree holder currently.
-Christian.
-Sijawahi kuoa.
-Sina mtoto.
Awe:
-25-35 years of age.
-Kabila lolote.
-Elimu at...
Wakuu mimi nimehamia Tabora kama wiki 2 ila nimeachwa na mpenzi wangu alivyoona nimejiunga na jeshi, natafuta marafiki wa kike wa kupeana kampani.
Kwa wale waliopo tabora alie tayari naomba ani pm.
Anayejitambua mwenyewe upendo wa dhati mfupi wastani na Kwa ambaye yupo tayar naomba anichek pm ili tuweze kuongea zaidi na awe anaishi dsm karibu na maeneo ya Mikocheni.
Wakuu nawashukuru kwa uwepo wenu.
Nimerudi hapa kwa mara nyingine kutoa mrejesho wa uzi wangu niliopost hapa kutafuta rafiki na Mume.
Kwanza, ninamushukuru Mungu kwa yote. Pili ninashukuru...
This goes to every Love connect member.
Not everyone that you see in a relationship is happy and comfortable. Many are in pain, they're stressed, ever in regrets, tears, torture, they have...
Salam wana Love connect.
Najitokeza kwenu kutafuta msichana/ mwanamke mwenye vigezo kwajili ya kuwa nae kwenye mahusiano ya kiutu uzima:
Umri:Miaka 23-40.
Rangi:Mweupe /maji ya kunde...
Kuna uzi nilipost hapa kutafuta mke wa kuoa, yule dada alikuwa na vigezo vyote nivitakavyo but hakuwa serious kwa sababu yeye aliniambia atakuwa tayari kuolewa Mwakani, wakati mimi nahitaji kuoa...
Habari Wana Jamii Forums.
Kama title inavojieleza ni kuwa mie ni mwanaume mwenye miaka 32 na nahtaji mwanamke wa kuanza naye
maisha ya familia(mke na mme). Elimu yangu ni bachelor degree na ni...
NATAKA KUOA:
Naogopa majaribu, kuoa nimenuia.
Kwa kukwepa maswahibu, yaliopo kwenye ndoa.
Nimepanga taratibu, sifa za anae faa.
Natafuta wa kuoa, mdada alo na sifa.
Namtafuta bubu, awe na kiziwi...
Habari za uzima wakuu wa L-connect.
Mimi ni kijana ofcourse, age >24 and <27.Nahitaji mwanamke mrembo kutoka jamiiforums, umri wake uwe si zaidi ya miaka 28 na usipungue miaka 18.Napendekeza wote...
Mi ni mdada wa miaka 32, natafuta marafiki wanaojitambua wa jinsia zote wa kubadilishana nao mawazo wawe
na umri kuanzia miaka 33 na kuendelea.
Tuwasliane kwanza kwa Email...
Habarini mimi ni kijana nina miaka 40. Nina watoto wakiume watatu ni mfanyakazi wa serikali na pia ni mfanyabiashara.
Niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita.
Tulishindwana na bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.