Natafuta girlfriend ambaye atakuwa mke wangu mtarajiwa, kiufupi awe na size yoyote ila asiwe mfupi sana wala mnene sana, rangi yoyote, sichagui dini wala kabila, umri kuanzia 18-23. Ikiwa...
Habari wana jf
Mimi kijana wa miaka 27 naishi dsm na nimeajiriwa na kampuni moja ya ujenzi.
Natafuta mwanamke wa kuoa kwa sasa umri wake usiwe chini ya miaka 20,haijalishi km ameajiriwa au la as...
:A S 100:Naitwa ...........
ninamiaka 27, ni-naelimu ya stashada(Ordinary diploma) ktk field ya engineering.
natafuta msichana/mwanamke
sitamkagua vyeti kujua ana elimu kiasi gani bt uelewa...
Mi ni mvulana wa 26yrs,urefu futi 5.5,ni Muslim, Elimu Bachelor,nimfanya kazi na naishi Dsm,
Natafuta mke half caste mweny elimu ya kidato cha 4 au 6,
Urefu atleast futi 5.4 - 5.6, awe...
Natafuta msichana wa kuwa mchumba wangu then tukifikia muafaka nitamuoa
Umri 18-25
Mrefu
Black beauty
Elimu angalau form four
Tabia nzuri
Contacts me soon
Habarini wadau wa jukwaa hili pendwa, napenda kutumia fursa hii kwanza kuwajulisha kuwa mi ni mgeni au unaweza sema kuwa ni mpya katika jukwaa hili
Jamani kama kichwa cha habari hapo juu, natafuta...
Nahitaji marafiki wa kike ambao ni single wenye muono wa kimaisha,no matter mwanfunzi wa chuo,biashara au mfanya kazi ila wawe watumiajia wa whatsapp...pm me.
Mimi ni kijana wa miaka 35, Nimejiajiri, na nayamudu maisha yangu.
Kipato changu ni cha wastani na nashukuru maisha yangu si mabaya.
Natafuta mwanamke mwenye umri huo, mwenye moyo mpweke...
Mi ni kijana mtanashati umri wangu ni miaka 26 natafuta mchumba wa kuoa umri mwisho miaka 25 kushuka chini sifa kuu heshima,upendo,huruma na uvumilivu pamoja na umbo namba 8 mwenye sifa hzo...
Je wewe ni mdada mkristo, uliye tayari kupima UKIMWI, hata kama una mtoto asizid mmoja, umbo MNENE KIASI na unaishi Dar es Salaam. Kama ndivyo basi ni-PM nikuunganishe na kaka wa miaka 35...
mm ni mvulana wa miaka 24,naitaji girfriend ambaye cku za uson awe wife.Maelezo zaid 2kutane on 0767_877 421 au 0659_443 320.
Kaz kwenu wadada cfa-: _maj ya kunde au wait co mbaya...
Nahitaji mume mwenye mapenzi ya kweli
Mimi nimeajiriwa,
SIFA
Miaka 35-40,
Awe muislam mwenye maadili ya dini,
Amejiriwa au mwenye shughuli ya kueleweka,
Aliyekuwa serious ani PM
mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 25 natafuta mchumba wa kuoa.
SIFA
1.awe mkristo.
2.awe na umri usiozidi miaka 23.
3.awe tayali kupima vvu.
4.awe tayali kuvumilia kwa muda wa mwaka...
Mimi ni msichana natafuta mchumba aliye na uhakika wa kunioa, sipendi uongo awe mpole mwelevu, mkristo na anipende kwa dhat, ninamiaka 23, mwenye hakika na hili anitafute0786730005
Habari kaka,natumai mwenye sifa tajwa hapo juu ndo unayesoma hapa' mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 30,nipo serious na natafuta
mwanaume mwenye sifa hizo kwa kuwa mwenyewe nina sifa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.