Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mdada ambaye anaamini katika hizi falsafa:- 1: she can start from zero to hero (economically) 2: she can start from where she is. (in any life aspects) 3: She can learn from every action (...
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Hey there! Huu uzi nimeweka hapa kwa lengo la kumpata binti mrembo atakae kuwa ananifanyia "massage"...strictly massage and nothing more. Kama wewe ni binti na una uzoefu wa kumkanda kanda...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wana Jf,mimi ni msichana wa miaka 26,Nimeajiriwa nipo Arusha.Natafuta mume kuanzia miaka 29-32,awe na kazi au biashara ya kueleweka ,awe mrefu,awe mkristo.Aliye tayari nipigie kwa no...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
MIMI NAITWA MARK SIBUGA NIPO MBEYA.NATAFTA MKEWA KUOA AMBAYE ATAKUWA NA VIGEZO HIVI MCHA MUNGU DIGRI MOJA NA KUENDELEA MWEUPE/MAJI YAKUNDE ANAFANYA KAZI,BIASHARA NA KUAJIRIWA KTK SERIKALI...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Me najua thamani ya mwanamke na sipendi kupmotezea muda mtu ukweli naitaji marafiki ni dm nitashare nawe jambo zuri sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wadada natafuta mke wa kuoa kupiia katika mtandao huu aliye tayari tuwasiliane! NB. msinishambulie kwa llugha chafu hayo ni mawazo yangu usipopendezwa tafadhari endelea na kazi yako.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta mke wa kuoa mwenye tabia nzuri. Huyo mke awe na rangi yake ya Asili sio ya kutumia cream. Sichagui rangi,awe na elimu angalau ya form four. Umri wake uwe kati ya 20 - 30. Awe mpenda watu...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Wana JF,hongereni kwa michakato ya hapa na pale. Kutokana na hali halisi ya maisha,changamoto za ndoa,uwiano wa idadi uliopo kati ya wanaume na wanawake, imenibid nibadili namna ya kupata mke...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hi jf members! Mimi ni kijana wa miaka 32, Mwajiriwa mwenye shahada ya pili ya uchumi, Mstaarabu,mtanashati,sinywi,sivuti,mrefu kiasi,najua nini maana ya kumpenda,kumtunza ,na kumjali...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
wana jf natafuta rafiki sibagui rangi,jinsia,kabila,elimu,aliye tayari ani-pm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna jamaa angu amekuja na kulalamika kwangu nimshauri nkaona nivyema nililete hapa kwa wataalam wa hizi mambo. Jamaa ana dem wake na wako kwa mahusiano takribani miaka 8, jamaa kashalipa mahari...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hello, Mimi ni kijana wa kiume, nahitaji binti wa kuanzisha urafiki nae katia ya miaka 25-28, nipo Arusha kwa sasa. If anyone is interested unaweza ni-PM. Karibu.
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Wadau wa jf: Nami najitokeza kwa nia na dhamira moja ya kutafuta mchumba wa kike atakayekuwa mke wangu baada ya kuridhiana. Mimi ni mfanyakazi nipo mojawapo ya mikoa ya kanda ya ziwa, elimu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
umr kuanzia 18~25,mcha mungu, mwembamba wa wastan na mweus wa wastan pia,thamin pendo Na Kujal,mrefu wa wastan. kama ni dada ambae upo serious npm contact zitafuata kwa mawasiliano ya kina zaidi
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta Mpenzi Wa Kike Ila Sii Wa Kuoa Ntakaekua Nae Kimapenzi Tu Ndoa Hakuna Umri Wake Uwe Kati Ya 20-24. Sibagui Dini Wala Kabila Hapa Tusije Kudanganyana {0757311889} sms only
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Natafuta Mpenzi Wa Kike Ila Sii Wa Kuoa Ntakaekua Nae Kimapenzi Tu Ndoa Hakuna Umri Wake Uwe Kati Ya 20-24. Sibagui Dini Wala Kabila Hapa Tusije Kudanganyana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana age yangu ni 28,nahitaji msichana ambaye yuko tayari kuanzisha mahusiano na mimi sifa zangu ni kama zifuatazo. niko chuo mwaka wa mwisho,natarajia kumaliza mwaka huu. ni...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Habari zenu wapendwa mi nko zenj kitaa mpendae sijawahi kuwa na girlfriend so nahitaji mpenzi atokee zenj kama upo me namuhtaji.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume, umri wangu ni miaka 27, elimu yangu ni degree ya awali! natafuta rafiki wa kike popote pale, awe na elimu kuanzia kidato cha sita, awe mrefu! mimi ni mrefu 182cm high. mambo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamvi....kwa marafiki ambao wanapenda kuchange ideas can sms me 0764731318
0 Reactions
4 Replies
857 Views
Back
Top Bottom