Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hici kweli kuna mwanamke mzuri aliye umbika amekaa kama mimi anatafuta aliye single kwa upande wangu siamini labda mniambie nyie kwa sababu naona wote ni players
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Napenda kuwa na rafiki ambaye kwa mipango yangu mwisho wa siku ndio awe mchumba wangu,vigezo awe mwanafunzi wa chuo au mwalamu nawapa kipaumbele walimu kutokana na nature ya kazi zao kwani huweza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hamjambo wa MMU, Mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (Ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke mwenye umli kati ya miaka 18 mpaka 26 mwenye sifa zifuatazo; awe mkristo awe na elimu kuanzia kidato cha nne asiwe na mtoto na awe hajawahi kuolewa. Kwa alie tayari ani pm ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kwa walimu wapya wa kike waliopangwa mikoa ya arusha na manyara ambao wapo single natangaza rasmi kwamba nahitaji mwenza wa kuanzisha naye maisha, awe na sura nzuri na asiwe mnene sana. kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Must b reasonably cute sio kivile ila asiwe mbaya externaly, internaly huwezi jua. Awe mature hata kama ni mke wa mtu poa tu. Asipende kuganda yani time time guaranteed: not handsome bt nt...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitaji mwana mke mwenye muonekano kama katika picha hapo chini . 1. Umri usizidi 29years. 2. Elimu yoyote ile, awe kasoma au hajasoma sawa. 3. Dini yoyote ile. 4. Kabira yoyote...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
I am looking for a friends wa jinsia ya KE aged 18-24, kubadilishana nao mawazo na kuchat nao.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NI KWELI NINA MTAFUTA ILA ANATAKIWA AWE NA SIFA HIZI: 1. MWANAMKE AMBAYE NI MWALIMU 2. UMRI UNAO MRUHUSU KUPATA MTOTO 3. AWE AMEISHA YAONA MAISHA NA KJUA NINI MAANA YA MAISHA! 4. AWE ANATOKEA...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habarin za saa hizi wanaJF, mimi kijana wa miaka 33 naishi Dsm,nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo hapo chini, kwa ajili mahusiano ili tukijaliwa tutengeneza maisha kabisa" 1. anayehitajii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Miaka 34yrs kazi driver urefu ft5.8 rangi black
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Nina miaka 26 Nimeajiliwa serikalini dini christian natokea ngara kwa sasa niko Dar nataka mume awe christian mtanashati na mwenye mapenzi ya kweli
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimejitokeza hapa natafuta mke wa maisha,mwanamke awe na wa kuanzia miaka 40 na kuendelea.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Umri wangu ni 40yrs nina mtoto mmoja 8yrs ninafanya kazi, kwa alie na umri kati ya 40 hadi 45 aipm ili tuweze kuwasiliana. Mkristo atapewa kipaumbele zaidi.
2 Reactions
49 Replies
4K Views
hvhudfufudsh bvjdhufhbifhv nvdgijbihvhd vdhfhvjdhued dhehdvish hshijkvif bdshidshsh
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mwanamke,hard working,independent,loving,caring.Nimeajiriwa.Dini yangu Mkristo.Situmii pombe wala sivuti sigara.Elimu yangu ni ya Chuo kikuu.Umri wangu ni Miaka 30.Pia nina mtoto...
10 Reactions
83 Replies
8K Views
Kwanza kuliko yote napenda kujitambulisha. Mimi ni mtulivu, mtalatibu. Sipendi kuongea ongea sana. Si mnene si mwembaba, mfupi, maji ya kunde. Umri mwanzoni kwa miaka 30 MUME INABIDI...
2 Reactions
54 Replies
5K Views
Nina miaka 35 black beuty, umbo la kibantu nilishawahi kuolewa na nina watoto watatu, ni mkristo,mpole, mvumilivu na mcha Mungu, mwenza awe mwenye upendo, heshima, mvumilivu na...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Sifa zake awe mrefu usiopungua futi tano sichagui dini wala kabila elimu yake kidatochanne na kuendelea itakuwa poa sana akiwa na makalio makubwa ya hamasa awetayari kuishi mkoa wa mbeya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naitwa Mashaka,msukuma naishi mwanza,umri wangu ni miaka 26,nasoma nna pia nafanya kazi,mrefu wa wastani,mwili wa wastan.natafuta mchumba/mpenzi awe na sifa zifuatazo; -mwili wa wastani au...
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Back
Top Bottom