Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina umri wa Mika 30, jinsia yangu nimvulana. Nina elimu ngazi ya diploma, naishi Dar, ni mweusi angavu. NATAFUTA mpenzi mwenye vigezo; Awe na uelewa wa kujitambua, awe mtu wakujishughulisha...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Nahitaji mwanamke aliyesoma/ mfanyabiashara/ anajitegemea/ mwenye cheo chake. Miaka 26 - 35. Nipo Dar, nimejiajiri. Kiongozi na mtawala. Cuddling expert. Nimetembea mikoa 10+, Ngorongoro...
2 Reactions
19 Replies
618 Views
Natafuta mchumba kike awe tajiri. Sifa zangu; 1. Mimi ni black kidogo. 2. Elimu yangu certificate ya Tehama. 3. Kazi yangu ya Wakala (usajili wa sim cards) wa Airtel, Vodacom Tanzania, Halotel...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa...
39 Reactions
402 Replies
14K Views
Mimi bado nikijana, nina miaka 25 elimu yangu ni darasa la saba ninajishugulisha na biashara (maduka) Tanzania na Zambia, ninatafuta mchumba awe na vigezo hivi miaka 18/24, Awe na hofu ya mungu...
1 Reactions
5 Replies
743 Views
Naitwa zaza, nina Miaka 23, nina makazi Mbeya, natafuta mke wa kuishi naye uchumba hadi ndoa. Umri asizidi miaka 25, hofu ya Mungu kwake ni kipaumbele kwangu, awe mpambanaji na mwenye kujiheshimu...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, natafuta rafiki wa kike ambaye tutaoana kabisa. Sifa: Sichagui rangi cha msingi awe Mtanzania Awe mrefu Kuanzia 5 feet tall Sichagui kabila...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40, naishi Dodoma kwa sasa, kazi mjasiliamali, elimu kidato cha sita. Nnahitani mwanamke mwema mwenye umri miaka 24 hadi 32. Elimu kuanzia kidato cha nne...
1 Reactions
18 Replies
915 Views
Habari habari naingia na kiu na haja ya moyo. Nahitaji mwanamke binti asiye na mambo mengi asiye na mtoto (asiye legend wa labor), nyonyo ngumungumu sio nyonyo lala, si kwa ubaya awe mfanyakazi...
6 Reactions
77 Replies
5K Views
Hello! Samahanini jaman mie naitwa ade am single and ntafurah sana kama ntampata ❤️my oxygen*... apa. By the way; naishi Dar es salaam, Umri wangu n miaka 24, Nina mtoto mmoja ila Bad luck baba...
14 Reactions
71 Replies
5K Views
Mimi ni kijana wa miaka 32; ~ Urefu 170 cm. ~ Kabila mchaga. ~ Elimu Shahada. ~ Single father. ~ Mfanyabiashara. Mke awe na sifa; ~ Elimu kuanzia form 6. ~ Miaka mwisho 27. ~ Awe maji ya kunde.
1 Reactions
6 Replies
628 Views
Nina miaka 40+, elimu Shahada ya miaka 15 iliyopita. Nina shughuli zangu binafsi, naishi DSM, na wakati mwingine husafiri kwenye shughuli zangu za kikazi. Nahitaji mwenzi ambaye kadri...
7 Reactions
81 Replies
5K Views
Wakuu wasalaaam, Nautafuta mwanamke tuyajenge, tuzae tulee wanetu. Umri wake awe kati 29-34, kama ana mtoto ni sawa tu ila mtoto asizidi mmoja. Umri wangu ni 38. Kwa taarifa zaidi karibu sana...
2 Reactions
11 Replies
811 Views
Bwana yesu asifiwe! Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja. Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina Bachelor Degree ya...
29 Reactions
150 Replies
8K Views
Hello! Good morning everyone, my name is Dorcass, age 30 years, single, I don't have kids. I am looking for serious man later to be my husband. I need a person who loves himself and fear of God...
7 Reactions
49 Replies
4K Views
~ Uwe mtu mzima zaidi ya miaka 40 hadi 45. ~ Uwe tayari kwa familia. ~ Usiwe mlokole au msabato. ~ Uwe na kipato yaani uwe unajishughulisha. ~ Usiwe ushawai kuoa/kuolewa / ushawai kufunga ndoa...
7 Reactions
103 Replies
7K Views
Je, wewe ni mwanamke mrembo na siyo msichana. Umri wako unaanzia Miaka 31+, unatokea familia ya wacha Mungu? Una elimu ya wastani? Unajishughulisha kujiingizia kipato? Upo tayari kuishi nje ya...
4 Reactions
14 Replies
942 Views
Habari za wikiend wana Jf. Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo. Umri -35 Nina mtoto 1 wa miaka 5 Nimeajiliwa serikalini Dini yangu mkristo Mahali ninapoishi kwa sasa...
15 Reactions
93 Replies
22K Views
Nina miaka 28, nimemaliza advanced level, nina urefu(5' 3''), nina mwili wa kawaida, rangi yangu ni mweusi kidogo (sijui ndo maji kunde), nimejiajiri (-). MWANAMKE 1. Urefu anizidi kidogo...
0 Reactions
6 Replies
881 Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 38, ninatafuta mke wangu/mwenza wangu wa maisha. Muonekano wangu. Urefu- Mrefu Kiasi cm 173 Rangi- Mweusi. -Sio mnene wa sio mwembamba (umbo la kawaida) Elimu yangu-...
13 Reactions
59 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…