Natafuta mwanamke
1. Mimi ni Me
2. Umri wangu 32
3. Elimu ninayo
4. Tall & black hivi
5. Ninakazi ya kuniingizia kipato
Ninaye mtafuta awe
1. Mwanamke mstahalabu mkristo
2. Umri 17 hadi 30
3...
Hi,
Kuna memba fulani amenitia moyo, kwamba inawezekana, ngoja nijaribu tena kwa mara ya mwisho.
Mimi ni mwanamke nina miaka 29
Naishi DSM
Elimu certificate
Mwanafunzi wa mwaka wa 2 chuo...
Habari ya sikukuu ndugu zangu?
Nimekuja hapa nahitaji mwenza,
mm ni mwanaume umri wangu 36yrs
Dini yangu mkristo
Naishi Mbalizi Mbeya
Kazi nimejiajiri mwenyewe
Mke nimtakae umri 25yrs to 30yrs...
Hbr Jf,
Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo:
*Awe muislamu
Asiwe mlevi
Umri usizidi miaka 23 mpaka 26
Elimu yeyote aliyonayo
Asiwe na mtoto
Sifa zangu:
*Muislamu
Nina umri...
Habari wanajamii!
Mimi ni mzee wa miaka 38, natafuta mwanamke wa kuzaa naye awe na miaka 30 hadi 45, na awe ameshajaribu kutafuta ukashindwa pengine umeenda hata Ulaya ili ukapandikize mimba lkn...
Nahitaji mwanamke ambaye yupo tayari kuanza safari ya mwisho ya kimahusiano kifo tu ndio kitutenganishe.
Mimi Nina miaka 32
Mjasiriamali
Mkazi wa Dar es salaam.
Mkristo
Mnene kiasi,maji ya kunde...
Hbr Jf,
Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo:
Awe ameamua kutulia na kuanzisha familia
Awe mrembo wa sura
Asiwe mlevi
Umri usizidi miaka 28
Elimu ya chuo na kuendelea
Asiwe na...
Kweli na tafuta mchumba serious nimekuwa mtu mzima nahitaji familia
Vigezo serious awe handsome wa kiasi .
Awe 32 -40
Awe hajawahi kupata mtoto kokote.
Awe anafanya kazi kaajiriwa .
Elimu...
Habarini ndugu zangu, nimeingia kwenye jukwaa ili kutafuta mpenzi wa kike ambaye ataenda kuwa mke wangu ivi karibuni:
SIFA ZANGU:
Urefu: Ni mrefu wa wastani
Umbo: sio mnene wala sio mwembamba...
Habari za muda huu wana jf
Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama...
Natafuta mchumba,mwanamke wa miaka 35 - 40 awe mrefu kuanzia futi 5,asiwe anajichubua,Mimi ni mweusi mrefu miaka 45.Awe tayari kupima ukimwi bila shuruti,awe dini yoyote.
Mbona wanawake wana lalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?
Chukuweni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi...
I'm a 28 years beautiful lady from Dar es salaam,not married and i dont have kids yet.Am seriously looking for a man with that age or above to have an amazing relationship with.Please hit my PM if...
Greetings to You on JF
I'm a single male aged 34 years. Tanzanian by nationality. Born and raised outside of Tanzania. Been here for 10 years now.
Looking to meet a single lady willing to start a...
Wasalaam
Nina umri wa miaka 37...elimi yangu shahada ya mambo ya fedha,imani yangu mkatoliki,najishughulisha na kilimo
Natafuta mchumba/mwenza,awe tayari kufunga ndoa kwa imani yangu afu...
Natafuta mke/mume
Madhaifu yangu
________________
Hasira za karibu
Sipendelei ujinga
Nimeachika (uchumba/ndoa) mara nne
Nachukia uongo
Nina kinyongo
Mchoyo kidogo
N.k
Mazuri yangu...
Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.