Habari wana jamvi wenzangu, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale. Wengi wenu natumai mu wazima wa afya. Narudi tena kwa mara nyingine baada ya kutokufanikiwa mara ya kwanza
Naomba niende kwenye...
Natafuta mke atakae kuwa tayari kuolewa, wasifu wangu ni
1- mrefu wa fit 5 na sm 8
2- nimejiajili
3- mkristo wa kkkt
4- umri wangu ni 40,
Sifa za mke ninaemhitaji awe:-
1- mkristo mwenye hofu ya...
Sasa leo ni zamu yangu kutangaza nia ya dhati ya kutafuta mke kupitia JF.
Ninachoamini mke wangu huenda akatokea humu au tukaunganishwa na mke wangu mtarajiwa na mtu anayeishi ndani ya jiji la JF...
Mimi ni kijana mwenye umri miaka 27, nipo mbele yenu kutafta mwanamke ambae atakuwa mke wangu siku chache zijazo mbele.
Sifa zangu.
Mrefu,umbo la kati sio mnene wala mwembamba,mweusi,pia ninakazi...
Natafuta mke wakuoa! Mwenye Mapenzi Mema,Mcha Mungu
Mimi nina miaka 34 kwa sasa,nipo Dodoma nafanya kazi serikalini, Dini yangu ni Mkiristo Roman Catholic
Sifa za mke! Mwenye mapenzi mema,mcha...
Habari wanaJf.
Natafuta mke wa kuowa ambaye ni Mchamungu hata kama akiwa mgumba ni sawa tu. Nina watoto 4 (age yao ni 6yrs to 13). Mimi nina miaka 43. Mimi ni muislam wa vitendo na ninaishi Dar...
Hi to all. Me ni mwanaume 30 years of age, mrefu kiasi, Rangi mnaita Maji ya kunde au mweupe kiasi, naishi dar currently, nimeajiriwa in small private company. The problem ninayo naona ni very...
Habari wapendwa mimi kijana ambaye ni mwenye umri wa miaka 25 kwa sasa,si mtu ambae nilipenda kudinya dinya katika maisha yangu,,kwa sasa nataka nioe lakini bado sijapata mtu sahihi wa kuingia nae...
Habari zenu watu wa Mungu, mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 39, ninahitaji mwanamke wa kuoa, nawakaribisha sana wanawake wenye uhitaji wa dhati wa kuolewa.
Wasifu wangu nikama ifuatavyo...
Habari wapendwa. Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 32. Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza jukwaani kutafuta mume kwenye Nia ya kweli.
Uwe Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Uwe na Umri kuanzia 35-49.
Uwe...
Habari zenu
Mimi ni kijana wa miaka 22 mpaka 24. Nafanya kazi kweny kampuni fulan Dar es Salam
Mwanaume ninaye muitaji awe na umri kuanzia miak 25 mpaka 30. Itapendeza zaidi akitokea Dar au...
Hi! All members of this forum.
I'll try to be as brief as possible.
I need a woman for serious relationship that leads to marriage if things goes well and plans are clinched.
I am 28 years old...
Jina langu ni Daniel Adrian. ( Jina langu halisi)
Mara ya mwisho kujihusisha na mahusiano wala siwezi sahau. Ilikuwa kumbukumbu mbaya. Nilishatendwa yani, basi Mwamba nikasema sitaki tena mapenzi...
Watu wanatafuta wachumba Sana humu lakini mbona ushuhuda hawatupi walio wai pata wachumba kupitia jf humu ndani au tuna poteza muda tuu watu wana tania kutafuta wachumba
Sent from my TECNO B1f...
Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae.
*Nilikuwa na mke ila kwa sasa tumetengana
*nina mtoto 1
*Kipato changu cha kawaida sana(kidogo)
*Umri wangu miaka 30
*sichagui umri wala idadi ya...
Awe anaishi dar umri kati ya 22 mpk 30, tuwe pmoja kupeana ushauri wa maisha na kubadilishana mawazo kua pmoja hadi mke na mume alie serious anitafute
Mim ni mrefu, kidgo mpana wa wastan ni...
Sifa zangu
Natoboa 30 muda sio mrefu
Nina kazi halali
Nina Ft 6
Elimu ya wastani kiasi lakini kwa mtaani kwetu ni mmoja ya watu wasomi
Sifa ya mwanamke anayehitajika
Mrefu kiasi lkn asifike ft 6...
Sitaki kupoteza muda maana kichwa cha habari kinajidhihirisha.
Natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela. Najua wapo wa kunipinga na wengine wapo wa kunishauri kuwa eti "nitafute pesa ili nipate...
Hello! natumaini ni wazima, hongereni kwa majukumu ya kujenga Taifa letu. Moja kwa moja kwenye point, naitaji mchumba ambaye Mungu akipendezwa tuingie kwenye ndoa.
Wasifu wangu:
Mwanaume:umri...
Ila mimi kila siku nakuja hapa.Sijui kwa vile I'm young nobody comments. Sawa lakini kuwa mdogo haijalishi I'm socializing like other people
Nadondosha wasifu kwanza
Age: 19
Marital status...