Habari wadau
Natafuta company ya mkaka ambayo kama tukielewana italeta mahusiano ya kudumu.
Mimi ni:
Mwanamke umri 33-35
Mkristo
Elimu ya chuo
Mfanyakazi
Mcha Mungu
focused
loving and caring...
Mimi ni kijana wa Kitanzania nina umri wa miaka 31, ninaishi Dar. Mimi ni mfanyabiashara.Ninatafuta mwanamke aliyeajiriwa au mfanyabiashara kama mm. Sibagui umri,dini wala kabila . Kwa aliye...
Mimi ni kijana mpole mcha Mungu,
-ninaishi Arusha,
-nina miaka 35,
-ninafanya kazi na kampuni ya utalii....ninatafuta mke/mchumba awe na -miaka 21-30,
-awe mweupeee,
-asiwe mnene....
ntakuhudumia...
Ndugu wanajamvi, Wasalam.
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, Mimi ni Kijana wa kiume, Nahitaji Mwenza ambae Mungu akijalia aje kua mke wangu
Vigezo
1. Umri miaka 18 mpaka 28
2. Elimu Kuanzia...
Mimi ni
>Nina miaka 27
>Mrefu kiasi 5‘6” (futi 5 na inchi 6)
>Elimu kidato cha sita
>Sina mtoto
>Ni fundi muashi/uwashi
>Mlongo wa kisiasa ni muafidhina
>Dini ni muislam
Mwanamke ninaemuhitaji...
Nashukuru wadau, kwa sasa zoezi limesitishwa.
First come First Served
Asanteni sana.
Muhusika anadeal na dada aliyejitokeza kwa sasa.
Naomba niwe dalali/kuwadi leo.
A good friend of...
1. My name: Amiry Muzamelly.
2. Age:23.
3. Language: English,Arabic,Swahili.
4. Religion: Islam.
5. My color:Grainy black with gravity.
6. Work: Religious seeker.
7. Height:Tall Normal.
8. Child...
Nikiwa kama kijana mwenye umri wa miaka 35 mwenye kipato kizuri na kazi nzuri nahitaji mwanamke ambae yuko tayari tupate mtoto awe mweupe na umri mwisho miaka38 na mkazi wa dar pia awe na uwezo wa...
Mim ni kijana naishi hapa dar, nina mke na mtoto 1, natafuta dem wa kuwa nae ktk mahusiano awe dar na awe mzuri anae jipenda. tutakuwa ktk mahusiano na kumegana ni kawaida ila demu asiwe tegemezi...
Kwamajina naitwa Nasibu nna age ya 26,elimu bachelor ya education pia ya dini ipo,natafta mwanamke wa kuoa ila awe navigezo vifwafavyo
.muislam
.mwenye kuipenda stara ama hijabu zakisheria
.umri...
Mm ni kijana aged 26 namtafta mwanamke ambaye kweli anahitaji kuolewa na na sio vinginevyo elimu sio kigezo. Mengine mengi tutaelezana PM maana hapa siwez kuweka wazi sifa zote. Karibu Pm angalau...
Wanajamii, nahitaji mpenzi mzungu
- Awe single/divorced
- mwenye umri kati ya miaka 28 hadi pungufu ya 50
-Mkristo
Mimi ni msichana wa miaka 22
-single
-Naishi Dar
-Mkristo
NB: sibagui rangi...
Heshima kwenu wakubwa kwa wadogo,
Nimefikia uamuzi wa kujiunga baada ya kuelezwa na jamaa yangu wa karibu ambaye ameweza kupata mwenza kupitia mtandao huu. Lengo langu ni kutafuta mwenza...
Naitwa Joseph mwenye umri wa miaka 25, naishi Dar, ni mwajiriwa.
Natafuta mwanamke mwenye umri kuanzia 38-42, aliye tayari aniPM.
NB: Nimeamua nikiwa na akili timamu.
Nilishakujaga hapa kipindi cha mwaka 2017 na namshukuru Mungu alinipa mume mwema.
Nina binamu yangu anahitaji mume au mwanaume ambaye watakubaliana kupata mtoto/watoto ila wote watakuwa na jukumu...
Mada tajwa yahusika
Natafuta mwenza
Wasifu wangu
Siku miingi nshamalizana na Elimu ya(wao wanaita ya juu)chuo
Nimewahi kuajiriwa...nikaamua kukiajiri
Sina mtoto Wala sijawahi kuwa na mke
Ni...
Habari za saa hizi wakuu.
Upweke si kitu chema, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na msichana fulani ila mambo yakaenda kombo. Alipata mwingine. Ikanikera sana ikaniumiza sana na...
Mwanaume mwenye upweke anakalibishwa/anae taka mke wa pili
Sifa awe mwanaume kamili
Umri 29-40
Maji ya kunde
Asiwe mfupi Wala mrefu
Anae jituma kimaendeleo na mchapa kazi
Awe na uwezo wa...
1. My name: Amiry Muzamelly.
2. Age:23.
3. Language: English,Arabic,Swahili.
4. Religion: Islam.
5. My color:Grainy black with gravity.
6. Work: Religious seeker.
7. Height:Tall Normal.
8. Child...