Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello Mimi ni single mom [emoji2963] wa mtoto mmoja, nimeachana na mzazi mwenzangu na sijui hata yupo wapi kwa sasa. Natafuta mume miaka 35-50, [emoji117]- awe tayari kumpenda mwanangu kama wake...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wanabodi Mimi nikjana wa umri wa 33 ninatafuta mwanamke around 26-30 wakuanza nae maisha Mi naishi Moro na awe tayari kija kuishi na mimi Awe mpole kiasi, Mchamungu, Mkweli , Mwaminifu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Awe na umri kuanzia miaka 24 hadi 30 Dini awe mkristo Elimu yake kuanzia form four na kuendelea Rangi yoyote sibagui Awe anajihusisha na shughuli yoyote halali Sifa zangu Mimi Miaka 30 Elimu...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu Mimi nikijana nilie ajiliwa katika idala moja wapo seriialini Nina umliwa miaka 34 nahitaji nimpate mpenzi ambaye ana lengo la kujenga maisha umli...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu Sifa ●Mcha Mungu na mpenda maendeleo ●Umri miaka 18-30 ●Mrembo mweupe au mweusi mwenye shape atapewa kipaumbele ●Awe na shughuli halali inayomwingizia...
1 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa kichwa cha habari chahusika. Sifa za ninayemuhitaji *umri:miaka 18-29 *Dini:Muislamu *Elimu: kiwango chochote Sifa zangu *Umri:miaka 30 *Dini: Muislamu *Elimu: degree na...
0 Reactions
2 Replies
740 Views
Habari zenu wana jamii forum Mwenzenu natafuta mume, mtaani wapo wanaokuja lakini bado sijapata tunayeendana kitabia. Nimeona nijaribu na huku Sifa zake 1.Mume Mkristo aliyeokoka 2.Mchapakazi...
7 Reactions
48 Replies
7K Views
Kama heading inavyoeleza hapo juu Sifa zangu Kijana wa kiume 27yrs Nina mwili kiasi Mrefu Nimeajiriwa Christian Muaminifu Upendo wa kweli Sifa za ninaye muhitaji Msichana Umri 20-26yrs Awe...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ya muda huu wadau. Mimi ni kijana mwenye miaka 27. Ni mzaliwa wa mkoa wa iringa lakini kwa sasa Nipo mkoani morogoro wilaya ya kilombero mji wa Ifakara. Nina shahada na nimeajiliwa hapa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanajamvi ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe mkristo 4: Awe anajua kupika na msafi 5: umri...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe anaweza kuongea kiingereza 4: Awe anajua kupika na msafi 5...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu umofia kwenuu.. Twende kwenye mada husika. mimi ni kijana miaka 30yrs kwa sasa natafuta msichana mrembo awe rafiki kisha mpenzi. 1. Awe mkristo 2. Shule yeyote above form six 3. Awe mrembo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Am a gentleman aged between 35 and 40. Am economically stable and having one kid. Am looking for a matured minded lady, who is single and economically stable, aged from 33 to 44. I dont care...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo. -Umri 28 -Mrefu -Mweusi wastani -Mpole kimuonekano na tabia -Mfanyakazi Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, natafuta mchumba mwenye umri kati ya miaka 18-25. Awe mwenye upendo na anayejali Elimu sio kigezo sana ili mradi awe muelewa Mimi nasoma Masters Degree...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanandugu Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 33 natafuta mwanamke kwa ajili ya kujenga familia. Nahitaji mwenye sifa zifuatazo Mkristo wa kueleweka Umri asizidi 30 Elimu kuanzia kidato...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Habari wanandugu, Nina bro wangu anatafuta girlfriend Amejiajiri na umri wake ni miaka 36. Ni mkristo. Naandika ili iwasaidie wale wanaopendelea watu wa upande wao lakini yeye habagui dini. Kama...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
kama ilivyo hapo juu nina uhtaji na mke mwema langi yeyote,kwa alie tayari nafasi ipo wazi wahi mapema!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious He is 24 black and tall Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor Pm me if interested
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom