Hello
Mimi ni single mom [emoji2963] wa mtoto mmoja, nimeachana na mzazi mwenzangu na sijui hata yupo wapi kwa sasa. Natafuta mume miaka 35-50,
[emoji117]- awe tayari kumpenda mwanangu kama wake...
Habari zenu wanabodi
Mimi nikjana wa umri wa 33 ninatafuta mwanamke around 26-30 wakuanza nae maisha Mi naishi Moro na awe tayari kija kuishi na mimi
Awe mpole kiasi,
Mchamungu,
Mkweli ,
Mwaminifu
Awe na umri kuanzia miaka 24 hadi 30
Dini awe mkristo
Elimu yake kuanzia form four na kuendelea
Rangi yoyote sibagui
Awe anajihusisha na shughuli yoyote halali
Sifa zangu Mimi
Miaka 30
Elimu...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Mimi nikijana nilie ajiliwa katika idala moja wapo seriialini
Nina umliwa miaka 34
nahitaji nimpate mpenzi ambaye ana lengo la kujenga maisha umli...
Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu
Sifa
●Mcha Mungu na mpenda maendeleo
●Umri miaka 18-30
●Mrembo mweupe au mweusi mwenye shape atapewa kipaumbele
●Awe na shughuli halali inayomwingizia...
Habari wana jukwaa kichwa cha habari chahusika.
Sifa za ninayemuhitaji
*umri:miaka 18-29
*Dini:Muislamu
*Elimu: kiwango chochote
Sifa zangu
*Umri:miaka 30
*Dini: Muislamu
*Elimu: degree na...
Habari zenu wana jamii forum
Mwenzenu natafuta mume, mtaani wapo wanaokuja lakini bado sijapata tunayeendana kitabia.
Nimeona nijaribu na huku
Sifa zake
1.Mume Mkristo aliyeokoka
2.Mchapakazi...
Kama heading inavyoeleza hapo juu
Sifa zangu
Kijana wa kiume 27yrs
Nina mwili kiasi
Mrefu
Nimeajiriwa
Christian
Muaminifu
Upendo wa kweli
Sifa za ninaye muhitaji
Msichana
Umri 20-26yrs
Awe...
Habari ya muda huu wadau. Mimi ni kijana mwenye miaka 27. Ni mzaliwa wa mkoa wa iringa lakini kwa sasa Nipo mkoani morogoro wilaya ya kilombero mji wa Ifakara. Nina shahada na nimeajiliwa hapa...
Habari wanajamvi ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe mkristo
4: Awe anajua kupika na msafi
5: umri...
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe anaweza kuongea kiingereza
4: Awe anajua kupika na msafi
5...
Wakuu umofia kwenuu..
Twende kwenye mada husika. mimi ni kijana miaka 30yrs kwa sasa natafuta msichana mrembo awe rafiki kisha mpenzi.
1. Awe mkristo
2. Shule yeyote above form six
3. Awe mrembo...
Am a gentleman aged between 35 and 40. Am economically stable and having one kid.
Am looking for a matured minded lady, who is single and economically stable, aged from 33 to 44.
I dont care...
Mimi ni kijana mwenye sifa zifuatazo.
-Umri 28
-Mrefu
-Mweusi wastani
-Mpole kimuonekano na tabia
-Mfanyakazi
Leo nakuja kwenu wana JF kuonyesha nia yangu ya kutafuta mchumba ambaye baadae anaweza...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23, natafuta mchumba mwenye umri kati ya miaka 18-25.
Awe mwenye upendo na anayejali
Elimu sio kigezo sana ili mradi awe muelewa
Mimi nasoma Masters Degree...
Habari wanandugu
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 33 natafuta mwanamke kwa ajili ya kujenga familia.
Nahitaji mwenye sifa zifuatazo
Mkristo wa kueleweka
Umri asizidi 30
Elimu kuanzia kidato...
Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya...
Habari wanandugu,
Nina bro wangu anatafuta girlfriend
Amejiajiri na umri wake ni miaka 36. Ni mkristo. Naandika ili iwasaidie wale wanaopendelea watu wa upande wao lakini yeye habagui dini.
Kama...
Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious
He is 24 black and tall
Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor
Pm me if interested
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.