Hello everyone.
My name is Grace am 26 years old working as a secondary school teacher.
I am looking for a man to chat with coz I feel so lonely after my boyfriend left to another country and he...
Habari,
Kama kichwa cha bandiko kinavyojieleza hapo juu,mm ni mwanaume mwenye familia ya mke na watoto wawili,umri wangu 40yrs.
Msaidizi anayehitajika ni mwanamke umri kati 25-35 hata akiwa na...
Assalamu’alaikum warahmatullahi wabarakatuh
Ewe dada ndugu yangu fursa hii
Ni wakati murua sasa kwa mimi kijana wa kiume kuingia kwenye ibada ya kukamilisha ½ ya dini yetu ya kiislam.
Dada...
Sifa.
awe mrefu wa wastani.
rangi yoyote.
umri awe chini ya 30yrs.
asiwe mwembamba sana, awe na mwili wa kawaida tuu.
awe dar mana ndipo nilipo.
sifa zangu.
urefu wa 178cm.
rangi maji ya kunde...
Am aged 32, hard working.. gentle and a loving man. I need a decent lady to hook up with and share life experiences and so forth. If you are the one.. lets roll... (Naongea kiswahili pia...:D:D:D)...
Narudia upya kwa uelewa zaidi..natafuta mme aliyetayari kupendwa kwa dhati ambaye muaminifu na yupo tayari kwa mapenzi ya kweli .Nina umri wa miaka 26..0682942959
Salaam wanajamii,
Nabisha hodi hapa jukwaani baada ya kua guest reader wa mda mrefu wa jf na kufuatia safari yangu ya kumsaka malkia wa nafsi yangu naona ni muhimu kumsaka popote alipo. Sio...
Habarini wana JF?
Hatimaye nimenyoosha mikono, upweke unanikondesha hivyo nimeamua kufunguka.
Nahitaji kampani ya kike, sina ubaguzi sana ila yafuatayo yazingatiwe:
1. Uwe mchangamfu. Yaani uwe...
Message…nimerudi tena msinichoke maisha ya mahusiano naona ikuumbiwa mm ila kuwa mama ni baraka natafuta mwanaume mkaka mbaba mwenye watt lakn hayupo na.mama watoto wake anaeitaji kusaidiana...
I am a Tanzanian girl young age and HIV positive, Pure Christian. Natafuta mwanaume HIV+ ambaye nitaishi nae kama mchumba wangu na baadaye tutafata taaratibu za ndoa.
Naishi na wazazi Kigamboni...
Hello wana Jf
Mimi ni mgeni humu japo ni mwenyeji nimekuwa nikifatilia JamiiForums kwa muda ila leo nimejiunga rasmi haswa kwasababu ya post hii
Kiufupi mimi ni mwanamke wa miaka 27 mkristu mrefu...
Habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 Ninaishi Dar Es Salaam.
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo:
* Mrefu asiwe mfupi sana
* Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 25
* Awe hajazaa
* Awe...
Mimi ni mume mtrajiwa
Umri 42
Urefu futi 6.2
65kg
Maji ya kunde
Naishi na kufanyakazi temeke/dar
Elimu-degree
-Nina hasira japo fupi
-Nina katabia ka kug'ang'ania
-wakati mwingine ni mchokoz...
Wadau mambo vp...NajitokeZa apa Kutafuta Mchumba ambae badea kama mambo yakikaa sawa Aje kua Mke wangu kipenzii...Me ni Mtumishi wa umma, Umri wangu ni 26.....Sifa za Ninaemtafuta ni umri ambao ni...
Habari za muda huu wapendwa! Niende moja kwa moja kwenye dhumuni langu, nipo hapa kutafuta mume yaani mwanaume ambaye tutaanza nae urafiki kisha mahusiano Mungu akijalia tuwe mume na mke
SIFA...
Habari zenu mimi ni mwanamke wa miaka 32 narudi tena kwa mara nyingine nahitaji mchumba/ mwanaume ambaye ni HIV+ sifa zifuatazo:
Awe: mwanaume
Umri:33-36
Awe: amejiajiri/ kuajiriwa
Awe: tayari...
Jamani wiki zijazo naelekea Zanzibar nitakaa huko wiki mbili,kama mjuaavyo ni ngumu kukaa bila sex muda wote huo kwa mwanaume so kwa Zanzibar nitpata wapi wauzaji papuchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.