Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Matumaini yangu kuwa mu_buheri wa afya, hata kwa wale ambao kwao siku imekuwa nzito muumba atawajaza wepesi. Bila kupoteza muda nilejelee maada husika. Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili awe mpenzi wangu Sifa-:- 1) umri kati ya 25 mpaka 45 2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote) 3)mwenye kazi yake au biashara 4)mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Maji yameshafika shingoni naona uzee ndio huu ulishaingia, kwahivo natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 55 hadi 60 nimuoe ilitumalizie uzee wetu, awe na watoto sawa tu, awe alifiwa na mume...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
msichana wa type ya kishua(asinitegemee sana kifedha kwani na mimi ndo nimetoka tuu chuoni) mwenye mwili wa wastani, rangi asiwe mweusi. miaka 18 mbaka 24. dini yoyote(mkristo atapata kipaumbele)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mi nikijana mwenye miaka 29 Rangi yangu: Light skin Kimo: 5’8 Dini: Mkristo Msukuma kwa kabila, nimemaliza chuo 2017 na kupata shahada yangu ya kwanza. Nimwajiliwa serikalini. Nilikuwa kwenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni Mkristo mcha Mungu mlutheri miaka 30 nipo Dar es salaam. nafanya kazi katika kampuni binafsi. Nahitaji mume Mkristo mcha Mungu mwenye mapenzi ya dhati. Awe hajawahi kupata mtoto kwani na...
11 Reactions
31 Replies
3K Views
Mimi bint4 natafuta mwenza aliye serious.. Tuyajenge maisha Sifa zangu Umri miaka 34 Elimu kidato cha Sina mtoto Sifa za nimtafutae Awe na miaka 34-45 Muelewa mwenye hofu ya MUNGU awe...
6 Reactions
59 Replies
8K Views
Hoyaaa masera....mimi sio mgeni sana humu ndani.Ila nimemuona jamaa yangu amepata mtoto mzuri toka jamiiforum.Nikashangaa kumbe yale mambo watu wanasemaga ni kweli kuwa kuna mademu mazuri humu...
6 Reactions
83 Replies
7K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu Nnahitaji mwanamke atakae kuwa na mapenzi ya dhati, wasifu wangu >Mrefu wa Wastani >maji ya kunde >Nimejiajiri >Sina nyumba nimepanga room 1 >Nipo DSM >Elimu ya...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume nipo Kilimanjaro, nimejiajiri natafuta marafiki wa kike tu wawe wajasiria mali. Lengo ni kubadilishana mawazo kwani mimi naamini kua nahitaji sana ushauri kutoka kwa wanawake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za uzima wakuu? Natafuta binti mwenye sifa zifuatazo: Umri chini ya miaka 30, Awe na utu,uvumilivu na upendo. Elimu kuanzia kidato cha nne. Awe tayari kuishi dsm. Kimo kuanzia futi 4ft 9'...
0 Reactions
1 Replies
989 Views
Habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24 ninaishi dar es salaam. Natafuta mwanaume au mume mwenye uvumilivu awe na upendo kwangu pamoja na ndugu zangu pia nitampenda awe amejiajiri au kuajiriwa sio...
12 Reactions
111 Replies
17K Views
Kama nilivyojieleza, wasichana mlioko mikoa hiyo tajwa hapo mpate bahati gani tena ingine!? mtapata kukutana na mimi Live Masharti Kuzingatiwa - Ni Inbox - Uwe smart na charismatic - Kichwani...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Habari zenu Kama heading inavyoeleza hapo juu Mimi ni mwanamke mwenye umri Wa miaka 30 nahitaji mume aliyekua serious kuhusu kuingia kwenye ndoa not jokes Dini yangu ni Muslim, elimu yangu ni...
13 Reactions
47 Replies
5K Views
WanaJF, Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi: Awe mnene Awe anavutia Awe rangi yoyote. Asizidi 35. Asiwe na magonjwa yaambukiazo (clean)...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wana Jamii Forum. Nipo kwenye kipindi muafaka kabisa cha kupata mwenza wangu wa maisha. Swala la kumpata mtu sahii wa kuoa/kuolewa ni changamoto hasa zama hizi. Kutokana na kukua kwa...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Haijalishi tumekutana mtandaoni amini tunaweza kuwa mke na mume endapo tutakubaliana, kupendana, na kuendana Most of peoples tunakosa Muda mzuri na sehemu nzuri ya kukutana na wenza ambao ni...
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Habari wapendwa? Kama kichwa cha habari kinavyo sema mume anapatikana hapa kama ulikuwa unahitaji mume basi hapa umepata. Umri wangu ni miaka 25 Kiukweli nimekuwa nikitafuta mke mwanye vigezo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
o
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom