Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kichwa cha habari kinajieleza...ninatafuta mume aliye tayari tumalizie uzee nina miaka 33 na nina mtoto mmoja . Umri uwe miaka 35+ Dini awe mkristo...Mengine tutayajenga karibuni pm.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
After going through hell for a period, I think I have opened the page that has exciting things, now, my head needs a good rest, leisure and entertainment. That being said, I am looking for a...
1 Reactions
115 Replies
7K Views
Habar! ninaishi Dar, I’m 28 years old christian, Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu. Thanks. Serious issue...
21 Reactions
184 Replies
25K Views
I'm male aged 24. Kusema ukweli, sexually navutiwa sana na wadada walionizidi umri. Hasa mdada mrefu mwenye chura nzuri lainiii, ndo shiida kabisa. Huwa napagawa!!! Niwe muwazi bila kujizungusha...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Mimi ni binti ninaejiheshimu,mvumilivu inapobidi, mcheshi, mcha Mungu, hardworking Mrefu kama 179cm, dark skinned ila sio sana. Sifa za rafiki wa kiume ninaehitaji; Mrefu anizidi, athletic body...
2 Reactions
63 Replies
7K Views
M
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya dhati awe mnene na makalio makubwa. Nipo dar na Namba zangu 0754292989
0 Reactions
15 Replies
1K Views
awali ya yote naomba mlio karibu na "gavana" mfikishieni ujumbe kuwa hiyo kanzidata(database) yake anayofiikiria kuijenga ambayo itatumika kuhifadhi taarifa za wanandoa haitakuja kusaidia kitu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Sichagui kabila,rangi,elimu wala dini! 0657496629 for someone willing
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kilivo, JF kuna watoto wazuri bhana, kuna mtoto mmoja nmebahatika kujuana nae vizuri, msiulize kama nshonana nae au bado, kiumri naona tunakarbiana, mtoto kaumbika...
0 Reactions
4 Replies
968 Views
Saalam kwenu wana jf ,wakuu nimechoka kua single nina mtafuta mrembo mwenye uhitaji kama wangu umri kuanzia 28 -38 alieko tayari njoo dm mengineyo mengi tutayajadili ukisha weka contact dm
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kichwa cha thread kinajieleza ,Mimi ni kijana wa miaka 28 nahitaji msichana mwenye umri sawa ama chini na umri wangu tuanzishe mahusiano.Niko single kwa miezi mitatu baada ya kuachana na mpenzi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni Kijana mchapakazi, mjasiriamali aliyeenda shule ya kutosha na mwenye mtazamo chanya kimaisha. Nahitaji mchumba wa kweli mwenye shahada ya sheria (Advocate). Aliyeko tayari ani PM tutawasiliana
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin. Sifa za huyu...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato wa muislam...
2 Reactions
83 Replies
6K Views
Habari, Kama wewe ni mdada mrembo ambaye unahitaji mtu wa kukuliwaza, kampe, story + outing kukutoa stress na kukufanya uwe na Furaha na kujua dhamani yako naomba PM tuongee zaidi, NB: sio kwa...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Wadada mmekua na tabia ya kuwabania sex baadhi ya wanaume ambao unais ni chaguo lako, ili akuoe. Yaani unabana kumpa mzigo kisa ukimoa unaisi atakutema, nshakosa wadada watatu. Yaani...
0 Reactions
3 Replies
749 Views
Ewe mwanaume kuwa na maumbo makubwa ni sifa ama ulimbukeni naomba kujua Wanawake mnawaharibu watoto wa kiume kama mnapenda madude makubwa naomben mlizike Na vile mungu alivyoumba Kila sehemu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habarini! Natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo. 1. Awe mweupe 2. Umbo namba nane 3. Tako liwepo la kawaida yaani lisizidi sana wala kupungua sana. 4. Elimu kidato cha nne mpk degree...
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha. Sifa za binti Awe mcha Mungu, Amemaliza kidato cha nne na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom