Kichwa cha habari kinajieleza...ninatafuta mume aliye tayari tumalizie uzee nina miaka 33 na nina mtoto mmoja . Umri uwe miaka 35+ Dini awe mkristo...Mengine tutayajenga karibuni pm.
After going through hell for a period, I think I have opened the page that has exciting things, now, my head needs a good rest, leisure and entertainment.
That being said, I am looking for a...
Habar! ninaishi Dar, I’m 28 years old christian, Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu.
Thanks. Serious issue...
I'm male aged 24.
Kusema ukweli, sexually navutiwa sana na wadada walionizidi umri. Hasa mdada mrefu mwenye chura nzuri lainiii, ndo shiida kabisa. Huwa napagawa!!!
Niwe muwazi bila kujizungusha...
Mimi ni binti ninaejiheshimu,mvumilivu inapobidi, mcheshi, mcha Mungu, hardworking
Mrefu kama 179cm, dark skinned ila sio sana.
Sifa za rafiki wa kiume ninaehitaji;
Mrefu anizidi, athletic body...
awali ya yote naomba mlio karibu na "gavana" mfikishieni ujumbe kuwa hiyo kanzidata(database) yake anayofiikiria kuijenga ambayo itatumika kuhifadhi taarifa za wanandoa haitakuja kusaidia kitu...
Wakuu kama kichwa cha habari kilivo, JF kuna watoto wazuri bhana, kuna mtoto mmoja nmebahatika kujuana nae vizuri,
msiulize kama nshonana nae au bado, kiumri naona tunakarbiana, mtoto kaumbika...
Saalam kwenu wana jf ,wakuu nimechoka kua single nina mtafuta mrembo mwenye uhitaji kama wangu umri kuanzia 28 -38 alieko tayari njoo dm mengineyo mengi tutayajadili ukisha weka contact dm
Kichwa cha thread kinajieleza ,Mimi ni kijana wa miaka 28 nahitaji msichana mwenye umri sawa ama chini na umri wangu tuanzishe mahusiano.Niko single kwa miezi mitatu baada ya kuachana na mpenzi...
Mimi ni Kijana mchapakazi, mjasiriamali aliyeenda shule ya kutosha na mwenye mtazamo chanya kimaisha. Nahitaji mchumba wa kweli mwenye shahada ya sheria (Advocate). Aliyeko tayari ani PM tutawasiliana
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin.
Sifa za huyu...
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam...
Habari,
Kama wewe ni mdada mrembo ambaye unahitaji mtu wa kukuliwaza, kampe, story + outing kukutoa stress na kukufanya uwe na Furaha na kujua dhamani yako naomba PM tuongee zaidi,
NB: sio kwa...
Wadada mmekua na tabia ya kuwabania sex baadhi ya wanaume ambao unais ni chaguo lako, ili akuoe.
Yaani unabana kumpa mzigo kisa ukimoa unaisi atakutema, nshakosa wadada watatu.
Yaani...
Ewe mwanaume kuwa na maumbo makubwa ni sifa ama ulimbukeni naomba kujua
Wanawake mnawaharibu watoto wa kiume kama mnapenda madude makubwa naomben mlizike Na vile mungu alivyoumba
Kila sehemu...
Wakuu habarini!
Natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo.
1. Awe mweupe
2. Umbo namba nane
3. Tako liwepo la kawaida yaani lisizidi sana wala kupungua sana.
4. Elimu kidato cha nne mpk degree...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha.
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.