Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari, natafuta mume ambaye yupo tayari kupendwa kwa dhati ambaye ni muaminifu na yupo tayari kwa mahusiano ya kweli.na umri wa miaka 26..
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu. *Sifa zangu ni.. 1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi. 2. Mrefu wa...
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha.... Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
I’m pretty easy going, down for whatever. I have a huge heart, and I care a lot about people. I’m an open book, ask me whatever. I have a passion for knowledge. I have a passion for teaching. I’m...
1 Reactions
5 Replies
961 Views
Mimi nipo dar na nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 25 hadi 60 kwa mahusiano ya dhati. Umri wangu ni miaka 49 na nipo serious with a true love tuwasiliane kwa namba 0784615578.
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Hahari wana jamvi natumaini mko poah naomba Ushauri wenu kuna bint nilikuwa na mahusiano naye toka niko mkoa mwaka 2009 tuli tulikuwa na mahusiano sasa ilipofk mwaka 2010 niko fom two bro wangu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndungu wana Jamvi nimeleta kwenu uzi huu ili tuweze kuuchambua, natumai humu wamo walioowa na wanaotarajia kuoa. Hapa utajifunza Mke wangu mimi ni darasa la saba, mimi nimemaliza chuo kikuu ni...
2 Reactions
9 Replies
995 Views
Hivi kuchelewa kusimama kwa uume hasa round ya pili nikawaida au ni tatizo?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wana jf wote hususani mliopo kwenye ukurasa huu wa love connect Moja kwa moja nizame kwenye maada Nina umri wa miaka 28 elimu nimehitihu shadaha ya kwanza(degree) Dini ni mkristo pia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasalaam wana JF. Ninataka kuoa. Baadhi ya sifa zangu mimi:- - Elimu ya Chuo kikuu - Miaka 34 - Kazi nzuri - Ni mpole kiasi, lakini mkali sana ukinichokoza Mke ninayemtaka awe na sifa...
10 Reactions
60 Replies
7K Views
Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim...
11 Reactions
105 Replies
10K Views
Umri Wang miaka 32. dini mkristo .ni mfanyakazi? nahitaj mke awe mrembo.dini mkristo .umri 23 hadi.28 .awe mwenye kujiheshimu .ambaye Yuko serious anicheki pm
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hi Everyone. hope you are fine. Just looking for nice people to talk to . I careless less where you came from to me it doesn't matter all are welcome.
0 Reactions
2 Replies
687 Views
Yan mwanaume mwenzio anaweka Uzi wake anatafuta maybe rafiki ...chakushangaza wanaoponda n wanaume pia tena mshaanza kutumia viwembe... ...nlitegemea kuona wanawake wakikoment na hata kama n...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ningependa kuchukua wasaa huu kuwajulisha wana love connect kwamba ninatafuta rafiki wa kike ambaye baadae tukijaliwa nitapenda awe mke wangu na mimi niwe mume wake. Sifa zangu kwa ufupi ni kama...
7 Reactions
83 Replies
7K Views
kipepe JR. mbele yenu waungwana. once again! ebana kwanza niwashukuru waliolianzisha jukwaa hili, kwani ndio walionifanya sasa nimempata 'wife material' siku chache zilizopita, niliweka bandiko...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Upweke mbaya sana, marafiki wa kike ninao, mtaani wasichana wapo ila bado sioni kama nina watu sahihi. MIMI: Kijana wa kiume. Mkristo. Mweusi, mrefu kiasi. Sina kazi ya kudumu wala biashara ila...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari yenu ndugu jamaa na marafiki mliopo ndani ya Jf., Nia na madhumuni ya kuandika uzi huu, nihitaji la msingi kabisa ambalo kila binadamu aliyekamilika lazima alitimize. Mim ni mhitimu wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani wana JF, Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya. Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na...
12 Reactions
91 Replies
11K Views
Mchumba baade aje kuwa mke anahitajika. Sifa zake.. Umri miaka 22--35 Kabila lolote Makazi-Dar es salaam Akiwa mnene itapendeza zaidi Rangi yeyote Elimu kuanzia kidato cha 4 Mrefu au mfupi vyote...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom