Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina miaka 24 hadi sasa, mpango wangu wa kuoa ni 2018 {NDOA RASMI). Najua sifa za mchumba zipo ambazo hawezi kujipa yeye bali mipango ya Mungu. Nahitaji walau awe na sifa hizi.. 1.Urefu wa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wana jukwaa.Mimi ni mwanaume mwenye miaka 34,ni mwajiriwa wa serikali.Na Ni mrefu kiasi na mnene wa wastani.Dini yangu ni RC na kabila langu ni mchaga.Natafuta mwanamke mwenye umri wa kati...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
SIFA AWE MKRISTO DHEHEBU LOLOTE ISIPOKUWA MSABATO NA SOLOAMU MIAKA 30-35 AWE MCHA MUNGU ASIWE,MCHAGA AMBAYE YUKO TAYARI ANI PM 🙏
14 Reactions
65 Replies
8K Views
Mi ni mwanaume natokea nyanda za juu kusini, umri wangu uko ukingoni mwa 20's najitokeza kutafuta mwenza wa maisha ambaye yuko tayari na serious dini yangu mie mkristo, elimu ya kunitosha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DADA ZANGU HUU NI MWAKA WA MABADILIKO. TAKE IT OR LEAVE IT. Umempata bwana... Umempenda kweli... Umemlalamikia kwa nini hakupeleki kwa wazazi.. Bwana akakupeleka kwa wazazi wake...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello folks!. Natafuta binti wa umri kati ya miaka 20-25, ambaye yupo single na yupo tayari kuanzisha uhusiano wa kimapenzi. Kama upo tafadhali njoo what's app +255654198363. Tuzungumze kwa upana.
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Wanajamvi Natafuta mwanamke aliye serious ambaye atakuja kuwa mke mwema kwangu, .Awe na sifa zifuatazo kwa ufupi; 1 Awe mcha Mungu 2.Awe Mkristo ,kama ni muislamu awe tayari kubadili dini...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Hakika ile furaha niliyoikosa muda mrefu, sasa imerudi. Tangu nilipoamua kuhamishia mapigo yangu kwa mke wangu na kuachana na michepuko, nimejikuta penzi letu linanoga siku hadi siku. Kila...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari zenu. Natafuta mwanaume ambae endapo atakubaliana na hali yangu kimaumbile aweze kuwa Mchumba wangu na baadae awe Mume wangu. Mimi ni mwanamke kamili isipokuwa ni She-Male yaani nina...
17 Reactions
169 Replies
28K Views
Habari!! MIMI NI MWANAUME WA MAKAMO. NAISHI DAR ES SALAAM. UMRI WANGU,NAKARIBIA MIAKA 50. NINA UREFU WA FUTI 5 NA INCHI 7(SM 170). MAJI YA KUNDE. MWEMBAMBA. Nimejitokeza hapa kutafuta mwanamke...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello wadau. Husika na Habari hapo juu Natafuta mwanamke anayejielewa -Awe angalau Maji ya kunde au mweupe WA asili no mkorogo -Mrefu kiasi tuu, asiwe mfupi sana, maana mimi ni mrefu kiasi -Akiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitwa Joseph naishi na VVU nna miaka 32, naishi Mbeya ni mfanyabiashara, mkristo na mcha Mungu elimu yangu diploma na sina mtoto. Natafuta msichana mkristo miaka 24-28 mkristo na mcha Mungu...
3 Reactions
21 Replies
42K Views
Kwenye simu yako ya mkononi, mchepuko wako wa kike/kiume umeuandika jina gani ili mmeo/mkeo asiutambue? Mimi nimeupa jina BOSS WANGU, tena akipiga simu nikiwa na mke wangu, wakati wa kupokea...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu Ni kijana wa miaka 26 anamtafuta that one lady,my queen,la'azizi kitulizo cha moyo wangu.baada ya kukaa mda mrefu bila mahusiano yoyote kutokana na maswahibu mbalimbali ya...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Natamani kupata mdada umri (18+ Sifa. Uwe single Usiwe na HIV Mwenye malengo Uwe umemaliza form four + Rangi yeyote Urefu wowote Uwe na pesa au hauna haijalishi Uwe unapenda kugegedana Mcheshi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nini shida jaman nimpendaye ananizingua balaa, niko serious kumuoa lakin majanga tuu. anayenipenda hata simzimii kabisa.
3 Reactions
38 Replies
3K Views
I am goodlooking professional guy in his early twenties, I am looking for a openminded lady in dsm to have a discreet relationship with them over the weekends with no string attached and no cash...
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo ...mkristo dhehebu lolote..akiwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina miaka 35 mkristu wa madhehebu ya RC. Nina mtoto mmoja wa kike 7 aged na naishi IRINGA. Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo . Awe mkristo wa dhehebu lolote ila kama ni islamic asiadhiri maisha...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom