Sina la kusema, Asante JamiiForums narudia tena asante JamiiForums you are great ooh! Mpaka nitaongea kichaga sasa Aikaa JF!
Guys JamiiForums is real if you are 100% real basi una fungu lako kama...
Hello my name is John am stay in Dar es salaam. Am search for girl who can be my friend first and later if God wish we can move to another level. She should be free of herself,age 25 and above...
Nahitaji kuwa na rafiki mmoja wa kike umri usizid 30 years mwenye focus nzuri ya kimaisha na mwenye kuona mbelee..!! Km uko interested nichek kwa 0652835872
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo afrika ya kati nafanya biashara natafuta mchumba nyumbani tz
Sifa zake
1.awe anajielewa
2. Awe mkristo
3.ata km Ana mtoto 1 sio mbya maana ata mimi ninae.
Mbele ya mboni za macho yenu ndugu watazamajii!
Mfanyabiasha mkubwa na mwanasaikolojia KIPEPE, Nipo hapa kutafuta mtoto mkaliiiiiiii!!!
Ebbanaaaa! Uwe mkali aseeee! Maana komredi ni Kijana...
Aslm alykm natafuta mke wa kuowa awe na umri kati ya miaka 30 hadi 25 umri wangu miaka 36 dini muislam na yeye awe muislam kabila asiwe mchaga tabia nzuri hata kama ana mtoto mmoja sio mbaya alie...
Wale waliozaliwa siku hii ni watu wenye nguvu ambao mara nyingi huwa na wasiwasi na kusaidia jamii kufanikiwa kwa kutekeleza mabadiliko ambayo yatasaidia au kuwajulisha umma. Watu hawa wenye...
Kama mnavyo fahamu nafsi nyonge nahitaji mtu wa kuanza nae mapenzi tujaliwe tufike sehemu nzuri kwenye penzi letu
Mimi
Miaka 28+
Graduate nimeajiriwa pia nimejiajiri
Naishi DSM na ni mzaliwa wa...
Wakuu habarini,
Nipo maeneo ya wazungu sana kila kona nakutana nao.
Nimejaribu kuwatongoza lakini wengi wanakataa ila ukimwambia vingine anakubali tu bila shida.
Unaweza mwambia tuvue nguo...
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu!
Ninaandika nikiwa na akili timamu na kujiamini kuwa mume au mke anapatikana popote panapokutanisha watu hata mitandaoni.
Niseme kweli kwasisi...
Natafuta rafiki wa kiume kwaajili ya kubadilishana mawazo.. Am not single
Napenda awe rafiki ambae anaexperience na maisha hasa utafutaji pesa na Mahusiano.
Kilichonileta humu ni kutoa langu la moyoni kwa yeyote ambae nafsi yake itaguswa na hitaji langu. Natumaini ninayo haki kikatiba, kidini na kijamii kuchagua aina ya mwenza ambaye nafsi na moyo...
#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata...
I'm John from dar es salaam looking girlfriend, around Dar es salaam age between 22 and above. Am single not black not white, am empolyed. For more details contact me through this number 0714540040.
Niend direct kweny maada
Kuna binti nmetokea kumpenda sana nmeanz nae mahusiano mwaka jana tumekua tukiendlea vzur san lakin siku ya jana cjamuelew kabsa aliniaga anaenda kukutana na kaka ake...
Kwema wanazengwe,
Kama apo juu palivyo Mungu akijaalia baadae awe wife umri kuanzia 25yrs angalau. Mimi ni Christian, muajiriwa, my age 28 sina vipengele vingi lakin awe tayari kupima afya cha...
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na...
Habari wanajamvi, mimi nmejiunga jf mwaka jana lakini sikua active participant sana.
Leo nimeamua nije katika hii platform ya "LOVE CONNECT" namimi nitafute mtu wa kunirudisha kwenye mstari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.