Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu wana JF? Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor). Sifa za mke ambaye Napenda niwe nawe ni kama ifuatavyo:-...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Mimi natatizika sana na haya maneno au labda yote hapo sawa..bila MTU akitamka au nkilisoma katika ujumbe Mfano utasikia "nipo njiani kwa gari nakuja" Mimi kwa upande wangu hilo sio sawa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Asalam alykum Mimi ni kijana (29) niko Arusha muajiriwa nahitaji mchumba wa kuoa. SIFA 1. Muslim 2. Umri chini ya miaka 30 3. Unashughuri ya kukuingizia kipato Nichek pm serious
1 Reactions
0 Replies
764 Views
Nimedhamiria kwa dhati, natafuta mke wa kuoa na kuishi naye. Naitwa Hensley nina umri wa miaka 46, rangi yangu maji ya kunde, ni mnene kidogo, mrefu wastani, elimu yangu shahada Ua uzamivu, ni...
4 Reactions
63 Replies
13K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, naishi mkoa wa Dar es Salaam. Nakuja hapa kwa mara ya kwanza, Natafuta/Nahitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 21 mpaka 25 ambaye yupo tayari tuwe...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi. Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu. Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani. Nimhitimu katika chuo cha veta. Tofauti na...
5 Reactions
124 Replies
17K Views
I am looking for a person who will give me company and i want a man who is good in heart,understanding,who will love me and respecting me . I want someone who is charming lokes jokes and love to...
1 Reactions
115 Replies
9K Views
Natafuta mchumba lakini awe na vigezo vifuatavyo; 1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu. 2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika. 3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri. 4. Awe msafi kuanzia...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Uwe mchangamfu Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela. Ujue kutafuta hela Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili Uwe na upendo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
naitwa jurnia from moshi nina miaka 26 natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo umri : miaka 18-24 elimu ; kiwango chochote rangi: yoyote bt asiwee mweusiii tiiiiii tiiiiii umbo: napenda mweny umbo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu Takriban kwa mda mrefu sana nilikua naishi kiunafiki kabisa kufake relationship status yangu kwa sababu tofaut ambazo ni ziite kua ni za kijinga Nilikua napata tafakar kuhusu...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Epuka kujifikiria mara mbili mbili ndugu... Usione huruma wanawake wanabadilika kama kinyonga...Roho ikikuambia acha, piga chini nakuambia piga chini faster hakuna kuremba. Kuna manzi ilibidi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
  • Closed
Kwahiyo Umeshindwa kutafuta hata uliyo soma nao wewe utakuwa so mzima
1 Reactions
4 Replies
1K Views
-awe na umri chini ya miaka 24 -awe mwembamba -awe mweusi au kama mweupe Basi ule wa asili -awe na elimu ya chuo chochote ngazi ya cheti,diploma au degree hata Kama akiwa Hana kazi haina shida...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari za usiku wakuu...poleni na majukumu ya mchana kutwa. Nielekee direct kwenye hoja yangu! Nimewahi kuona ama kupitia nyuzi nyingi za wadada wanaodai kutafuta waume wa kuwaoa ( wengi wao...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habarini wakuu....... Hawa mawifi wa dada yangu wanaona kama dada yangu anafaidi sana mali za kaka Yao Nyuma ya pazia dada yangu alichukua mkopo wakakubaliana kama familia wafanye biashara na mme...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 35, msomi mzuri.natafuta mchumba wa kuoa,awe ni muislam kwa dini na mwenye kuheshimu dini. awe mrefu na mweupe.umri usiozidi miaka 30. Kwa maelezo zaidi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari gani wadau wa nguvu,siku za nyuma nili post thread ya kutafuta mwenza. Katika ile post nili toa vigezo vya mtu ambaye naitaji kuwa naye. Kuanzia siku ile madada wengi walijitokeza wengi...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
I'll lay out the reasons and you decide for yourself which is better. Being Married: 1. It's a partnership and a life time commitment. 2.Everything you want to do has to be discussed and agreed...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom