Habari zenu wana JF? Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor).
Sifa za mke ambaye Napenda niwe nawe ni kama ifuatavyo:-...
Mimi natatizika sana na haya maneno au labda yote hapo sawa..bila MTU akitamka au nkilisoma katika ujumbe
Mfano utasikia "nipo njiani kwa gari nakuja"
Mimi kwa upande wangu hilo sio sawa...
Asalam alykum
Mimi ni kijana (29) niko Arusha muajiriwa nahitaji mchumba wa kuoa.
SIFA
1. Muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Unashughuri ya kukuingizia kipato
Nichek pm serious
Nimedhamiria kwa dhati, natafuta mke wa kuoa na kuishi naye.
Naitwa Hensley nina umri wa miaka 46, rangi yangu maji ya kunde, ni mnene kidogo, mrefu wastani, elimu yangu shahada Ua uzamivu, ni...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, naishi mkoa wa Dar es Salaam.
Nakuja hapa kwa mara ya kwanza,
Natafuta/Nahitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 21 mpaka 25 ambaye yupo tayari tuwe...
Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na...
I am looking for a person who will give me company and i want a man who is good in heart,understanding,who will love me and respecting me .
I want someone who is charming lokes jokes and love to...
Natafuta mchumba lakini awe na vigezo vifuatavyo;
1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu.
2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika.
3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri.
4. Awe msafi kuanzia...
Uwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo...
naitwa jurnia from moshi
nina miaka 26
natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo
umri : miaka 18-24
elimu ; kiwango chochote
rangi: yoyote bt asiwee mweusiii tiiiiii tiiiiii
umbo: napenda mweny umbo...
Habar zenu wakuu
Takriban kwa mda mrefu sana nilikua naishi kiunafiki kabisa kufake relationship status yangu kwa sababu tofaut ambazo ni ziite kua ni za kijinga
Nilikua napata tafakar kuhusu...
Epuka kujifikiria mara mbili mbili ndugu... Usione huruma wanawake wanabadilika kama kinyonga...Roho ikikuambia acha, piga chini nakuambia piga chini faster hakuna kuremba.
Kuna manzi ilibidi...
-awe na umri chini ya miaka 24
-awe mwembamba
-awe mweusi au kama mweupe Basi ule wa asili
-awe na elimu ya chuo chochote ngazi ya cheti,diploma au degree hata Kama akiwa Hana kazi haina shida...
Habari za usiku wakuu...poleni na majukumu ya mchana kutwa.
Nielekee direct kwenye hoja yangu! Nimewahi kuona ama kupitia nyuzi nyingi za wadada wanaodai kutafuta waume wa kuwaoa ( wengi wao...
Habarini wakuu.......
Hawa mawifi wa dada yangu wanaona kama dada yangu anafaidi sana mali za kaka Yao
Nyuma ya pazia dada yangu alichukua mkopo wakakubaliana kama familia wafanye biashara na mme...
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 35, msomi mzuri.natafuta mchumba wa kuoa,awe ni muislam kwa dini na mwenye kuheshimu dini. awe mrefu na mweupe.umri usiozidi miaka 30.
Kwa maelezo zaidi...
Habari gani wadau wa nguvu,siku za nyuma nili post thread ya kutafuta mwenza.
Katika ile post nili toa vigezo vya mtu ambaye naitaji kuwa naye.
Kuanzia siku ile madada wengi walijitokeza wengi...
I'll lay out the reasons and you decide for yourself which is better.
Being Married:
1. It's a partnership and a life time commitment.
2.Everything you want to do has to be discussed and agreed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.