Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Huwezi kusimama peke yako na kudumu kwenye mafanikio makubwa kwa muda mrefu bila kuwa na watu Pamoja na mifumo iyakayokubeba na kukusaidia kupanuka. Unahitaji msaada kwenye maeneo haya: 1...
2 Reactions
1 Replies
209 Views
Mpo katikati ya mtanange aka tendo mara bibie anasimamisha pambano ghafla na kukutazama kwa jicho tepetevu la mviringo lililojaa huba hlf anakuuliza "baby unataka nikupe nini?" Huko kwenu...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Kijana afia kwenye nyeto
23 Reactions
119 Replies
5K Views
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi. Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini Mzee huyu kutoka...
61 Reactions
233 Replies
13K Views
Tujipumzishe kidogo na siasa na tuangalie masuala ya kijamii. Kwanini idadi kubwa ya wanawake hawataki kuzaa kabisa au hawataki kuzaa watoto wengi (zaidi ya wawili au watatu). Je tatizo ni...
6 Reactions
18 Replies
544 Views
Wadau hamjamboni nyote? Dokezo 10.01.2025 Kutoka: Mume Kwenda: Mke CC: Wasimamizi ndoa YAH: TUHUMA DHIDI YAKO Tafadhali husika na somo hapo juu Barua hii inahusu tuhuma dhidi yako kwa kufanya...
5 Reactions
24 Replies
908 Views
Hbr wana JF, Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu...
38 Reactions
380 Replies
11K Views
Ni mweusi, mrefu, ana tacle lile og, macho legevu, analegeza sauti akiongea na mimi. Ni jirani mwema sana.
10 Reactions
46 Replies
2K Views
kitovu cha mtoto kimeharibu ndoa Kaka angu magical power, nimeamua kuikimbia ndoa ili nimuokoe mwanangu naona walikuwa na nia mbaya juu ya mtoto. Kaka hata kujifungua tu kidogo nifie hospital...
3 Reactions
4 Replies
425 Views
Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake. Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama...
63 Reactions
554 Replies
48K Views
Kuna kundi kubwa la wazee wa 2000 walitusumbua sana hapa miaka ya karibuni wakitaka haki ya kumiliki shirika la mapenzi Kuingia kwetu 2025 kumewaondolea rasmi haki miliki ya mapenzi na badala...
17 Reactions
24 Replies
766 Views
Vinalalamba lips kujipendekeza kwa warembo, vinapenda sana kupitiliza maana viko desperate na mapenzi na mwanamke akikuona uko desperate na yeye anaamua kuishi na wewe vile anavyotaka. Hii...
6 Reactions
15 Replies
372 Views
Ndugu wanaMMU, naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha wala kuwapotezea muda. Baada ya kuona idadi ya single mothers inazidi kuongezeka kila kukicha, nimeshawishika kufungua uzi maalumu...
6 Reactions
90 Replies
3K Views
Imagine mke wako anaomba talaka kwa sababu upo bize na kazi.. Kisha anaenda mahakamani kudai mgawanyo wa mali, nusu kwa nusu. Mali ulizozipata kutokana na kazi. Mwanaume ana sacrifice muda, na...
30 Reactions
123 Replies
2K Views
Wasalaam wakuu! Mara kadhaa nimesikia watu watu wakiilaumu pombe kama chanzo cha ufukara, mimi nakataa, nasema kuendekeza mayenu ni hatari zaidi ya pombe. Kwa kifupi hakuna kiungo hatarishi kwa...
43 Reactions
163 Replies
7K Views
Ni jambo ambalo sijawahi kuliwazia ila ndio ukweli kwa kizazi hichi kilichoanzia miaka ya 90 kwenda mbele, ndoa zinavunjika kila kukikucha ila wachumba sugu bado wanaleta, zifuatazo ni baadhi ya...
5 Reactions
28 Replies
730 Views
Wakuu Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi. Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali. Leo asubuhi naamka nakutana na message...
19 Reactions
114 Replies
2K Views
Majina yangu ni Johannes Ignatius Rwebangira, mzaliwa wa kijiji cha Bisheke, Kata ya Mubunda, Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera. Baba na Mama yangu wote wakiwa wazawa wa kijiji hiki pia, hivyo hapa...
53 Reactions
173 Replies
16K Views
Natumaini mkopoa? Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale...
30 Reactions
336 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…