Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wadau, Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa...
30 Reactions
394 Replies
21K Views
Habari yenu ndugu zangu. Niende kwenye mada. Mimi nina mchumba wangu toka mwaka juzi tupo kwenye uchumba na mwakani tumepanga kufunga ndoa. Sasa mwaka jana mwezi wa 6 nilipata transfer...
22 Reactions
188 Replies
5K Views
Naombeni ushauri ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini. Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye...
22 Reactions
94 Replies
3K Views
Hicho kiwanja andika majina ya watoto wako, usiwe loofer. Kama mkeo hakusikilizi, wewe ni loofer. Kama mkeo anakupangia namna ya kutumia ela zako wewe ni loofer. Kama mkeo umemfungulia biashara...
4 Reactions
12 Replies
330 Views
Kipindi nimemaliza kidato cha 4 nikiwa sina hili wala lile yani sina mchongo wowote ule, nilisoma mbali na kitaa chetu kwahiyo kupata hata masela wa kunipa dili ilikuwa ngumu. Kuna siku nilikuwa...
2 Reactions
20 Replies
702 Views
Uyu demu ni material oriented Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa Na Huwa namjali kumhudumia...
12 Reactions
44 Replies
1K Views
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika. Anamatumizi mabaya ya...
13 Reactions
44 Replies
1K Views
  • Closed
Habarini za wakati mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 28,natafuta mpenzi wa kike hasa awe na jinsia mbili ila ya kiume iwe haipo active na kama ipo active awe tayar kufanyiwa upasuaji kabla ya...
3 Reactions
76 Replies
8K Views
Nguvu tunazotumia kuwekeza sehemu tusipotakiwa huwa ni kubwa sana kiasi kwamba hizo nguvu zingewekezwa pengine zingeleta matokeo chanya na makubwa. UKIONA UNATUMIA NGUVU NYINGI NI DALILI KUWA...
1 Reactions
6 Replies
241 Views
Habari wakuu, Mjuavyo tena, mwanaume bila michepuko ni sawa na jogoo kuishi na mtetea mmoja, kitu ambacho hakiwezekani. Nimebahatika kuwa na michepuko kadhaa, ambao ni pisi kali; na baadhi yao...
6 Reactions
51 Replies
984 Views
Wakubwa, wabobezi, nguli, waandamizi, wataalamu na majina mengine nimetanguliza heshima kwenu ili niweze kupata busara zenu. Je, Kuna ukweli kwamba kabla ya kuoa mwanamke inabidi kuna mitego...
5 Reactions
72 Replies
2K Views
Elon Akihojiwa na redio , amesema chanzo cha kutengeneza sex robot ni kuokoa Mali, muda na uhai wa wanaume wengi duniani. Akitolea mfano wa sheria za talaka ambapo wanaume wengi hujikuta...
13 Reactions
47 Replies
1K Views
Shalom, Ukweli ni dawa na acha tuwape dose, mwanaume akiwa akiwa na kazi rasmi na umri 30+ years kama hajaoa huyo ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa umri wa 27+ years huyo ni Malaya. Sina...
12 Reactions
58 Replies
2K Views
EPS 1 Heshima Kwenu Wakuu, Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani...
72 Reactions
581 Replies
123K Views
Piga ua lazima mmoja amroge mwenzie alasivyo fujo,vurugu na vitimbi havitaisha. Iwe jua iwe mvua lazima mmoja wenu awe msukule wa mwenzake!. We sema hela Sasa utateseka na hela zako,cheo...
17 Reactions
101 Replies
6K Views
Wadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani. Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni...
112 Reactions
1K Replies
84K Views
Tangu nitumie mitungi ya gesi sijawahi ona expire date kwenye mitungi hiyo je nani anawajibika ? Nimeona mtu kaandika huko Instagram hivi Hapa alimaanisha mitungi sio majiko na kama ni hivyo...
1 Reactions
6 Replies
415 Views
Kwanza kikazi chetu ni kizuri kinaleta changamoto kwenye jamii na kuonyesha ma "gap" mengi ambayo hayajazibwa vizuri kwenye jamii. Kinapima uwezo na utoshelevu wa malezi yenu (Millennials) Je...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
May all souls find enlightenment, Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Kataa ndoa tunajambo letu 2025 mwingine huyu hapa namuachia manyoya shwaaaah uzuri ashalambwa mara mbili japo sikuwa na mpango wa kumuacha ila kwa haya mashuti aisee nakimbia mbio ndefu sana...
36 Reactions
206 Replies
4K Views
Back
Top Bottom