Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

1. Wanawake wembamba wana roho mbaya. 2. Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja. 3. Wanawake wenye makalio wanazaaga...
21 Reactions
134 Replies
5K Views
Nilikuwa kijana sasa ni mzee. Miaka hiyo nafanya kazi kwa kijana mwenzangu ambaye Mungu alimbariki na kumuinua sana kiuchumi kwa nyakati hizo. Ni kati ya Waafrika wa mwanzo kumiliki SCANIA 111 na...
15 Reactions
61 Replies
2K Views
Binafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye...
12 Reactions
162 Replies
3K Views
NILIMPA FIGO YANGU Kila ninapokumbuka, moyo wangu unauma, Nilimpenda Rebeka, ni binti wa Kimanyema, Chuoni nilipofika, kwa pamoja tulisoma, Nilimpa figo yangu, la mbele sikutambua. Tangu afike...
0 Reactions
6 Replies
208 Views
1.Epuka kukubali kuguswa na mtu ,iwe begani au wapi pindi mpo kwenye stori na vema wakajua kuwa huwa hupendi. 2.Epuka kukumbatiana na mwanaume mwenzio pindi mnasalimiana,hata kama mmemisiana muda...
42 Reactions
63 Replies
2K Views
Wanaume siku hizi mapenzi yanawapelekesha mmevurugwa, kutwa kuchwa munawaandama wadada mara singo maza mara bikira mara ombaomba mara haki sawa Kaka zangu nawapa pole sana hakika mnachanganyikiwa...
35 Reactions
188 Replies
6K Views
Aah
14 Reactions
141 Replies
6K Views
Wakuu habari za weekend Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye...
11 Reactions
143 Replies
3K Views
Habari Niwe muwazi mimi nishamuelewa huyu Kijana.. mwanzo nilihisi upwiru tu nikamtamani ila Sasa najihisi kumpenda.. Tumeshakulana zaidi ya mara moja na namuhitaji zaidi.. Sasa niwaambie...
14 Reactions
167 Replies
3K Views
Wakulungwa hamjamboooo....!?? Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa...
14 Reactions
78 Replies
3K Views
Habari wadau. Nimekutana na post mtandaoni wa maharusi wapya wanalalamikiwa kukwepa kulipa deni la milioni zaidi ya 10 walizokopa kwa ajili ya kufanyia harusi yao. Inasemekana walifanya harusi...
7 Reactions
71 Replies
1K Views
Kwanini wanawake wenye vitambi wengi wao wanakuwa na jazba na hasira sana hata katika mambo madogo ya kawaida.?
15 Reactions
104 Replies
3K Views
Jina : Zuu( sio jina lake halisi) Age : Miaka 18 Mwaka wa kuzaliwa : 2006. Elimu: Form 4 failure mwaka 2023. Mahali kinapoishi: Ilala Rural ( Uswazi zinapo trend ngoma za singeli. Kila nyumba...
27 Reactions
147 Replies
5K Views
NJIAPANDA; NIFANYE NINI NAMTAMANI KAKA YANGU! Nina miaka 33, sijaolewa na sasa hivi siko kwenye mahusiano, iko hivi, mimi nafanya kazi na kipato changu ni kizuri tu. Naishi kwa Kaka yangu, si...
16 Reactions
147 Replies
5K Views
Nimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliyekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na...
9 Reactions
92 Replies
7K Views
Heri ya mwaka mpya. Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa dada zangu ingawa sio wote ila walio wengi. kwa wale wanaume maabaharia wanaelewa namaanisha nini ila kwa wale waaminifu kwenye mahusiano...
25 Reactions
174 Replies
14K Views
Usishangae sana sii kwa ubaya huyo huyo best friend wako wa damu damu, ambae muda mwingi unapoteza nae, huyo huyo ambae shida zako nyingi anakusaidia kutatua kwa moyo wake wote. Huyo huyo ambae...
18 Reactions
152 Replies
18K Views
Nianze kwanza kwa tahadhari sio kwamba nimeachwa la hasha!,isipokuwa ni matatizo tu ya kiufundi ndo yalijitokeza!. Maana humu hamkawii kusema nimepigwa na kitu kizito kichwani!. Ilikuwa hivi,Jana...
15 Reactions
52 Replies
4K Views
Hi, Naomba kujua wanawake wanapenda nini wawapo kitandani? 1. Rough 2. Gentle Pia, wanapenda izamishwe yote au juu juu? Ahsante Edit: Naona uzi umevamiwa na wajinga... wazee wa kuComment...
5 Reactions
120 Replies
12K Views
Mimi ni kijana, nina miaka 37 kwa sasa, niliwahi kua na girlfriend tu,tukapata mtoto mmoja, tokana na changamoto za hapa na pale, tuliachana na kila mtu akawa na maisha yake, mtoto wangu kwa sasa...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…