Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habar wapendwa. Mimi nilikuwa na mwanaume ambae nilizaa nae mtoto mmoja ilifika muda tukazinguana nikamwambia naomba tuachane tulee mtoto katika swala zima la amani na si mapenzi tena alikubali...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu, Napenda kuwashirikisha wana JF wote waliopitia maisha ya vyuoni na ambao bado wapo vyuoni, hivi uhusiano wa mapenzi kwa wanafunzi ni utaratibu wa vyuoni au vipi? Maana nimezoea...
5 Reactions
149 Replies
35K Views
Women, in contrast to guys, do not want to enjoy a reloading phase" while they arrive for the primary time. Wome may also get her 2d orgasm in much less than a minute. Make her an experience like...
1 Reactions
5 Replies
894 Views
Umofia kwenu, Ndoa ya bro ina migogoro mwaka kumi huu wanaachana kama mwezi wanarudiana tena na shem ila bro kicheche na tungi hatari Jambo la ajabu kwa mkubwa wangu huyu ni kua kwa sababu ya...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu, Kama uzi unavyojieleza hapo juu, napenda kufahamu ni kiwango gani cha manii chahitajika ili kuweza kurutubisha yai la mwanamke ambaye yupo tarehe za kupata mimba? Nina maana endapo...
3 Reactions
71 Replies
8K Views
Nilikuwa nataka aje ghetto ili anitunuku, wiki tatu zikakatika wakati huo wote alikuwa ananiambia vitu alivyonavyo mwilini kama shanga, akauliza pia kama ninapenda kiuno chenye shanga. Nikamwambia...
7 Reactions
53 Replies
10K Views
I want to be with U until the sun falls from the sky. Happy Valentine ' s Day I kept my heart strong like Iron but , I didn ' t know that your heart is a magnet What happens when you fall in...
11 Reactions
313 Replies
23K Views
Wakati wa balehe ni moja ya nyakati ngumu sana kwa kijana wa kiume. Kwa upande wangu nilipata sana tabu na nilitaabika kweli kweli sababu nilikua na mihemko ya NGONO kwa kiwango Cha juu sana ...
7 Reactions
21 Replies
3K Views
Huyu dem napishana nae kila mara hapa mtaani kwetu na kwa kuwa mimi si mtu wa story sana na washikaji hapa kitaa yaani nikitoka nimetoka nikiingia nimeingia hivyo sijazoeleka sana na watu wengi...
58 Reactions
204 Replies
47K Views
Kuna uhusiano wowote kati ya mwanaume kuwa na viganja vikubwa na ukubwa wa uume wke? Yani mwanaume akiwa na viganja vikubwa vya mikono na uume wake unakuwa mkubwa? Hii ipo na ukweli ati?
1 Reactions
50 Replies
7K Views
Bila Shaka mu wazima, naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu tumeachana huu mwezi wa tano, lakini nashindwa kabisa kufuta namba yake. Lengo la kutofuta namba yake ni ili niwe nafuatilia...
9 Reactions
145 Replies
16K Views
Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way. Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni...
5 Reactions
153 Replies
15K Views
Mwanamke mmoja nchini Malaysia ameamua kuomba talaka kumkimbia mume wake ambaye anapenda sana kufanya mapenzi akimlazimisha kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 kila siku...
5 Reactions
55 Replies
14K Views
Naweza kusema kweli huwa nina mapenzi ya kweli katika mahusiano, nasema hivi maana huwa nikimpenda mwanamke katika mahusiano basi huwa namaanisha ila shida huja pale ambapo nahisi nimepata...
5 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari za weekend wana MMU. mwenzenu Leo yamenikuta makubwa. Nina rafiki yangu wa kiume ni just a normal friend,basi tangu jana akawa ananisisitiza sana tuonane kwa ajili ya business issues, na...
6 Reactions
137 Replies
16K Views
Asalaam aleykum... Tumsifu yesu kristo... Mwana kondoo ameshinda... Ama baada ya salamu Mimi ni kijana wa kitanzania umri miaka 24 ni Mwajiriwa wa Selikari (Mtumishi wa Umma). Nimekuja kwenu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu wa humu hasa wanaume mmjue kwamba mtu akitoa post au akikoment jamboo sio anawahitaji . Sijui kwa wengine ila kwangu mimi HAPANA siitaji mtu wala nini. Shida ya watu wa humu ni mtu tu yupo...
36 Reactions
356 Replies
21K Views
Wakuu nina mpango wa kuoa ifikapo mwakani ila naombeni muongozo ni mambo gani ya kuzingatia wewe na mpenzi wako kabla ya kufikia hatua ya kuoana? Kwa wale mnaofahamu nitashukuru mkinipa mwongozo.
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom