Miaka ya karibuni Kuna kundi la Wanawake ambao wanaojiheshimu na hawajaolewa wanalalamika kwamba Wanawake ambao hawajatulia ndo wanaolewa
Ukweli ni kwamba Wanawake ambao wanaonekana hawajatulia...
Mada iko nyepesi kabisa vijana wakiume tukimbilieni darasa la Saba au kidato cha nne aliyeshindwa Kwani wengi wao ndo wake sahihi ukimkuta mwenye dini.
Msichana wa chuo kikuu anaamini ndo ni...
Salam,
Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife...
Natumai hamjambo wakuu
Wakuu hili jambo limekuwa likinishangaza sana, yaani kijana wa kiume mwenye akili darasani hushobokewa sana na wadada but mabinti wenye akili darasani huogopwa na...
Habari zenu kwa ujumla,
Kuna jambo nimeligundua wapenzi najua humu kuna wajuaji zaidi yangu mnisaidie mawazo yenu.
Ni hivi tokea nianze mahusiano na ex wangu cha ajabu sijawahi kutembea na...
Wanajukwaa,
Moja ya mambo yanayoweza kukuua ni hili la kufumania mpenzi au mkeo na hasa akiwa katikatikati ya sita kwa sita na jamaa mwingine. Mliowahi kufumania leteni uzoefu wenu na nini cha...
Kuna wanawake kama wanane hivi ambao nawafahamu kwa karibu ambao wana sifa zote za kuolewa haraka but wapo wapo tu... Na wote huwa nasikia wakilalamika kuwa wanaume ambao ni husband material...
Wakuu nadhani shetani yupo kazini, mzee wangu. Anafanya kazi mkoani mimi nipo mkoa mwingine anakuja mara moja au 2 kwa mwezi.
Tuna miaka 18 katika ndoa sijawahi kuchepuka, mwanzoni nilikuwa...
Ujue haya mambo haya... Boss wangu mpya ni mmama flan hiv..single mama nadhan sjui vizur..ngoja nichunguze..ila havai pete yoyote
Kiufup ana dalili zote za kunipenda huyu mama..ila ndo dah...
Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu
Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati...
Napofanyia kazi hapa kijiweni Kuna njia inayoelekea sokoni Sasa kila siku asubuhi mida ya saa tatu mpk saa sita mchana wanawake hasa wa Rika la Kati wengine wameolewa hupita huku wakiwa...
Wakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu...
Wasalamu ndugu wana Jamii Forum,
Namshukuru Mungu kwa kutupatia uzima wa kuendelea kupeana mafunzo kupitia majukwaa mbalimbali ya kijamii mtandaoni hakika hatuna budi kusema asante Mungu.
Nianze...
KATIKA uhusiano wa kimapenzi hakuna kosa kubwa kwa wanaume kama kutojiamini na mbaya zaidi kutomwamini mwenza wake. Kumekuwa na dhana kuwa tatizo la wivu lipo sana kwa wanawake kuliko wanaume...
Wakuu naombeni ushauri shem/wifi yenu wkt nashughulika anapiga kelele weee then ananing'ata kifuani au mkono au vidole hata mguuni inategemea position niliyopo wkt tunajipa raha basi inafika...
A friend of mine gave me a scenario. It was a simple question but I personally haven't found the answer yet. It goes like this. If you were in a scenario where you were torn between choosing the...
RIP Fredwaaa.
Nalaani kitendo alichafanyiwa mke wangu mpendwa siku ya harussi yetu.
Siku ya harusi mke wangu na mimi tukiwa ukumbini tulishtuka kuona mtu akichukua mic na kuanza kumdai waifu...
Habari za usiku wanajamvi, poleni na pilika za kutafuta ugali.Basi bwana baada ya kutishwa na bi mkubwa kuhusu mumewe,mie nikarudi daslam baada ya mishe zangu mkoa kukamilika.
Siku nafika jamaa...
Habari wanaJF.
Kuna mtu katika watu amepatwa kuulizwa swali kama hili na mwanawe wa darasa la nne
"Baba mbona akili yako na yangu hatufanani, una uhakika kwamba mimi ni mwanao kweli? Hii...
Sijui Wana tamaa, ukipendeza wanajileta,
Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa.
Ukimfata na gari hata kama la kuazima, ujue amekwisha huyo. Akikupa namba we tuma salio, mwambie njoo gheto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.