Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nina miaka takribani kumi toka nioe. Toka kuanza urafiki mpaka kuoana na huyu mke tulikaa miaka tisa. Nikukuwa na ups and down katika ndoa yangu physical na psychological mpaka wakati mwingine...
14 Reactions
37 Replies
4K Views
Baada ya kufunga ndoa na mke wangu umri miaka 18, mwezi mmoja baada alianza kuumwa ugonjwa wa kuishiwa damu ambapo kabla niliambiwa ni tatizo alilokuwa nalo toka utotoni sasa lilikwisha pona haya...
6 Reactions
50 Replies
5K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye? Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao...
21 Reactions
45 Replies
8K Views
Kuna mke na mume wameanza mgogoro mkali ambao unatishia ndoa kuvunjika. Miaka miwili iliyopita walioana na sasa wana mtoto mmoja na wote ni waajiriwa wa serikali na wote wameanza kazi intake moja...
12 Reactions
163 Replies
11K Views
Licha ya kutuma tuma texts zisizojibiwa kila wakati, dalili gani nyingine inaonesha kwamba una force Mahusiano?[emoji17][emoji17][emoji17]
10 Reactions
111 Replies
14K Views
Hapa kunanjia 10 utakazozitumia wewe mwanaume ili kuhakikisha humkwazi mwanamke unayempenda mnapokuwa katika mazungumzo ; 1. Wakati ukizungumza nae, jaribu kuzungumzia "hisia" kama vile kumbu...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Siku hiyo kidume cha mbegu nilikuwa nakula mzigo wa mke wa mtu kwake, Mumewe alikuwa Safari. Baada ya kumaliza kula mzigo mzee nikawa nimejilaza pale kitandani huku mikono yangu nikiwa nimeiweka...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho. Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo...
12 Reactions
70 Replies
7K Views
YAPO MAWILI MATATU YA KUJIFUNZA HAPA [emoji116] Anaandika Goliath Mfalamagoha _ Boniface Murage, mkazi wa Embakasi, Nairobi nchini Kenya, amekuwa gumzo katika vyombo vya habari Afrika Mashariki...
14 Reactions
10 Replies
2K Views
Ebu tusaidiane kwenye hili UKIMFUMANIA Mpenzi/Mchumba wako utachukua uwamuzi gani? Utamsamehe maisha yaendelee au utafanyaje?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ewe dada ewe kaka ewe kijana wa kike na wakiume acha tamaa macho hayajawahi tosheka kuona. Sikila mwanamke/mwanaume lazima uzini naye tuache tamaa. Na zinaaa haipambiki ni haramu na chukizo mbele...
9 Reactions
7 Replies
1K Views
Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke. Hali hii inasababishwa na nini?
5 Reactions
73 Replies
6K Views
Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema. Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi...
15 Reactions
62 Replies
7K Views
Nauliza hivi sababu najua jukwaa hili tutapata muafaka wa hili jambo tukiweka kwa pamoja mawazo yetu katika jambo hili ambalo hua lina mkanganyiko katika mahusiano mengi. Lakini je nauliza...
4 Reactions
95 Replies
17K Views
Katika mahusiano yeyote yale kuachwa ni jambo la kawaida lakini ndani ya mahusiano ukigundua kuna dalili za kuachwa na mpenzi wako Huwa unachukua hatua gani mapema kukabiliana mapema na hali hiii...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo. Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka...
8 Reactions
99 Replies
13K Views
Ukiangalia kwako binafsi wazazi wako wanakupenda sana au wewe unawapenda zaidi kutokana na kila mtu kumjali mwenzake?
0 Reactions
4 Replies
861 Views
Ni ushauri wa muhimu. Katika kazi niifanyayo kwa Sasa nimekutana na wakaka na wadada wenye tatizo la uzazi na unakuta washafunga ndoa. Nikupe case study moja, Kuna afisa mmoja mkenya Ana pesa...
16 Reactions
67 Replies
6K Views
Poleni na majukumu wakuu, NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na...
12 Reactions
66 Replies
5K Views
Wakuu bila shaka hamjambo! Aisee! Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja nafanya kazi kwa kuzunguka the whole week. Nachojishangaa hii kazi nahisi kabisa siitaki ila nafanya tu basi. Kuna siku...
4 Reactions
102 Replies
8K Views
Back
Top Bottom