Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Yaani.... Nimekosa raha, tabasamu langu limepotea... Nilitoka na niliapa kutokulia, ila jana machozi ya kwikwi yalinitoka. Ni sehemu ya kufatilia namna ya kupata huduma, unauliza natakiwa...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Video ya ngono iki leak mwanamke aliyomo kwenye hiyo video huwa haangaliwi vizr na jamii yake tofauti na mwanaume aliyehusika pia kwenye hiyo video. Mwanamke atataniwa kwa aina ya matusi na utani...
2 Reactions
48 Replies
7K Views
Mimi ni kijana wa kiume mwenye Miaka 30 sina MCHUMBA wala RELATION na MWANAMKE YEYOTE. Ngoja Leo niwape visa vya mapenzi ambavyo vilivyonitokea na kunifanya KUSINYAZAA MOYO JUU ya HAYA MAPENZI...
5 Reactions
16 Replies
5K Views
Maisha haya yaache tu, mama yetu alifariki tukiwa wadogo tulizaliwa watatu, mimi na wadogo zangu wawili wa kike, baada mama kufariki baba alitulea mwenyew kiubishi japo kwa mzee pesa ya kula...
14 Reactions
35 Replies
3K Views
1. Kwanza hakikisha unacheza sana na mwanaye yaani mwanaye akupende. 2. Usipende kutoka nae viwanja hawapendi maana huwa wanawawaza watoto wao especially kama ana mtoto mdogo. 3. Vi-date vyenu...
11 Reactions
62 Replies
7K Views
Habari wana MMU. Natumaini wikiendi zenu ziko poa kabisa. Miaka takribani nane imeshapita kila nikijaribu kukumbuka tukio hili ambalo nila kuvutia na kujifunza. Nakumbuka ilikuwa mishale ya saa...
61 Reactions
185 Replies
62K Views
Habari wakuu, Enzi za wazazi wetu ilikuwa ngumu sana kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda. Ila siku hizi kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda imekuwa ni kawaida. Na hii...
31 Reactions
399 Replies
45K Views
Kwanini kabla sijaanza mapenzi ilikuwa kila ninachofanya kinafanikiwa kwa viwango vya juu lakini tangu nilipoanza kuonja mbususu ya kwanza mambo yalianza kuniendea kama vile hayanijui? Nauliza tu...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Mimi ni msichana mwenye miaka 17 nipo form three (kidato cha tatu) katika shule moja hapa mjini. Nimekuja huku leo ili kuomba ushauri mimi ninasoma shule ya day na ninaishi kwa dada yangu ambae...
4 Reactions
51 Replies
8K Views
Just for experience na majuto kama yapo. Mimi sikudakwa ila niliponea chupchup,jamaa alichelewa kama sekunde 50 hivi. Ogopa sana mwanamke mwenye gari. Huyu dada alikuwa mchepuko kwa takribani...
24 Reactions
139 Replies
27K Views
Natumai wote mko salama. Ipo hivi mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja hivi nakumbuka ni october 2020, kama kawaida yetu wanaume nikajilipua nikachukua namba za simu kwa nia ya kuchakata...
2 Reactions
68 Replies
9K Views
Sijui nina moyo mdhaifu kila mwanamke Mzuri nikikutana naye najikuta nampenda na natamani kuwa naye, yaani kwa siku nikikutana na wanawake 10 basi nane nitakuwa nimewatamani.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Rafiki yangu mmoja anapiga mtungi kawaida ila pia ni hardworking sana na anajali tu familia yake fresh, shida yake sometimes akipiga mtungi na anaweza kupita na yoyote then kesho anaanza kujuta...
1 Reactions
69 Replies
6K Views
1. Mwanaume kuna aina fulani ya wanawake kwa namna yoyote ile uliyotakiwa uwaepuke. Wanawake wanaodhani uzuri wao ni zaidi kuliko tabia zao. 2. Mwanamke Tafuta mwanaume atakukuongoza na...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
There are varieties of ladies in the world and these varieties of ladies get male admirers regardless of shape, beauty, and status. Plus-sized ladies are the group of ladies that have big body...
0 Reactions
3 Replies
921 Views
Habari wakuu, Hii kitu sio utani kabisa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavosema, kwa kijana ambaye kakulia DSM katika ujana wake kuoa ni kipengele kizito sana, kuna kaka yangu toka nasoma...
29 Reactions
58 Replies
7K Views
Nina rafiki yangu mmoja tumeshakuwa kama ndugu maana tulikutana a level mpaka chuo kikuu tuko wote na kitaa tupo wote. Sasa alioa mke wake sasa ni miaka 3 wako kwenye ndoa halali kabisa. Mkewe ni...
5 Reactions
75 Replies
6K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia matukio ya wanawake kuchoma mali au hata wapenzi wao kwa wivu wa mapenzi au kuachwa na mpenzi. Unafikiri ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na wivu wa mapenzi au kuachwa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
haya makabila wahehe na wabena wanalandana sana, hata lugha zao zinaendana. Wote wanatoka mkoa wa iringa (kabla haijagawanywa kuwa njombe na iringa) wanajamvi naomba mnaofahamu sifa za wanawake...
1 Reactions
46 Replies
73K Views
Hivi honeymoon inakuwaga tofauti na vacation za kawaida ambazo wapendanao wanaendaga? Au haina tofauti zote sawa?
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Back
Top Bottom