Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Pesa isiwe kigezo cha kumpenda mwanaume mnafeli sana hapa!! Asilimia 100 ya wanaume wote duniani washajua MWANAMKE ILI UMPATE MPE PESA sasa hapa wanachokifanya wanawapa pesa na kwa sababu baadhi...
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Ni hivi wanajamvi lives come and go hivyo tuishi kwa upendo hapa duniani na tukumbuke moyo wa mtu ni kichaka. Uzi tayari wakuu wa kaya.
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Mwaka 2010 niliingia katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja mwanafunzi wa kidato cha 5. Tulidumu kwa muda mrefu sana kwani alikua akisoma jitegemee sec school nilikua nikimuhudumia vitu...
16 Reactions
119 Replies
13K Views
  • Closed
Wakuu leo nimekutana na mtoto mzuri nikaona usiwe taabu acha niongeo naye kdgo hata namba niombe ikiwezekana nitupie maneno yangu siku zijazo. Duuh nimeongea naye vzr kabsa bila tabu sasa...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
NIMEPOTEZA KIBARUA Binafsi sikuwa muajiriwa serikalini, lakini nilikuwa kibarua katika kampuni flani. Hii ni sehemu ambayo imenilea kwa muda mrefu kiasi kisichopungua miaka mitatu. Hii ndio...
8 Reactions
40 Replies
4K Views
Mimi tokea nipate akili nmewahi kuwa ktk relationships 2 tu hii ya sasa hv ni ya pili. Lakn ktk hizi relationship sijawahi kufurahia sex, kwangu mimi sex sio starehe km wengine. Huwa nafurahia sex...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Vitu ambavyo siwezi kuja kuvifanya hata nipende vipi. Vitu hivi vikitokea bora kla mtu aende upande wke tu na wala sitojiuliza mara mbili ni kuachana tu. 1. Kua against na familia yngu. Hta...
6 Reactions
94 Replies
7K Views
Liverpool VPN ameanzisha uzi huu Sasa mnaoa ili iwaje? Hebu angalia hii familia kimsingi ameonyesha kwamba kwa kuwatazama wenza aliowaelezea hakuna haja ya ndoa. Anashare msimamo na watu...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Wazazi wetu ni watu muhimu sana ambao hakuna ambae aliwaomba wamlete hapa duniani,kila mmoja alikuja duniani kwa sababu wazazi wake walitamani mtoto hivyo tumekuja duniani kwa mapenzi ya wazazi na...
2 Reactions
0 Replies
860 Views
Hivi inakuaje mzazi unamchagulia mwanao wa kiume mke wa kumuoa au mwanao wa kike mume wa kuolewa naye. Kama wamependana kwanini msiwaache waende kuishi kwa Amani na taratibu zote na kanuni...
0 Reactions
3 Replies
669 Views
Kwa tamaduni zetu za Afrika hususani Tanzania ukweni (kwa wazazi wa mke/mme) ni sehemu inayoheshimika sana kwenda ukweni hakuhitaji kukurupuka lazima ujiandae kuanzia muonekano, unachoongea na...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwasababu jambo hili limekuwa fashion huku mtaani, hawa madada zetu bila kufanyiwa hii kitu hawaridhiki kabisa. Kwa hiyo natoa ushauri kwa wataalamu wa afya kubuni kondomu salama ya kuvaa mdomoni...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Teknolojia imekuja na mambo mengi. Sasa hivi kila mwanamama anataka amiliki simujanja. Na akishamiliki simujanja basi anajiona ana kila kitu. Siku hizi wamebakiza kupakua picha za ngono na...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Numerous lovely larger measured models are additionally awe-inspiring. Ladies with bends ought to be glad whether they are a size 2 or size 20. The business sees that all ladies are or ought to be...
0 Reactions
2 Replies
550 Views
1. Timing in life is everything. 2. The two most powerful warriors are patience and time. 3. know that to love yourself is the beginning of a life long romance 4. Being single is definitely...
1 Reactions
0 Replies
512 Views
Kumekua na malalamiko mengi kwenye jamii za kitanzania na kiafrika kwa ujumla mara watoto wanapokua na kuanza kujitegemea na umri wa wazazi kusogea, wototo huwa wanakua karibu na mama zao zaidi ya...
10 Reactions
94 Replies
7K Views
Sasa baba mchungaji unaua😅😅😅😅😅😅 Hongereni kwa majukumu ya siku...... muda wa Ajigijigiiiiiiiiii umewadia tuwahi majumbani 😆😆 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
9 Reactions
28 Replies
3K Views
Huu ndiyo ukweli, jana nimemla mmoja baada ya kumwambia siwezi kumtumia pesa maana makato ni makubwa mno. Naye akasema aje ili aichukue personaly na akapelekewa moto. Tutumieni nafasi hii kuwala...
4 Reactions
8 Replies
724 Views
Unajua kwasisi ambao tunazurura usiku weekend huwa tunakutana na warembo aina mbalimbali..so unajikuta unachkua namba.na hawakatai kutoa namba..mim sikumbuk mara ya mwisho nimenyimwa namba lini...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Achana ni tozo za miamala, tutazoea tu ndugu zangu. Ila kwa hili, nimeshindwa kabisa kuzoea. Labda kama ni tatizo mnisaidie, au kama siko peke yangu basi nifarijike. Imekuwa ni muda mrefu sasa...
6 Reactions
52 Replies
4K Views
Back
Top Bottom