Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Iko hivi mzaz mwenzangu ambae tuliishi kwa mda ikitokea mfarakano akapata dume jingine tena bila kunitaarifu. Siku za mwanzo wa magusiano yake alinipiga block hata yakumuona mwanangu na hela...
1 Reactions
6 Replies
871 Views
Kusema kweli kuna kitu nimekiona kutoka kwa hawa warembo, Yaan kams pisiKali inakupenda kwa dhati na hafanyi yale ya kuchepuka alafu wewe dume ukawa huishi kutomuamini yaaan wivu kwa sana mara...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Kabla hatujajiuliza kama mapenzi ya kweli yapo inatupasa tujiulize na kufahamu neno "PENZI LA KWELI" ni nini? picha ambayo huwajia wengi vichwani mwao wanaposikia neno hili penzi la kweli huona...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1. Mpe muda wako. Usimfanye aombe muda wako. Tengeneza muda kwa ajili yake. Tengeneza wakati ambao mtakuwa mkifurahi na kupiga story pamoja. Usiwe bize Jumatatu mpaka Jumapili. Wanawake hupenda...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kufahamu madhara yatokanayo na kuangalia picha/video za ngono kwa watu wa aina zote, Wanaume kwa Wanawake...! - Tatizo jingine la mdau wa JF. Habarini wana jamvi, Jamani naomba msaada wa...
0 Reactions
406 Replies
387K Views
Miaka 11 iliyo pita July 16 kuamkia july17 Nilimpoteza dada angu kipenzi RITHA Sio kua sikuwai kushuhudia msiba hapanaa......... Uli ishi Miaka 24 tuu....ndio kwanza ulikua umeanza Kazi ya...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu zangu natumain nyote ni wazima wa afya kuna jambo nmeona kushare na nyie kwa faida yetu sote Wiki hii katika pitapita zangu katika mtandao wa tinder bhas nikakutana na mwanadada mmoja kwa...
11 Reactions
108 Replies
13K Views
.
0 Reactions
0 Replies
405 Views
Watu wengi katika maisha wamekuwa wakilaumu upande mwingine iwe mke wake au mume wake kwamba ndiye sababu ya kuvunjika kwa uhusiano au ndoa yao. hakuna jambo muhimu maishani mwako kama huo uamuzi...
1 Reactions
0 Replies
767 Views
🖊️ Huu si udhaifu wa kiume? WANAUME wengi wanapenda kuoa wanawake wanaowazidi sana umri. Ni nadra kukutana na mwanaume aliyezidiwa umri na mke wake. Kama hiyo haitoshi, wanaume wengi wanapenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika Safari yangu ya mapenzi/mahusiano enzi hizo ,sifa nyingine ya wanaume nilowahi kutoka nao kimapenzi ni wahaya.Niliwahi toka na wahaya watatu kwa nyakati tofauti hadi nikahisi nina mkosi na...
2 Reactions
36 Replies
18K Views
Siyo kwamba huwezi kufanikiwa ukiwa nyumbani, unaweza sana, ila kwa wengi inakuwa kikwazo kikubwa kwa sababu mbalimbali. Kubwa ikiwa ni mazoea na uhakika wa maisha hata mtu ukishindwa. Kwa kuwa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Ex boyfriend. Mademu wengi nilio wahi kupita nao halafu baadae wakaenda kuolewa walinitafuta baada ya miezi kadhaa na kuendelea kunipa tunda kama kawaida huku wakiwaponda sana waume zao na maisha...
47 Reactions
151 Replies
22K Views
Habari za muda huu wana Jf. Kuna jambo naomba kuuliza pengine mimi ndio sielewi. Hivi tukiachana na fedha, nini kingine wanachohitaji wanawake? Maana kuna kenge mmoja kila ninalolifanya kwake...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu, yamenifika hapa Nimekuwa nikiishi na binti wa watu kinyemela kwa takribani miezi MINNE sasa. Tulianza kama masikhara, mwisho nikamruhusu ahamie ili nijihakikishie tunda kila nikiwa na...
5 Reactions
88 Replies
6K Views
Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI! Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali...
5 Reactions
94 Replies
16K Views
Katika pita pita zangu katika mitandao mbali mbali ya duniani kama vile tagged, tinder. badoo hatimae leo nimepata demu mzungu ambaye kwao ni CANADA. Alianza yeye kuchati na mm baada tu ya...
3 Reactions
55 Replies
5K Views
Baada ya kujikita kusoma sana nyuzi za watu na mimi leo naandika uzi wangu. Miaka mitano huko nyuma nilikuwa na tabia ya kutumia ukurasa wangu wa facebook kushare mambo yanayohusiana na utaalamu...
56 Reactions
103 Replies
14K Views
Habari. Ningependa kuanza kwa kisa. Jamaa mmoja msomi tu wa masters degree kipindi kile Cha 2000 (miaka ile masters ilikua dili sio Kama leo karibu Kila mtu anayo) alipangiwa kuoa binti Fulani...
22 Reactions
56 Replies
5K Views
Back
Top Bottom