Unakuta kijana ameoa au ameolewa hata mwaka haujaisha unashanga anakwambia hana raha na ndoa yake mwingine anakwambia anajuta kuoa au kuolewa anatamani ndoa ivunjike ila kwa sababu ya wazazi...
Kuna jamaa angu tunaishi mtaa mmoja na tunashauriana vitu vingi kama vijana tuliooa tayari
Jamaa yeye kiukweli ni bonge la mchepukaji me simfikii amekuwa na hiyo tabia for a long time mke wake...
Men,
If you get a chaste woman, a pure woman, undefiled woman, a virgin woman, don't disappoint her. Don't disgrace her her.
Such women are rare.
Best relationships are established when a lady...
"SINGLE MOTHER'S WANAWAHARIBU WATOTO WAO TABIA"
"Wazazi tuna nafasi kubwa sana ya kuwasaidia wasichana kusimama lakini kwa sababu ya mambo mengi na dunia ilipo, tunawahonga na tunawaogopa watoto...
Kama heading inavyosema sitasahau siku mwili uliponiwasha nikajipeleka maeneo flani hivi ambako bitch wanapatikana kwa 5000 baada ya kumaliza haja yangu nilitamani kulia maana nilijua HIV...
Wakuu habari za mida.
Direct kwenye mada, baada ya kukaa single muda mrefu nikaona nitafute pisi kali nikae nayo kwa muda ikikaa mkao niingize ndichi. Kama miezi miwili imepita nimekutana na pisi...
Habarini za leo wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku.
Wakuu nina swali, ni topic ambayo naifanyia utafiti. Topic inasema hivi, "Hivi kwanini wanawake wengi ni wachawi?" Maana hata...
Mahusiano yenye afya ni yale yanayokupendezesha na kukupa furaha tangu ulipoingia kwenye hayo mahusiano,na kukufanya kuwa:-
Smart/ usafi wa mavazi na mwili
kuwa mwenye furaha muda wote
Mwili...
Kwa mara nyingine tena, tunarudi kwenye jukwaa letu pendwa la MMU, Mbarikiwe nyote mnaofanya hii platform ichangamke kwa experiences mnazojumuika nasi humu, tunajifunza na kuyaepuka makosa...
Baba Jayrose na mama Jayrose waliona 2005. Wakati huo mama Jayrose amemaliza form six lakini changamoto za maisha zilikua nyingi na alikubali kuolewa. Baba Jayrose ni muajiriwa wa kampuni ya...
Salaam Wakuu,
Hivi haya mambo ya Watanganyika kuvaa Mawigi na kubandika Kope wameyatoa wapi? Wengine wanajichubua wafanane na Wapemba. Aibu! Nipo hapa Zanzibar, nmefikia Kilimani. Nimefurahi...
Wanajamvi hii imetokea ni rafiki wa mama kaja kushtaki mwanawe kamtukana hivyo, baada ya kumsema mwenendo wake hauridhishi atapata mimba isiyo na baba.
Akamtamkia maneno hayo ila kaka wa yule...
Habari wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu. Iko hivi nini mpenzi wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu...
Hello,
Not all people watakucheka na kukusema, but nimeona watu wengi ambao walishajijengea reputation mbele ya jamii kuwa wana hela nyingi, wakifulia tu..maneno ambayo huwa wanasemwa kama ni...
Salaam wana jukwaa.
Kama kichwa cha mada kinavyouliza, Je tendo la ndoa linafaa wakati gani?Je linafaa kabla ya ndoa au baada ya ndoa? Tukiachana na Imani za dini, Je mila na desturi zetu kama...
Habari gani ndugu zangu wanajamvi pendwa la MMU. Natumaini wote ni wazima wa Afya kabisa, Mi pia ni mzima wa Afya.
Iko hivi, nina mpenzi wangu ambaye kusema ukweli nampenda ila kuna zile up and...
"
Inavyosemekana haijathibitika.
Huyo kijana katika video anamchapa mama yake mzazi. Sina hakika kama ni kweli vyovyote iwavyo sijapendezwa kabisa nimechukizwa kweli.
Naomba anaejua ukweli wapi...
Habari wanajamii?
Poleni na majukumu ya week nzima!
Niende moja kwa moja kwenye uzi husika, mwaka 2013 nilianza mahusiano na binti mmoja ambae familia yao ilikua karibu sana na familia yetu...
Sasa imekuwa kawaida sana kwa wapenzi kuwaungilia wasichana kinyume na maumbile. Hawa wadada wanaona raha na kudhani ni ujanja, lakini hawaitazami kesho yake na madhila yake.
Je, anayekuingilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.