Salaam.
My first thread kipande hiki cha mahusiano which is my favourate in this platfom. Twende kwenye topic, tupeane experience kwa wanandoa wanaoishi mikoa tofauti kutokana na sababu za kikazi...
Hata takwimu zinajionyesha wengi wao wanaojiua kisa mapenzi ni sisi wanaume!.. kujitia vitanzi, kujipiga risasi kisa wivu wa mapenzi kwetu sisi imekuwa ni jambo linalotakiwa kuangaliwa katika...
Kwanza nitie msisitizo nguvu bado ninazo na moto napeleka fresh tu.
Nina miaka 32, Nmeajiriwa serikalini, Mshahara 2.x take home, ni mfanyabiashara pia, nina mke na watoto wawili wa kiume, Hivi...
Wakuu mpaka nacheka yaani, nilipata ka mchepuko siku sio nyingi sasa katika harakati za kunipa tunda tukakubaliana leo.
Sasa bwana tukaenda zetu lodge maajabu mashine imegoma kabisa kusimama...
Habari za jumapili,
Basi bana sina hili wala lile, leo sikuwa na mpango wa kuamka mapema kwa sababu kadha wa kadha.
Ghafla nakatishwa usingizi na simu asubuhi asubuhi aaagghhh kuangalia namba...
Inshort mabinti wa KGR region ni malaya i hate you all..[emoji51][emoji34][emoji34]yani woootee hakuna kubisha ni wana tamaa,malaya na hawathaminiki ht kwa punje...mtanisema nimeumizwa sitokataa...
Habarini wakuu,
Leo nimekuja na tatizo jingine naona ni kubwa sana na linaweza kuniharibia mahusiano yangu. Nina mahusiano na binti mmoja ninampenda sana. Nina mpango wa kumuoa ila tatizo ni...
Turogeni tupate hela ndo mtudange sio unaenda kuroga tu niwe wako then hako kasalio kadogo nilikonako unataka ukafyonze kaishe then nichalale
Sasa niroge niwe wako kisha niroge tena kipato changu...
Sasa hivi ni miaka mitatu imepita tangu nimuache kiutani utani mwanamke alienipenda kwa dhati.
Naomi mwanamke ambae aliweka malengo ya milenia kwangu ni vile mimi nikajivimbisha kichwa na kujiona...
Hasa wadada, nini kimewakumba au ndo hizi kauli zenu za kudanga na pisi kali zimewafakaranisha na maisha. Unakuta mdada anapewa ahadi ya kuolewa lakini hataki kumkubali my brother, ni Bora uoe au...
Wakuu naleta huu Uzi si kwamba kutaka nionekane vipi ila nataka tujifunze kitu!
Ilikuwa mwaka 2017 nilikutana dada mmoja jina nalihifadhi nilianzisha uhusiano naye kwa kipindi cha miezi kadhaa na...
Imepita takribani wiki, nilkutana na msichana mrembo anasajili laini, style ya kuingilia nikasajili laini, nikaomba no. aliniona smart sana maana nilimpgsha story za madini.
Ni msichana mrembo...
Kumpenda mtoto wako ni sawa hili halina shida na ndivyo inavyotakiwa lakini kumpenda mtoto mpaka ushindwe kumuonya au kumrebebisha tabia flani hili si sawa yaani mtoto unampenda kiasi mpaka...
Kwa wale wanaume watafutaji ambao washapitapita Singida mjini, Ikungi, Iramba, hadi Mkalama najua watanielewa.
Wana rangi fulani hivi nyeupe kama ya pera bivu, miguu ya tango, wabishi,easy to go...
Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa wawigi na makeup vinachangia. Unamchumbia binti hujawahi kumuona akiwa bila wigi wala makeup.
Kifupi humjui kimwonekano wake halisi. Sasa anapokuwa bila...
Kama uliwahisikia yale maandiko yanayosema "Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti." Hii nayo ni maana yake sasa👇
Yaani mwanaume...
Wadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa. Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa...
Habari za usikuu huu JF,
Kuna binti wa humu JF alinifuata kwenye inbox yangu na kusema naye anashida na mtoto, yeye yuko DSM, mimi niko mikoani.
Tukaanza mawasiliano yeye ni mwanachuo, basi...
Nawasalimu kwa Jina la Jumhuri wakuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Tendo la ndoa ,ili lifanyike vizuri na Kila mmoja aweze kufika kilele Cha Raha ni jukumu la Kila mmoja kuwa na utayari wa...
Salaam wana jukwaa!
Miaka ya nyuma nikiwa shule nilikuwa na mpenzi (ambae tulianza mahusiano tukiwa kidato cha 3), huyu mpenzi alinipenda kwa kuwa nilikuwa napata mia kwenye hisabati na fizikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.