Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

anaandika Madaga Kilambo Lubigisa. "mimi nina mdogo wangu ambaye nimemzidi miaka kama sita hivi. huyu mdogo wangu ni kilanga moko sana. anawacharaza wanawake kama ndo profession yake hapa...
1 Reactions
55 Replies
8K Views
Duniani ni kusaidiana wakuu,kunachangamoto ya wadada kutokuwa na wapenzi hasa wale wenye umri mkubwa(30+).Kutokana na upungufu wa Me,mi nilikuwa naona njia ya kuwasaidia ni kuingia makubaliano ya...
8 Reactions
148 Replies
8K Views
Habari, Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa? Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe...
10 Reactions
142 Replies
15K Views
Wadau shalom Wife wangu pamoja na mdogo wake wameanzisha tabia ya kupenda kufanyiwa jambo hilo ambalo zamani hatukua tunafanya, mm nalifanya tu kwa kulazimishwa Hata huyu shemeji yangu siku za...
2 Reactions
264 Replies
30K Views
Habari za majukumu wana jf.. Nimatumaini yangu mu wa zima wa afya njemaa.. Back to the point.. Ndugu zangu nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani kwa takribani miaka miwili na nusu sasa...
14 Reactions
185 Replies
16K Views
Haya, kitu gani ungependa bebi wako apunguze maana amejisahau sana.
28 Reactions
127 Replies
2K Views
Wakuu usikumwema ngoja nipumzike shughuli nilioifanya Leo haikuwa ya mchezo hatakidogo wakuu hawa madem sio wakuwaamini kabisa ukiona analia sio kwamba anakulilia wewe Bali analilia Pesa zako...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Hapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae...
7 Reactions
237 Replies
21K Views
Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume Jamani kwa wale ambao...
7 Reactions
297 Replies
23K Views
Napenda sana maisha ya ujana, na sipendi nizeeke mapema.Najitahidi kukontro chakula ili nisiwe na mwili uliojaa,nafanya mazoezi ya hapa na pale.Nifanyeje wakuu ili nikiwa na miaka 50 nionekane...
1 Reactions
56 Replies
3K Views
Wakuu hivi mmewah kujiuliza n Kwann sahiv tatizo LA nguvu za kiume limekua gumzo...yan ukijifanya doctor wa nguvu za kiume nowadays unapiga sana hela.... ..ukwel n kwamba hamna mwanaume...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Ni jambo la kushangaza sana unakuta mwanamke anashindana na mume wake kuchepuka. Hivi hamjui wanaume tunaweza kuoa wake wengi sana at the same time? Wewe mwanamke unaweza olewa mara mbili kwa...
9 Reactions
351 Replies
18K Views
Sherehe huwa na malengo ya kufurahi kistaarabu watu wanapooana au wanaposheherekea jambo lao lililowafanya kuandaa sherehe Sasa kuna baadhi ya wanawake wakiona kuna mziki hasa huku uswahili...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Napata ukakasi wa kung'amua akili ya wanawake ilivyoumbwa,usiombee siku moja ujichanganye kwenye kumi na nane za hawa watu wakiwa wamechafuka nyongo zao,hakika utajuta kuwepo kwenye huu ulimwengu...
7 Reactions
85 Replies
10K Views
Habari za leo wana JF, natumaini mko mzima wa afya. Okay, naomba nishare na nyie hiki kitu kwa wanawake na wanaume pia. Hii story nimeisikia jana kwa mtu lakini imenisikitisha na kunihuzunisha...
9 Reactions
85 Replies
7K Views
Bora nizidi kuonekana wa mkoani tu,sina hamu ya chakula leo. Medula oblangata hadi sasa hivi imepalarize kabisa na ulimi umepoteza test zote(tamu,chachu na chungu).Leo nimekutana na mchongoma...
18 Reactions
164 Replies
18K Views
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake. Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo...
9 Reactions
138 Replies
12K Views
ni ujumbe wa message ukisema "ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"? nimenukuu,
31 Reactions
335 Replies
30K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile. Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli? Na akichepuka...
38 Reactions
962 Replies
146K Views
Jamani, asiwaambie mtu, kulea watoto wa kike ni kazi kubwa sana. Ni wito unaohitaji nguvu kubwa na akili nyingi. Nimejaribu kuchek na baadhi ya marafiki na majamaa, nimeona wengi kati yao...
7 Reactions
109 Replies
10K Views
Back
Top Bottom