Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu , hawa Wanawake kutoka kanda ya ziwa sio Poa kabisa aisee wanaweza kukuvunja miguu hivi hivi Kama mwanaume Ukiwa dhaifu aisee hatari Sana hawa Wanawake kutoka kanda Hii Jana nusura nivunjwe...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu hii ndoa inaenda kunichosha aisee yaani mimi kila siku nikupigwa na kusemwa na mke wangu halafu ukizingatia mie ndiye natoa matumizi ya kila siku yeye mke wangu ni mama wa nyumbani yaani...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
Wana jukwaa salaam? Hapa home tupo wapangaji wa 3, wa 2 wanaume mmoja ni dada sasa huyu dada amekuwa shida karaha sana kwa sababu anachokitaka me sitaki kukifanya na nmeapia sitoweza. Drama...
10 Reactions
88 Replies
11K Views
Ukiangalia bila kutafakari unaweza kuchukulia poa sana lakini ukweli ni kwamba mwanamke wa namna hii ukimuweka ndani lazima UTAIMBA WIMBO MPYA KABLA HUJAFIKA MBINGUNI. Hapa unashindwa kuelewa...
3 Reactions
3 Replies
310 Views
Mim kiukwel sjawai kuwa single...yan toka nmejielewa..infwact...mim nilichelewa kdogo kuanza mapenz/kugonga..mim nilianza hayo mambo likizo ya kumaliza six. Enewei ni hiv.kipind nmeanza .sikuwai...
17 Reactions
131 Replies
12K Views
Nawaza nimtafute sheikh anisomee Dua Kwa uyu mwanaume niliyempata saizi asiniache nimechoka,sitaki aniache nampenda😭😭. Hofu yangu asije akapita hiv kama wale!! ''comment zenu sizielewi Hadi saizi...
8 Reactions
61 Replies
1K Views
A guy unamkuta ana nyumba, ana usafiri, ana biashara yake na kazi yenye kipato kizuri. All of this umekuta ameaccomplish mwenyewe bila ya wewe. Then unakuwa attracted na this type of a guy na...
34 Reactions
208 Replies
14K Views
KUNUNUA MALAYA NI SAWA NA FISI KULA MIZOGA AU SIMBA ALÍYEZEEKA KULA VIBUDU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Sio kila kiumbe kinapenda hekaheka, kutoana jasho, vipo viumbe hula mizoga kwa...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu kwema, kama mada inavyojieleza, hapa nipo njia panda nakosa la kufanya,naamin ntapata maoni kupitia nyinyi. Labda niwaeleze kisa na mkasa mpaka kufikia hatua ya kupandisha uzi usiku huu...
11 Reactions
54 Replies
2K Views
Habari zenu. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la whites hasa wazungu kuwa na dada zetu blacks motomoto. Ukipita kwa mitaa, tiktok, fukweni na nchi mbalimbali duniani ni whites na...
10 Reactions
105 Replies
3K Views
Habari za muda huu marafiki, Siku za hivi karibuni kumekuwa na hali ya kushangaza kustaajabisha kwenye jamii yetu na hasa huku mitandaoni. Kumekuwa na wimbi la watu kuwasimanga, kuwakejeli na...
37 Reactions
161 Replies
7K Views
Habar zenu wanajukwaa Kwasasa member wenu nipo kwenye kipindi kigumu sana nimenasa kwenye trap na siwez kutoka, huyu mke wa mtu mtarajiwa ananipa mawazo mengi kichwani nimejarib kila way but I...
3 Reactions
72 Replies
10K Views
Wanaume tunapitia maisha magumu sana, hebu fikiria mtu ambaye anafanya kazi, mnaishi wote halafu mwanamke anakuja kuvuruga kila kitu. Nina jamaa yangu na mkewe wanaishi wote. Huyo mkewe alikuwa...
26 Reactions
157 Replies
8K Views
Vijana wengi wa siku hizi wanaona ni ujanja 'kukojoa' kila sehemu,mtu hawezi kukaa siku mbili bila kutoa manii,iwe kwa kusex au punyeto. Kiafya na kiroho sio salama sana,sasa zifuatazo ni faida...
33 Reactions
103 Replies
3K Views
Ndugu wana jf. Katika kipindi nimewaona malaika wakinipigania ni usiku wa kuamkia leo ndugu zangu. Baada ya kuzinguliwa job kutokana na itilafu za mitambo za hapa na pale nikaona hakuna haja ya...
16 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari jf? Jamani mimi ni mwanamke ambaye nilikuwa na mpenzi wangu toka 2014 mpaka 2016 ambapo mwanzo tulipendana sana na kujaliana. Mwaka 2016 tuliachana tena aliniacha kwa kunichoka tu kwani...
1 Reactions
108 Replies
8K Views
Habari za wakati huu jamani. Mimi ninachangamoto moja ninapendwa na mwanamke ambae tayali kwao amesha tolewa posa na huyo mwanamke hataki kuniacha. Naombeni ushauri wadau.
3 Reactions
7 Replies
238 Views
My dearest Palina, I am writing this letter to express the depth of my love for you and to convey just how much you mean to me. From the moment I met you, my world has been brighter, my heart has...
14 Reactions
138 Replies
3K Views
Dogo kamaliza form four nikaona aje apige kazi ya salon, picha nimeona dalili sio nzuri, Juzi nimemkuta dogo anakula maandazi kashika mkononi, aliambiwa achukue tu katika deli, badala ya...
60 Reactions
334 Replies
7K Views
(1) Kusikiliza matatizo ya Marafiki zao na kuyabeba na wasiwasi. Una rafiki yako anafanyiwa vitu vya ajabu na mwanaume wake, kila siku anakuambia na wewe unaanza kujihisi kama unasalitiwa...
10 Reactions
23 Replies
849 Views
Back
Top Bottom