Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu kwema? Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata...
12 Reactions
95 Replies
3K Views
I kissed my female friend kazini. Ilianza huyu dada ni rafiki yangu kazini na alikua ananleteaga zawadi , we hangout and i do the same , mimi i thought we are just friends ila upendo wake ndio...
24 Reactions
180 Replies
6K Views
Hello Wadau wa JF! Weekend ipo vipi pande hizo? Binafsi ipo poa nimeshapata breakfast ya chapati za kusukuma, rosti la maini na kachai ka maziwa pembeni. Kwa wale wapenzi wa Korean Drama Leo...
10 Reactions
63 Replies
2K Views
WRITTEN IN BLOOD I act this spell upon you From my whole heart Wishing you to never rest No eat no sleep the rest part of your life I hope your will waste away And I hope you will never spend...
21 Reactions
253 Replies
57K Views
Mnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!. Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!. Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu. Enjoy
23 Reactions
275 Replies
3K Views
Mchezaji wa timu ya Morocco pamoja na PSG Hakimu aelezea sababu zilizo mpelekea kubadilisha jina lake kwenye urithi wa mali zake zote kwa mama yake mzazi na kusema Nilifunga ndoa na mke wangu wa...
27 Reactions
73 Replies
5K Views
Ni kabla sijaenda sumbawanga na baada ya kurudi kabla sijaenda kusoma elimu ya juu. Nilikiwa mpole sana,mtulivu kupita kiasi,msiri na mtiifu sana Kaka yangu alikuwa na mchepuko wake mmoja,ambae...
8 Reactions
9 Replies
770 Views
Habari za wakati wakuu, nimejikuta najiuliza hili swali, kwanini nature iko katili saana kwa wanaume? Yaani watoto wanajua madhaifu ya baba ila hawajui dhaifu la mama hata Moja, Wanaume...
3 Reactions
13 Replies
405 Views
Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Habari wakuu, wapendwa. Hivi njia ya kuoa mwanamke Kwa kufuata Sheria Kwa mujibu wa dini, Mila bila kuongeanaye Binti inaweza kuwa ni njia sahihi...
5 Reactions
13 Replies
317 Views
Aisee huyo singo maza wa kiarabu,acha kabisa,alikuwa mtamu sijapata kuona,na aliunganisha na watu nyie acheni tu. Hebu niwapeni hii habari: Maisha katika wilaya mmoja mkoani Tabora. Nikiwa toka...
19 Reactions
185 Replies
11K Views
Wanajukwaa am puzzled! Nimeduwaa! Nimekuwa naenda kiwanja fulani basically nina asili ya upole, utu, busara, hekima, mapungufu hasira na pia ni typical introvert (reserved), kawanda sana sipendi...
14 Reactions
123 Replies
11K Views
Mwanaume ambaye utotoni amedekezwa sana -Anakuwa na misimamo mikali sana (rigid), mwengine anakuwa legelege sana kiasi kwamba kila kitu anamtegea mama yake na dada zake -Hawezi kudumu na...
6 Reactions
41 Replies
1K Views
VISA NA MIKASA; Shoga ya Nimetoka zangu kujifungua narudi nyumbani nakuta nyumba ni safi, yaani nawaza huyu si mume wangu kwakweli! Naingia ndani nawaza nani kafanya huu usafi! Jicho la...
13 Reactions
24 Replies
2K Views
Mwaka jana nlikosa mademu wengi wakali sababu sikuwa na chambichambi, umatemate, ndarama au mkwanja. Nlikuwa wengine nawapata kwa maneno na ahadi kisha nikiwala wakiona sitimizi ndo basi...
3 Reactions
7 Replies
504 Views
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha. Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili...
29 Reactions
245 Replies
4K Views
Habari wana Jamii, Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu. Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu...
56 Reactions
592 Replies
40K Views
Habari jf mimi nina umri wa miaka 40 sasa, ni member wa jf mda tuu ila nimekuja na id hii mpya kuleta kisa changu kilichonikuta na uhamuzi niliochukua. Mimi ni mmoja wa wapondaji sana wa single...
207 Reactions
564 Replies
61K Views
Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa...
86 Reactions
196 Replies
7K Views
This may be too real to be true to you. But that's the reality! Take it from me. Ngoja niandike tu kibantu! Uzuri una tafsiri pana. Kuna urembo na kuna Uzuri. Mwananke anaweza kuwa mrembo...
122 Reactions
847 Replies
55K Views
Back
Top Bottom