Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Namshukuru Mungu kwa ajili ya yako na yangu, kwa wasaa huu muhimu, ambao ni zawadi kutoka kwa Mungu kwetu sisi sote. Tumeipewa zawadi hii bure na tuitumia bure, na kwahivyo yatupasa kuitumia...
22 Reactions
314 Replies
9K Views
Katika umri huo unaacha gambe ili iweje sasa? Unataka kuhujumu uchumi? Unataka kupunguza mapato ya taifa? Unataka kupunguza ajira? Hivi unajua pombe moja unayokunywa inazalisha ajira zaidi ya 29...
20 Reactions
77 Replies
1K Views
Mimi ni kijana nimeajiriwa moja ya kampuni kubwa hapa Tanzania.Nafanya kazi na mwanamke mmoja hivi na Mume wake.Wote wamenipokea kazini. Mume wa huyo dada ni kicheche balaa ni mtu wa totozi.Hizo...
23 Reactions
59 Replies
3K Views
Oumofia kwenu? Ili nisiwachoshe, naingia kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36, naishi Dar es Salaam. Siku za hivi karibuni nimepatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za...
6 Reactions
252 Replies
23K Views
KWA KIZAZI CHA SASA. UKISHAKUWA SINGLE MOTHER TAFUTA TUU PESA. HAKUNA MWANAUME ATAKAYEHITAJI SINGLE MOTHER MASKINI ASIYE NA KAZI Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mambo ya ûkipenda Boga penda...
31 Reactions
181 Replies
5K Views
Habari zenu wana JamiiForums. Nimekuwa mfuatiliaji wa hili jukwaa kwa muda mrefu lakini kwa sasa nimeamua kujiunga kabisa ili niwe nachangia maoni mbalimbali, Leo nahitaji maoni yenu kwa...
3 Reactions
7 Replies
290 Views
1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe _ 2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Tafadhali naomba ushauri kwa jirani yangu huyu. Kuna mwanamke anamtaka kimapenzi lakini yeye hana interest naye kabisa. Lakini mwanamke huyu anamsumbua sana mpaka imekuwa kero. Mchana na usiku...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Wasalam wakuu, Kama mada inavojieleza. kwenye haya maisha inatokea kunamwanamke unampenda sana yani nawewe unatamani arudishe upendo kama unavompenda. Cha ajabu sasa kadri siku zinavozidi...
39 Reactions
247 Replies
5K Views
Mwanangu rapcha umeimba hili goma leo ndo nimejua kuwa wanawake ni watu wa ajabu mno can you imagine leo ni siku ya 11 wife ananinyima tendo la ndoa bila sababu ya msingi. Sasa leo nimeamua...
24 Reactions
154 Replies
5K Views
Habari za mda huu wakuu Hili ni swala ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana after breakup ila Kwa sasa naliona dhahiri kabisa Ni mwaka mmoja na miezi Toka penzi liishe nilivyooachwa Yani ya uyu mdada...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Hivi mabroo huku jukwaani naombeni mnipe msaada kwa sababu jamii forum ni kisima cha maarifa hivi mwanamke anakuambia mimi nipo tayari au muda wake sahihi wa kufunga ndoa ni mwishoni mwa mwaka...
8 Reactions
22 Replies
523 Views
Ni jamaa zangu wawili wameingia katika SINTOFAHAMU kubwa sana kwasababu ya mwanamke, Nmewaza hapa mpaka kichwa kinaniuma sahivi. KWA KUANZIA, Ni kwamba mimi pamoja na hao jamaa zangu wawili...
27 Reactions
490 Replies
32K Views
Kipindi nasoma advance nilikuwa mla bata sana, o-level nilisoma seminary, kwahiyo ile kuja dar ni kama fisi kaachiwa bucha. Nilikuwa natoroka shule naingia sinza-africa sana kuna club ilikuwa...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema. Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda Kweli nime amini, mapenzi...
19 Reactions
336 Replies
6K Views
Hili sasa ni janga la kitaifa hapa nchini Kuna jamaa yetu mmoja ambaye ni jirani yetu kabisa mimi namuona kama ndugu tu Ana mazoea akija akikuta simu yangu anacheki music na video sasa jana...
8 Reactions
82 Replies
17K Views
Mtu ambaye hafanyi kazi yoyote,hafanyi usafi, lakini anapata mahitaji yake yote bure lazima ataanza kulala sana,kukesha kwenye tv,kuanza kunywa pombe,kucheza kamari,kutumia dawa za kulevya,kufanya...
3 Reactions
5 Replies
354 Views
Nimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama Niliteseka sana,nililia...
12 Reactions
82 Replies
2K Views
Katika karne hii ambayo wanawake wengi wamepigwa matukio ya kuachwa mpweke ghafla, fumanizi za mara kwa mara, kusalitiwa, kuibiwa, kudhulumiwa, kutapeliwa,kupokonywa mali, kudhalilishwa,kupigwa...
7 Reactions
39 Replies
949 Views
Hii wiki Niko very happy ngoja niwape kisa nilivyoachwa na mpenz wangu wa kwanza😃😃 Miaka mingi nyuma nilikuwa na rafikiyangu ambae ni jirani yetu pia alinizi kama miaka miwil umri, alikuwa...
42 Reactions
410 Replies
20K Views
Back
Top Bottom