Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hapa Sina maelezo mengi Usikariri vikuku, blichi, kipindi puani, tattoo, pia ogopa pisi ya simu mbili yaani tambo na kiswaswadu Kama ana tambo na kiswaswadu basi we jua tambo halina magendo...
39 Reactions
192 Replies
4K Views
Katika enzi hizi za usawa wa kijinsia, ni muhimu kuchunguza kwa kina mabadiliko yanayohitajika katika uhusiano wa kimapenzi. Ni muhimu kuzingatia kwamba uhusiano wenye afya unajengwa juu ya msingi...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Nilikua namahusiano na mwanamke ila tulikuja kugombana bila sababu akaanza kunichukia,nilipata tabu sana kile kipindi nikajaribu kuwafuata wana jf wachavhe humu jf wanisaidie hata mawazo ,mmoja...
10 Reactions
32 Replies
1K Views
Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa. Kila akipata mwanaume hafiki nae...
48 Reactions
214 Replies
6K Views
Nifanye Nini Nataka Kumuoa Lakini Bado Anawasiliana Na X Wake? Ntamani kujua zaidi hasa kusikia kwa wanawake, mimi ni kijana wa miaka 32 sijaoa ila nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye...
22 Reactions
194 Replies
6K Views
Habar za jioni Wana jf nina Imani ni wazima na hata wale mlio na changamoto za kiafya niwatakie kupata nafuu soon. Mimi ni kijana 28 yrs old sasa na Toka nimesoma sekondari kiukwel nilkuwa school...
23 Reactions
135 Replies
4K Views
Leo nimemsikia wife akiongea na boss wake namna alivyokuwa anamjibu kwa heshima may be hapa nyumbani pangekuwa hata robo tu ya anavyoongea tungekuwa Bora Sana
13 Reactions
60 Replies
2K Views
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa .. Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my...
21 Reactions
137 Replies
3K Views
Mkeo au mpenzi wako akikuambia muongee huwa unawaza nini? Najua hili ni swali linalochukiwa na wanaume walio wengi. Tuambie huwa unawaza nini? Binafsi mimi huwa najua shida ni hii simu yangu...
5 Reactions
11 Replies
400 Views
Mkumbushe Mjomba Wako wa Miaka ya 80 Asikariri Misemo, Nyakati Zinabadilika. Ule Msemo wa 'Nyumba ni Choo', Wapangaji Wanauzingatia Kuliko Mwenye Nyumba. 💫💫💫💫💫 © Mwl. Makungu Ms...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Habari zenu jmn.. Natafuta mwanaume wa kuzaa nae&kulea wote kwa hiari Mi ni KE, miaka 31, mrefu 1.67m,maji ya kunde, mwili size medium, Elimu - post graduate,Kazi-mwajiriwa Kimaisha...
28 Reactions
226 Replies
5K Views
Mpenzi Valhalla, Natumai unaelewa jinsi ulivyo wa thamani kubwa moyoni mwangu. Unapokuwa karibu nami, hisia zangu hutulia, na ulimwengu wote unaonekana kusimama. Ninakutamani kuwa wangu, si kwa...
5 Reactions
63 Replies
1K Views
Wakuu, Habarini? Mimi ni mdau zaidi wa kusoma Nyuzi hapa JF kuliko kuandika Nyuzi. Lakini leo nimeona na mimi warau nivunje Ukimya, nipate kushuhudia jinsi Forum hii imenifungulia mlango...
60 Reactions
88 Replies
5K Views
Wana MMU, heri ya mei mosi Leo naomba nije na hoja hapa tuijadili sote kuhusu akina baba mie nawauliza hivi kwanini wanapenda kuwachumisha wengine dhambi? Yaani akina baba kuwachumisha watoto wao...
14 Reactions
166 Replies
17K Views
Jamani wana mmu Naombeni ushauri wenu kwa binti huyu ambaye nampenda sana na yeye alikuwa ananipenda sana ila saiz tumegombana kama wiki moja hivi.Kisa aliambiwa na rafiki yake mimi nina mpenzi...
1 Reactions
57 Replies
8K Views
Maana kila anayetafuta kigezo kikubwa digrii Sasa unajiuliza digrii ya nini hapo kwenye ndoa? Halafu mtu tayali jua limezama (umri umeenda) unaweka vigezo viingiii vya nini? Wewe mwenyewe...
11 Reactions
26 Replies
533 Views
Katika jamii nyingi, suala la mwanaume kuwa na wapenzi wengi limekuwa likijadiliwa kwa mitazamo tofauti. Wakati wengine wanaliita kuwa ni tabia mbaya, kuna ambao wanahisi kuwa ni njia ya mwanaume...
6 Reactions
24 Replies
922 Views
Habari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari. Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama. Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio...
15 Reactions
177 Replies
6K Views
Huyu binti anachangamoto kubwa sana ambayo ni yakushangaza. Ukiwa unagegedana naye anapoanza tu kufika kileleni yaani ni lazima anye mavi ya kutosha tu. Utashangaa kusikia harufu ya kinyesi cha...
8 Reactions
73 Replies
10K Views
WANAWAKE WANAJUA NI MUDA GANI SAHIHI WA KUMSHINDA MWANAUME. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Mwanamke yeyote anayejifanya mjuaji kikawaida huwa na akili ndogo. Ni wengi huishia kwenye...
59 Reactions
135 Replies
7K Views
Back
Top Bottom