Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

kwa staili hii wanawake wataendelea kutuburuza sana wanaume katika masuala ya maslahi na mustakabali wa ustawi wa maisha yetu. Wanawake wengi wanawinda Mali tu na pesa kwa mwanaume, sasa kama...
7 Reactions
24 Replies
986 Views
Nyieee Wanaume viumbe rahisi sana Alafu wanaume wanatoa sana hela Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana Ushauri: Wanawake wote na wadada, mlioolewa...
13 Reactions
147 Replies
3K Views
Mapenzi yana mambo mengi sana hapa nakubaliana kabisa na Ali Kiba kuwa mapenzi yana Run dunia akimaanisha kuwa mapenzi ndiyo yanayoiendesha dunia Mke wake aliaga anakwenda msibani kwa shangazi...
45 Reactions
189 Replies
7K Views
WANAUME KWELI WAMEWAZIDI MBALI MNO WANAWAKE KWENYE KUCHANGAMANA 1. WANAUME ni rahisi kupiga stori kama watu wanaofahamiana muda mrefu utajua kuwa hawafahamiani kwenye kuitana majina utasikia...
14 Reactions
40 Replies
1K Views
Sikiliza video inajieleza ,hapa nataka mnipe sababu tuu 👇👇 https://www.instagram.com/reel/DDXHLTHNU_r/?igsh=MWplOGtuMTY3bGxnZA==
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Jamani wana JF naombeni msaada kwani natumia mda mrefu sana kupiga bao la kwanza ninapo sex,huwa masaa mawili au moja na nusu. Hii inatokana na nin!!?
1 Reactions
57 Replies
6K Views
Hapa nilipo nimechanganyikiwa baada ya kuambiwa na mtu ambaye nlitokea kumpenda kupita kiasi kuwa ni muathirika wa VVU.Nilikutana nae sku chache zlizopita,ni msichana mrembo kupita kiasi...
2 Reactions
60 Replies
5K Views
Wakuu nilibahatika kupata binti flani mrembo akiwa field ya nursing wakati mzee wangu alipolazwa katika hospital flan. Umri Wangu ni wa wastani, bado mbich. Alinikubali na ananipenda sana.Tatizo...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Ushauri Kama kuna mwana j.f naye kapitia hili janga maana kuna rafiki angu ana hilo gundu muda sasa kaniomba ushauri hajui afanyaje wakati mimi kila siku napata wapya
11 Reactions
352 Replies
27K Views
Salaam sana " Watakuja masingle maza hapa na wanawake mafeminist pamoja na wanaume wajinga na wavivu kuwajibika kupinga waraka huu wa kweli kuhusu hawa viumbe wazuri malaika na mauwa ya duniani...
3 Reactions
6 Replies
477 Views
Pale unapomuomba no mwanamke anayeenda au anayetoka kwa mwanaume ampendaye😀 au yule mwanamke anayemheshimu mtu wake Anakupotezea mpaka unajisemea mimi ni wakupuuzwa hivi na mwanamke tu kweli 😀...
2 Reactions
2 Replies
200 Views
WANAWAKE WEMBAMBA WALIO WENGI ASILIMIA kubwa ya wanawake wembamba wakiwa kwenye HASIRA ni wababe balaa😀 Wanawake wembamba wengi ni O na lishawahi kusema kuhusu watu hawa kuwa ni wababe😀 MISIMAMO...
2 Reactions
0 Replies
681 Views
Ewe mwanamke wewe msichana wewe binti Usipotambua thamani yako kama mwanamke, zitakazoathirika ni 1. sehemu zako za siri 2. utu wako 3. saikolojia yako juu ya wanaume 4. afya ya akili yako...
2 Reactions
4 Replies
324 Views
Kuishika kwa mkono huwezi inatia kinyaa labda upate mti uichome nayo kisha utupe huko kwasababu imeleta kinyaa bafuni rangi yake sasa kijanijeshi, kaniki, jano😎
1 Reactions
4 Replies
249 Views
Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki...
10 Reactions
35 Replies
1K Views
JINSI YA KUMFIKISHA MKEO MSHINDO WAKATI WA TENDO LA NDOA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mwanamke ni kiumbe anayehitaji Sanaa yàani ufundi ili uweze kuishi naye Kwa Amani. Tunapozungumzia Sanaa...
22 Reactions
179 Replies
11K Views
Binti Baada ya kuajiriwa serikalini moja kwa moja hakusita akaniambia mimi nitafute level zangu wenye vibiashara vidogo mimi simfai kwamba hatuwezi ongea topic zinazofanana kwa vile yeye ni...
18 Reactions
65 Replies
2K Views
Nahitaji msichana wa kuwa na mahusiano nae ila sijui pa kuanzia. Sio kwamba sijui kutongoza ila naogopa kukataliwa. Muda mwingi wa maisha yangu nimeutumia kwenye masomo sana sasa baada ya kumaliza...
1 Reactions
44 Replies
9K Views
Wakuu 2025 ndo hiyooo inakuja. Nataka hii iwe moja ya plan zangu kwa 2025. Ila nimeona nije kwanza apa jeifu maana apa ndo kisima cha busara nipate hakikisho kwa wakongwe walionitangulia ktk...
0 Reactions
16 Replies
470 Views
1. Awe na pesa nyingi 2.Siyo lazima awe mzuri wa sura 3. Ajenge ukweni 4.Awe mpole 5.Asimuonee wivu mke wake 6.Awe mwenye upendo wa dhati 7.Asishike simu ya mke wake. 8.Akimkuta na...
7 Reactions
99 Replies
10K Views
Back
Top Bottom