Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Unakuta mtu ana masharti kama IMF hadi unakereka. Ukiingiza yote anakwambia so hivyo. Toa nikuelekeze unatoa anakuambia haya weka hapo juujuu tu. Ukienda kasi kidogo tu anakwambia aah so hivyo...
21 Reactions
96 Replies
3K Views
Kipindi nimemaliza kidato cha 6 nilikuwa nasimamia lodge ya ndugu yangu kipindi nasubiri kwenda chuo, sasa leo natoa siri kwa wanaume, ukienda lodge na demu wako kuanzia leo, hakikisha unaondoka...
54 Reactions
171 Replies
8K Views
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu. Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery...
64 Reactions
327 Replies
9K Views
Nilitembelea nchi ya Botswana miaka ya 2008, nilikutana na jumuia ya wa-Tanzania na kama mnavyojua tukikutana nje ya nyumbani ukute mtu anaongea Kiswahili mnajiona kama mmetoka familia moja...
10 Reactions
31 Replies
3K Views
Tuachane na mambo ya Hakimu [emoji23],, Wee ni kijana Mtanashati tu unavijisent vyako vya kawaida ,au bado hujasimama kiuchumi, upo kwenu au kwako isiwe sababu ya kukataliwa na Mwanamke...
26 Reactions
87 Replies
11K Views
Habari zenu, Jamani naomba maushauri jinsi ya kuachana na mpenzi uliechoshwa na mambo yake ya ajabu 2.
4 Reactions
36 Replies
10K Views
Habari za saa hizi wana jukwaa. Kwanza nikiri kabisa, nimekuwa single kwa mda mrefu na hii ni kutokana na kukataliwa na waschana wengi niliokuwa nikiwatongoza. Baada ya hapo nikaamua kupotezea...
7 Reactions
194 Replies
18K Views
Katika pita za hapa na pale nimeona wanaume wengi wakipoteza fursa kutokana na kushindwa kusoma lugha za mwili za wanawake. Forget about kung’ata nyasi. Leo ntawashushi baadhi baadhi ya lugha za...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
Kila mtu huwa na taswira ya mke/mme amtakaye. Ni kweli kabisa, maisha hayana kanuni lakini nakuhakikishia kanuni zipo, haipo moja zipo nyingi. Ili maisha yaende kama ulivyopanga lazima uwe na...
11 Reactions
59 Replies
4K Views
Habari za mchana wakuu. Bila kupoteza muda naenda kwenye mada husika. Imekuwa kawaida sana hususan sisi wabongo(wengi wetu)kuwachukulia waiter au waitress watu wakawaida sana wanapokuwa kazini...
23 Reactions
67 Replies
7K Views
Wakuu Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu Maswala ya kitandani hata binti wa under 20...
10 Reactions
119 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
  • Redirect
Jaman tushazoea joto naona mvua zitakuja Kwa Kasi jijin bongo tuliozoea kwenda Kwa dada poa speed ipungue USAID haileti msaada. Tufe na ngenye zetu 😹😹 maan Ata nyeto haitanoga na ili baridi just...
4 Reactions
Replies
Views
Wakuu. Nimelia sana,kuona hili tangazo la serikali.
2 Reactions
4 Replies
418 Views
Habarini wanajamvi. Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X ... Kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla...
16 Reactions
98 Replies
1K Views
Natafuta partner (Mwanamke). Vigezo: Mwembamba na White. Mkristo au Muislamu. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri 23-27 Kabila lolote. Asiwe na mtoto. Upande wangu: Elimu/ degree Kazi/...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Je wajua? Yakwamba mwanamke au mchumba hataki kufanywa kama kuku au mbuzi? Hawapendi kudandiwa pale mwanaume unapotaka kufanya tendo na mkeo au mchumba usijaribu kumdandia bila kumuandaa mwanaume...
5 Reactions
34 Replies
805 Views
Mko poa humu watu wa mapenzi? Nina mahusiano na mke wa mtu. So nawezaje kuwa smart muda wote ili mumewe asimstukie kwa lolote? Muwe na jioni njema.
15 Reactions
157 Replies
5K Views
Habari ya mchana wana jf Mimi ni miongoni mwa member wachache ambao hatupendi kutoa mikasa yetu humu jf lakini kwa hili lililonipata nimeona tushare tunaweza jifunza vitu flani. Mimi nina...
45 Reactions
195 Replies
10K Views
Kwanza namshukuru Mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabisa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu. Ndugu zangu, Allah ameniruzuku...
62 Reactions
350 Replies
11K Views
Back
Top Bottom