Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kipindi cha nyuma 1985-2000 simu zilikuwa nadra sana, Lakin pamoja na uchache wa simu, watu walitia maneno mpaka wenza wao wakawaelewa, Kwa wale wa juzi juzi mmerahisishiwa kazi sana, Mtu...
12 Reactions
118 Replies
8K Views
Aisee abdalah kichwa panzi akisimama akili inapotea Jana usiku saa sita kasoro nilikuwa nacheki series moja sebuleni wife akiwa amelala chumbani. Saa sita kamili nikawa naview status za whatsap...
70 Reactions
163 Replies
19K Views
Habari wakuu, Mwaka ndio tunakaribia kuumaliza japo bado ila lazima tuseme tumepiga hatua kubwa hadi hapa. Ndani ya Mwaka huu najua ulikuwa na malengo yako ila lazima kama binadamu uliekamilika...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Si vibaya tukawa tunashare stori za hapa na pale. Zinatuwezesha kujifunza lakini pia kutupa Burudani. Mwezi uliopita nikiwa katika Mishe mishe zangu nza kusaka Maisha nikiwa nimebeba mafaili ya...
16 Reactions
112 Replies
3K Views
Hii ndoa inakoelekea bila msaada wa Mungu hii inaelekea kwenye mgogoro mkubwa. Kisa kiko hivi , Hii nyumba tuliopangisha tunaishi na Dereva wa Malori ambae ni Bachelor, huyu jamaa anaporudi...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Mimi ni Mkenya na niko na jamaa wameoa mabinti toka Tanzania. Nimependezwa sana na ukarimu na unyenyekevu wao. Wanawake wengi huku Kenya ni Magaidi, kiburi, wanapenda kushindana na wanaume kwa...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Kitendo cha kunipiga stori za madhaifu wa mumewe aliye na watoto naye tena wa kutosha walieishi naye miaka mingi. Alinisononesha kabisa . Na nilimuambie aamuombe radhi jamaa na atulie. Kibaya...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Dada unayetafuta mchumba wa kukuoa waepuke kama ukoma wanaume ambao ni mashabiki wa mpira. Hawana ndoto kubwa maishani, hawana mipango, na kwa hulka yao muda wao wote huwaza orodha ya vikosi vya...
30 Reactions
119 Replies
6K Views
DISCLAIMER: Usisome wala usicomment kwenye hii post kama unajiona ww ni mtakatifu sana Zamani Swala la kuzama chumvini lilikuwa ni jambo la ajabu na kutia kinyaa, sahivi limeonekana ni jambo la...
14 Reactions
204 Replies
25K Views
Nimekuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu kidogo na mke wa mtu(mchepuko), na tulifahamiana miaka hiyo akiwa chuo akisoma; kipindi hicho nilikuwa nikimsaidia kwenye baadhi ya mahitaji yake ya msingi...
14 Reactions
182 Replies
7K Views
MITHALI 18:22 Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA. WAEFESO 5:31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa...
19 Reactions
179 Replies
5K Views
Kitabu Cha Waefeso 5:31 BHN “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.” Sasa inakuwaje mwanaume ananiletea ndugu zake Tena...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari, Ni hivi, mdada ana mwanaume wake lakini kuna muda hamuelewi kwenye swala la mawasiliano, ni kweli kuna muda anakua busy na kazi na pia mtandao unasumbua kwahiyo mkaka huwa ana mtext mdada...
5 Reactions
61 Replies
4K Views
Wakuu kama nilivyo wajuza kuwa nimehamishiwa Karagwe kikazi, nimepitia Dodoma kukamilisha kazi fulani kabla sijaenda kuripoti Karagwe. Leo nimepata hamu ya kutembeza bakora nikapewa chimbo moja...
5 Reactions
28 Replies
5K Views
Wanajamvi jamvini, Huu u single unanipeleka kubaya hatari maana na kila demu mbele yangu siachi na walivo maji mara moja sasa daa unatongoza jioni usiku unakula. Sasa nikiwa na mademu zangu wa...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimewaza sana, Yaani mwanamke anapiga ngumi kama bondia kwa mwanaume ambaye hajamgusa. Kama roho wa Mungu hayupo karibu nawe, nakwambia kuna watu wanaweza gawana majengo.
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu.... Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga. Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya...
7 Reactions
79 Replies
9K Views
Habarini za asubuhi wana MMU poleni na majukumu ya kujenga taifa na familia kiujumla. Kijana wenu nimekuja hapa mbele yenu sijui nahitajI ushauri ama nahitaj nini ila ntafurahi kama ntarejesha...
13 Reactions
148 Replies
7K Views
Habari wana jamvi! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa...
46 Reactions
276 Replies
21K Views
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano...
12 Reactions
148 Replies
10K Views
Back
Top Bottom