Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Zamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa. Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa...
21 Reactions
213 Replies
10K Views
SABABU KUU ZINAZOFANYA WANAWAKE WALIOOLEWA KUNYIMA WAUME ZAO UNYUMBA!. Na, Robert Heriel. Maelezo haya ni baada ya kufanya uchunguzi binafsi ambao ulikuwa huru kabisa. Hivyo maelezo haya sio...
10 Reactions
49 Replies
11K Views
Wakuu amani iwe nanyi, last week kuna kadada flan iv kapo mkoa wangu, niwe muwazi nilikaona fb tu nikakachokoza tukapeana namba, tukachat mpaka kufikia stage ya kukulana (mahusiano) Sku ya...
6 Reactions
47 Replies
7K Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
160 Reactions
17K Replies
5M Views
Mimi ni mmoja wa shuhuda wa tabia zetu wanawake ambavyo zimepoteza speed governor. Hasa sie tunaoitwa single mother. Lakini leo kuna jambo nimekutana nalo na nikatamani kutaka kujua hivi bado...
13 Reactions
113 Replies
5K Views
Salute NB. Ujumbe huu ni maalumu kwa ajili ya vijana wanaotafuta mwanamke wa kufanya nae maisha yaani Kutunza na kulea familia wakati mume akiwa katika harakati zake za kutafuta kipato cha kutunza...
70 Reactions
316 Replies
14K Views
Mapenzi siku zote tunasema ni two ways directions not one way directions na ukiona upo katika penzi la one way directions ujue kuna tatizo Kiasi cha kwamba wewe ndo unajitahidi kumuonesha mwenzio...
16 Reactions
98 Replies
14K Views
NDOA YENYE FURAHA HUDUMISHA UPENDO WA DHATI Ndoa ni nini? Ndoa ni muungano wa mwanaume na mwanamke unaokubalika kiutamaduni na kidini ambao unatarajiwa kudumu, kuwapa haki sawa za kijinsia na...
2 Reactions
85 Replies
253K Views
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto). 2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea. 3.Anajua thamani ya...
11 Reactions
41 Replies
623 Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo. Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja...
19 Reactions
79 Replies
2K Views
Imekuwa ni jambo la kawaida sana sana kwenye jamii zetu sio tu Afrika hata ulaya unakuta wanawake wanapigana vikumbo kisa Mwanaume. Either ni Mwanaume 1. Mwenye pesa 2. Handsome 3. Ana ushawishi...
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Jumanne njema watafutaji wenzangu, Baada ya kusaka nyau ya big booty kwa wiki 3 mfululizo hatimae nikaangukia kwa dodo lenye msambwanda wake basi baada ya kukusanya stress za wiki nzima jumapili...
14 Reactions
134 Replies
4K Views
Mimi sio mtu ninaependa hovyo. Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia. Sasa huyu single mama anashida...
9 Reactions
51 Replies
846 Views
  • Redirect
Kwa kweli nimesikitika sana Nimekutana na huyu mama akiwa na mtoto wake wa miaka sita akiwa anampeleka shule😭😭 Mwanaume aliyembaka alishakimbia kitambo sana (nimetumia rape nikiwa na maana huwezi...
4 Reactions
Replies
Views
2024. Mwezi wa nne mida ya Saa 2:30. Nilikutana na Bint wa Miaka 27, nilitokea kumpenda sana, kwa kua nimempenda nikataka kua nae katika mahusiano, Daa Dem ana Watoto 3. Msela nikazama hivyo...
59 Reactions
205 Replies
4K Views
1️⃣ Matarajio Makubwa – Watu wengi sasa wana vigezo vingi vya mwenza wanayetaka. Wanaume wanataka wanawake wenye heshima, waelewa, na waaminifu, wakati wanawake wanataka mwanaume aliye stable...
6 Reactions
69 Replies
1K Views
Habari za asubuhi Wanajamiiforums. Leo nawakumbusha Vijana. Unakuta Kijana hata kujihudumia mwenyewe anashindwa ila kichwani ana hesabu za kuoa, Vijana ebu tuacheni huu uwendawazimu.
7 Reactions
12 Replies
348 Views
Aisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea...
9 Reactions
30 Replies
572 Views
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo tayari imeshapitwa na wakati. Muundo wa ndoa ulisukwa kwenda sambamba na mfumo dume, katika zama hizi za usawa wa kijinsia lazima taasisi ya ndoa...
4 Reactions
23 Replies
398 Views
Back
Top Bottom