Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Iko hivi, wiki mbili zimepita nilikua kiwanja kimoja maarufu sana hapa Dar nikavutiwa na mrembo mmoja nikamuita akanipa namba na nilipotaka kuondoka nikataka kuondoka nae ila akasema amekuja na...
42 Reactions
113 Replies
17K Views
Poleni na pilika na mbio mbio za maandalizi ya uchaguzi,vita ya congo na changamoto binafsi za maisha. Mimi Mbwichichi katika kuhangaika kwangu kuyatafuta maisha nimebahatika kukutana na watu...
25 Reactions
120 Replies
3K Views
Nipo zangu kwenye mgahawa, napata menu, halafu kuna binti naye yupo hapa. YAAANI mwanamke msumbufu kwenye kuagiza chakula mpaka unaanza kujiuliza huyo jamaa wake huko nyumbani anapitia nini...
45 Reactions
143 Replies
3K Views
Video inaonyesha wanaosadikika kuwa ni wapenzi wakishirikishana mambo. Kilichofurahisha ni namna walivyokuwa wanaonekana ku bubujikwa na upendo hadharani. Wabongo mnaweza haya mambo? Au ndio...
17 Reactions
87 Replies
2K Views
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu suala la "Wakati gani wa Mwanaume kuoa". Wengi wameenda mbali zaidi na kusema, "Suala la mwanaume kuoa sio umri, bali ni kipato na uwezo wa kuilea familia"...
2 Reactions
9 Replies
195 Views
Uliwezaje ku move on kutoka kwa mpenzi uliyempenda sana?
10 Reactions
127 Replies
4K Views
Hii tabia ya wanawake kupenda kula vingi vya mwanaume, kulelewa au kupata kila kitu kwa wanaume itakuja kufikia mwisho? Kasi ya wanawake kufundishana kupata vitu kutoka kwa wanaume inazidi kila...
8 Reactions
36 Replies
731 Views
Moja ya zawadi bora nilizopata kwenye maisha yangu, ni mdogo wangu wa mwisho. Hadithi muhimu ni kwamba alikuja katika wakati ambao hatukutarajia. Mama yangu ni mtu ambaye anapenda watoto sana...
36 Reactions
252 Replies
5K Views
WANAWAKE WENGI WANAOFANIKIWA KUPATA NDOA NI WALE WANAOKABIA JUU Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kuna Mbinu mbili za kupambana. Kuna wale wanaotumia Mbinu ya KUPAKI BASI na MBINU YA KUKABIA...
26 Reactions
129 Replies
3K Views
Imani yao haina shida shida hawajui juu ya kile wanachokiamini, maana imani zipo za aina mbili Imani sahihi na imani Potofu sasa wao wapo kwenye imani potofu Kwanini ni potofu, ukija kwenye...
41 Reactions
164 Replies
3K Views
Hamjafika hata miaka 20 kwenye ndoa unapata wapi ujasiri huu wa kumpa mkeo hadhi ya undugu ? KWENU MLIOJISAHAU, TUNAKUMBUSHANA TU.
2 Reactions
10 Replies
253 Views
Kisa cha Ally Kamwe na Baba yake kinawasanua wabishi wote, sisi tumekaa pale tunawaangalia na haubadirishi msimamo, kuoa ni ushetani na kuoa ni gereza huwezi kwa ujinga wako na upofu ukabeba shida...
3 Reactions
7 Replies
230 Views
Kwa mtizamo wangu najiona kama Nahitaji kuwa mume wa mtu 😎 Lakini nikiangalia upande wa misimamo ya kama Baba wa familia najiona sina .Ati nifanyaje ili nioe ?
4 Reactions
50 Replies
573 Views
Wakuu, Omba yasikukute, narudia tena omba yasikukute, kufuta namba ya simu ya mtu uliyekuwa unampenda kwa dhati ni jambo gumu mno. Wakuu, mpenzi wangu amefiwa na shangazi yake ambaye kiukweli...
18 Reactions
64 Replies
2K Views
Mi katika maisha yangu nimeishi sana na Mjomba wangu katika Jambo ambalo Mjomba wangu alinikataza sana alisema'" mpwa wangu katika Maisha yako usioe mke unaempenda" Hili Jambo Mjomba...
48 Reactions
132 Replies
6K Views
Hii haishii tu kwa wanaume hata kwa upande wa wanawake.Kwanini wanawake wenye tabia nzuri sana huishia mikononi mwa wanaume wasiokuwa na nia njema . Ujumbe huu utakuletea mwanga kuelewa undani wa...
12 Reactions
26 Replies
996 Views
Nakumbuka kuna mkaka alijisifia, maneno mengi kabla ya mechi, baada ya kumsusia mbususu dakika tano nyingi kamaliza, wakati anamwaga tui yule kaka alipiga yowe na kuanza kulia machozi kama yote...
10 Reactions
135 Replies
3K Views
Ngoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini, haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo 1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula. 2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda...
67 Reactions
505 Replies
29K Views
Wanaume wengi huwa wana vimada nje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashine vizuri ndio kuwatuliza Lakini tunaambiwa kati ya...
21 Reactions
97 Replies
4K Views
Alikuwa ni mpenzi wangu, dem wangu, nilimpenda sana kwa ghafla, nilipoanza nae mahusiano muda mchache tu nikaanza kupanga plan nyingi za kutimiza nae malengo fulani katika maisha, Nikaanza...
7 Reactions
28 Replies
769 Views
Back
Top Bottom