Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hello jf ladies Nifanye nini ili ukubali kuwa mpenzi wangu
1 Reactions
1 Replies
147 Views
Japo tulitofautiana kipindi cha nyuma ula mambo yalikaa sawa, sex ilikua vizuri tu na mambo mengine, ila tangu apate ujauzito, 1. Ni kama ananichukia yani hakuna yale mazungunzo tuliokua...
6 Reactions
40 Replies
1K Views
Kwa kutumia data za mashirika mbalimbali yanayofanya utafiti kuhusu maambukizi ya magonjwa yanayotokana na zinaa kama Ukimwi, kaswende, kisonono na mengine (assumption: kundi lililoathirika zaidi...
14 Reactions
112 Replies
22K Views
Wakuu habari za jioni. Mtaani kuna msemo usemwao 'kibamia'. Mara nyingi huwa najiuliza ili mwanaume uwe na kibamia, urefu wa mtalimbo wako unatakiwa uwe na inchi ngapi? Na ambao sio kibamia...
0 Reactions
129 Replies
20K Views
Mnakesha kwenye nyumba za ibada kuomba waume wa kuwaoa. Ila mkishaolewa mnazidisha kiburi, umalaya, uvivu na uchafu wa mwili. Hiyo NDOA itadumuje?
7 Reactions
21 Replies
898 Views
Usimtukane mamba wakati bado hujavuka mto! Niwe tu mkweli huwa sipendi kuweka mambo yangu ya mahusiano wazi ila kwa faida ya wanawake wenzangu ngoja leo nisimulie kakisa haka kafupi kaukweli...
22 Reactions
119 Replies
19K Views
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika...
35 Reactions
137 Replies
5K Views
Nilidhani kuna wanaume baadhi ambao sio wanene hawana vibamia.Kumbe bwana ukiona mwanaume analikitambi mpaka linamshinda ujue kibamia anacho. Nimekutana na bwana mmoja hivi ni mtu na mihela yake...
15 Reactions
208 Replies
22K Views
Mambo vipi, wanasema kuuliza sio ujinga. Huwa nasikia simulizi za kibamia, sasa leo nataka kujua hicho kibamia kinapimwaje yaani kuanzia inchi ngapi kushuka chini? Narudia tena kuuliza...
0 Reactions
56 Replies
23K Views
Ulee mke Ulee familia Utunze akiba Watoto wasome medium Etc Bado tena mchepuko unaubeba kama mayai. Yani unaweza kuta kiatu ulichomnunulia malaya ni mara tatu ya bei ulichomnunulia mama yako mara...
2 Reactions
5 Replies
217 Views
Huu ndio uhalisia wa wanaume wengi wapumbavu kwenye mahusiano na girlfriends au wapenzi wao Kwenye birthday ya mwanamke mwanaume mpumbavu ndiye humgharamia atamnunulia wig au salon n.k. Kwenye...
24 Reactions
79 Replies
2K Views
MWANAMUME yeyote anapotaka kumtongoza mwanamke hulazimika kwanza kumwonesha japo kwa matendo kuwa anampenda, au kwamba amevutiwa naye, hata kama ni kimwili tu. Hatua hii ndiyo yenye changamoto...
4 Reactions
626 Replies
613K Views
Wakuu kwema. Naombeni ushauri kwenye hili suala. Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu. Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali. Mama...
24 Reactions
135 Replies
3K Views
Basi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz. Looooh....Najutraaa Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating...
9 Reactions
64 Replies
2K Views
Mke wa zamani wagwiji wa soko toka Brazil KAKA amefichua kuwa aliachana na supastaa huyo kwa sababu alikuwa "mkamilifu sana". Nyota huyo wa zamani wa Brazil na Real Madrid alifunga ndoa na...
9 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwenye mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke nani anatakiwa awe wa kwanza kuwa anamtafuta mwenzake like everyday ile kumjulia hali na siku yake imeendaje? Au inatakiwa iwe effort iwe inaendana...
19 Reactions
489 Replies
16K Views
MWANANGU Ukioa jambo la kwanza ili uheshimike kama mwanaume inatakiwa kwanza watu wamheshimu mkeo. Kama mkeo haheshimiki hapo mtaani kwako, basically wewe ni kitu cha kutupwa. Tena inawezekana...
5 Reactions
9 Replies
472 Views
Nawasilisha kwenu wakuu nishaurini kuna bint niliyekuwa naye nilikuwa nampenda sana tena mno ila kipindi cha korona sehem nilikuwa nafanya kazi ikaanguka tukaachishwa kazi. Alikaa kimya kwa muda...
10 Reactions
124 Replies
7K Views
Unakuta ni mrembo kwelikweli lakini hajui kupika hata msosi wa kula yeye mwenyewe sasa mkioana sijui mtaenda kula vibandani au Unakuta ni bonge moja la handsom lakini siku zote yeye na uplayboy...
9 Reactions
28 Replies
531 Views
Back
Top Bottom