Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Baada ya kukumbuka lile tukio la kufukuzwa, japo sio ishu saaana nimeona niwasimulie na huyu mwamba sasa alietunyoosha mimi na dada angu na huu ndio ukawa mwisho wa outing. Yaani outing zikawa za...
20 Reactions
168 Replies
10K Views
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma. Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni...
25 Reactions
134 Replies
9K Views
Mwaka umekuwa na mambo mengi sana, tupunguze stress kidogo.....Ulishawahi kupata aibu hii? Miaka ya nyuma kidogo nikiwa bado mwanafunzi form 4 nadhani kuna jibaba enzi hizo buzi, likanipa mistari...
107 Reactions
514 Replies
28K Views
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia...
49 Reactions
553 Replies
34K Views
...............
62 Reactions
462 Replies
55K Views
...............
29 Reactions
138 Replies
10K Views
Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco...
56 Reactions
130 Replies
14K Views
Good morning..... kapita kaka muuza nguo kavuta kiti kakaa tukaanza kuchagua viwalo, kama kawaida kijiwe huwa hakikauki story, story zikaanza fursa za biashara tukapewa darasa, tukahamia kwenye...
11 Reactions
25 Replies
3K Views
Ukitaka kula lazma uliwe, wanaokubali waseme ndio wasiokubali waseme sio.... Mwanaume unapokua unagegeda mke wa mwenzio, unamgeuza geuza kama chapati, unamkunja na kumkunjua, jasho linakutiririka...
19 Reactions
104 Replies
11K Views
Kichwa cha habari chajieleza, Kuhongwa rep power sio tiketi ya kuombea na bia, kama mna kiu na bia mtafute hela zenu, muombe kwa wazazi au wame zenu. Mambo ya kuomba hela ya bia kwa shemeji yenu...
15 Reactions
284 Replies
22K Views
,..................
10 Reactions
156 Replies
10K Views
Wajanja wa mji hoyee, Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, . Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo . Nilipata mwanaume sio single ila...
19 Reactions
378 Replies
11K Views
................
2 Reactions
75 Replies
6K Views
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa. Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa...
12 Reactions
54 Replies
1K Views
Hili jambo nmekuwa nikilichunguza Kwa mda sana Hadi nimefikia hitimisho ukweli kabisa watu wawili hawano jielewa na kujitambua they can't fall in love Mapenzi HUITAJI mjinga mmoja na mwenye...
12 Reactions
28 Replies
820 Views
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia. Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana. Kama ilivyo kwa...
30 Reactions
185 Replies
9K Views
Wanaosema kuolewa ni bahati huwa wanajifariji tu! Ukweli ni kwamba kuwa mke wa mtu ni vigezo na sifa maalum ambavyo siyo kila mwanamke anavyo! Kutokuwa malaya haina maana unasifa moja kwa moja...
14 Reactions
58 Replies
1K Views
Back
Top Bottom