Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari wapendwa. Leo naanza kwa kumshukuru Maxence Melo kwa kuanzisha hii platform ambayo leo nitaitumia kusema kitu ambacho nikikisema ktk maisha yangu halisi nitaonekana wa ajabu na nina hakika...
93 Reactions
927 Replies
17K Views
Duni hii siyo fair hata kidogo kwa wanawake. Tamaduni hazimpi mwanamke nguvu ya kuamua aolewe lini na aolewe na nani. Hivyo mwanamke hubakia njiapanda. Mtanziko huu ndiyo umewaingiza wanawake...
1 Reactions
0 Replies
187 Views
Kuna raha ya kuwa na mwanamke Ana akili za kitoto kidogo ndani pachangamke, awe mshamba kiasi sio unakuta una mwanamke ana AKILI nyingi mpka unatumia nguvu nyingi kumdanganya. Unakuta mwanamke...
91 Reactions
363 Replies
11K Views
Habar zenu wadau Naomba mnisaidie maana nipo njia panda sielewi nifanye nini. Waswahili wanasema mficha maradhi Kifo humuumbua. Mimi sitaki kusubiri Kifo kinikute. Ileweke nimekuwa humu JF kwa...
75 Reactions
1K Replies
244K Views
Uko na mchumba kwa muda mrefu, baada ya kupata tuhela unasema ngoja sasa nimwambie mwenzangu nataka niende kwao nikajitambulishe na hatimae nioe kabisa.. Lakini mtu anakwambia hayuko tayali na...
12 Reactions
66 Replies
1K Views
Ndugu zangu. Katika kumalizia mwisho wa mwaka wanaume tuzidi kukumbushana kwamba. Siku zote mwanamke anazaa na yule mwanaume anayempenda , ukiona mwanamke uliye nae kwa hiari yake binafsi bila...
8 Reactions
16 Replies
552 Views
Kuna mwana amenogewa na penzi la kipare Anasema ni tamu kama papai Mind you, papai halijawahi kuwa refu Anaomba asiulizwe maswali, utamu huo aje? Umemwelewa lakini?
2 Reactions
41 Replies
976 Views
Nimeolewa lakini sifurahii ndoa yangu kabisa, nilichokitegemea kwenye ndoa si ninachokipata. Mimi ni binti wa miaka 24, nimeolewa na mume wangu ni askari, yeye ni polisi wa kata hivyo tuko huku...
23 Reactions
176 Replies
8K Views
Naombeni misaada yenu hapa kuna kesi ya kusolviwa haraka haraka, watu wapo juu ya mawe wanaliaaa NAZI MTARONI: Yani Money Penny hapa ninashida ya milele Kuna kibopa nilikutanaga nacho TRA hapo...
16 Reactions
492 Replies
41K Views
Salaam wakuu: Kuna hili jambo lakushangaza na linalovuma sana linalodaiwa kufanywa na vijana wanaosaidia watu wanaokwenda kucheza baharini (beach boys) Kwenye mazingira hatarishi ya baharini tena...
16 Reactions
88 Replies
2K Views
Hii Gen Z ina mambo mengi sana, ni kawaida kukuta mtoto wa kiume ameoa na bado anaishi kwa wazazi, yani alipo olewa mama yake na yeye analeta demu wake, huku ni kuvunjia heshima wazazi, kama...
4 Reactions
9 Replies
284 Views
Ndugu salam Sishauri kijana ambaye hajaoa kuingia kwenye ndoa, wanawake wa sasa wamekua ni chanzo kikuu cha wanaume kufa mapema kwa magonjwa hatari yatokanayo na msongo wa mawazo Nayasema haya...
74 Reactions
234 Replies
7K Views
Unakuta kila siku mtindo ule ule tu ya Adamu, mende au ya mbuzi kagoma. Unakuta mwanamke anazoea sasa akikutana na vitu huko nje na wenzake na umbeya wa kwenye vikoba na vigodoro basi anaamua...
7 Reactions
56 Replies
4K Views
Nipo apa kuwatoa ujinga nyinyi wanaume mnaojifanya mna pesa yaan unakuta dume zima linajua na mwanamje first day denu anaanza njaa mara nina birthday.kuna mchango wa harusi .nimekopa nadaiwa nina...
18 Reactions
33 Replies
8K Views
Wanabodi natumaini nyote hamjambo! Kwa muda mrefu stori nyingi zinazohusu mapenzi zimegubikwa na migogoro mingi inayotokana na wapenzi husika kuhisiana kukosa uaminifu baina yao. Kwa kuhisi kuwa...
5 Reactions
129 Replies
15K Views
Maandiko yaliwaonya ishini na wanawake kwa akili. Wanaume jueni haya juu ya wanawake ambayo hamyajui au mnayajua Ila hamtaki kukubali huu ndio ukweli. 1)wanawake baadhi sio wote wakipenda...
5 Reactions
43 Replies
7K Views
Habari Wana jukwaa! Sina mengi sana zaidi ya kutaka kufahamu hasa ninini husababisha wivu katika mapenzi?? Karibuni kwa mawazo mtazamo na maoni yenu
6 Reactions
222 Replies
26K Views
Hello JF natumai mko poa. Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa. Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi...
12 Reactions
83 Replies
3K Views
Good morning jf.... Tusio na marafiki tukutane hapa😔 Kuna hili swala nimekua nikijiuliza hivi karibuni, baada ya kuona sasa uzee umeanza kupiga hodi. Najiona umri umetangulia mbele halafu maisha...
82 Reactions
279 Replies
16K Views
Back
Top Bottom