Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kama umepambana na una Mali nyingi usioe. Tafuta mwanamke uwe nae kama mpenzi tu. Jenga nyumba Sehemu na umueleze huyo mwanamke kua umempangishia. Umiliki wa hiyo nyumba hata kama uko kwa jina...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Miaka kama 10 hivi iliyopita tulikuwa tunacheza mechi ya kuagana wanaohitimu na wanaobaki, basi kuna msichana nilikua nampenda na siku hiyo ilikuwa nii lazima nijitahidi kuonana...
10 Reactions
57 Replies
6K Views
Kuna mkaka alioa mwanamke miaka kadhaa iliyopita,na katika maisha yao ya ndoa walibahatika kuzaa watoto wawili,wa kike na kiume,wakiwa wanaishi Dar kipindi hicho Bahati mbaya ndoa...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Kuna mdada ni mtu wa dini sana yani mtoto anaonekana katulia, huwa anakibiashara chake maeneo flani bac ile kumchangia changia mtoto akanizoea sana akanipa namba bac tukawa tunawasiliana. Juzi...
6 Reactions
65 Replies
4K Views
Wengi tunatamani mahusiano tukiamini itakuwa njia pekee ya kutuliza nafsi pamoja na uchumi. Mambo yamekuwa ni kinyume, na imekuwa ni karaha; kama huwezi kuhudumia kwa kutoa pesa, hapo migogoro...
28 Reactions
61 Replies
4K Views
Ni mpaka uishi hayo maisha ndio unaweza kupata hisia halisi za hii mada. Hapa nazungumzia wale wazazi kwa sababu zozote zile waliwatelekeza watoto wao udogoni na kuja kuonana nao ukubwani. Hapa...
35 Reactions
118 Replies
5K Views
Kila mmoja hupata changamoto kwenye mahusiano yake na hakuna mtu ambaye amedumu kwenye mahusiano bila migogoro ya hapa na pale. Unatakiwa utambue kwamba mahusiano ya binadamu hasa jinsia tofauti...
28 Reactions
25 Replies
4K Views
ULIMWENGU wa sasa umejaa sanaa. Watu wameingiza sanaa kwenye kila eneo. Sanaa ipo hadi kwenye masuala ya uhusiano. Mtu anamfuata binti, anaingia na gia kabisa za kuoa kumbe siyo muoaji. Anakuwa na...
10 Reactions
118 Replies
27K Views
Habari zenu humu ndani. Baada ya kushiba daku nimeamua kuja na uzi huu. Kwa sisi wanaume tukioa kisha tukapata mwanamke ambaye hajawahi kuguswa, mwanaume anajiona fahari. Wanaume tunaona tumepata...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Habarini ndugu Mimi na mzazi mwenzangu bado hatuna ndoa, ila tumebahatika kupata mtoto mmoja, kwa sasa wamerudi mkoani baada ya kuja na kukaa nyumbani kwetu kwa lengo la kumleta mtoto familia...
10 Reactions
191 Replies
2K Views
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32...
10 Reactions
297 Replies
29K Views
(1) Anawasiliana, anatamani na kuongea kimahaba na wanawake wengine mbele yako. Wala hajali upo, hajali kuwa anakuumiza, hajali kama unahisia, atawasiliana na wanawake wengine, ataongea nao na...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Demu wangu alikuwa anachepuka, siku moja nikaona amenisave "Dad" kwenye simu yake lakini sikumwambia nikajikausha. Wiki iliyopita nilikuwa nampigia na hapokei simu. Jumapili iliyopita niliona...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Nipo mkoa wa huku kusini kwenye harakati zangu za utafutaji,nikaingia mtaa mmoja wa nyama choma; ile harufu ya nyama ikaufadhaisha mwili wangu, kuangalia mfukoni nina elfu tano tu, na kwenye simu...
32 Reactions
112 Replies
3K Views
Kwa miaka kadhaa tumekuwa tukiona wanandoa wanakosana na hatimaye wanatengana, yaani ndoa inavunjika. Kwa sababu ni mazoea ya enzi na enzi, hakuna anayeshangaa kuona watu wliopendana wanafikia...
6 Reactions
46 Replies
10K Views
Back in d' dayz! Nilikua na mtoto mzuri, kitu black beauty mwenye asili ya mbeya, kiufupi ni kwamba nilimsaidia sana, nilikua naplay part kama mzazi wake, ada ya chuo, mahitaji yote, na...
22 Reactions
43 Replies
5K Views
Wakuu nataka nijitose nikamuoe mtoto wa mwenyekiti pale machame ila hofu yangu kubwa je mimi kapuku inawezekana? Mimi mtumishi wa tamisemi kweli ninaza kwenda kumuoa yule mtoto? Na hiyo ndiyo...
2 Reactions
14 Replies
530 Views
Habari wakuu, Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu. Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila...
61 Reactions
261 Replies
9K Views
Ipo hivi miaka kama kumi nyuma, baada ya baba yangu kufariki, tuliitwa na shangazi zetu tukapelekwa huko Tukuyu Busokelo tukapewa mji na kuambiwa sisi ndio tutakaoutunza mji, sababu ni baba yetu...
30 Reactions
162 Replies
9K Views
Habari wana JF, Hii ilitokea wakati tukiwa chuoni wakati dada akiwa First year alikuwa na mchumba wake (mtanashati) ambaye alikuwa ndiyo kamaliza chuo na kupata kazi Dsm kwa hiyo alikuwa na fedha...
7 Reactions
57 Replies
5K Views
Back
Top Bottom