Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hivi kuna watu humu wapo kama mimi? Mimi bhana katika maisha yangu sijawahi kuwa na rafiki wa kudumu eti niseme huyu nilicheza nae, nilisoma nae shule ya msingi au secondary alaf mpaka sasa...
12 Reactions
29 Replies
951 Views
ikitokea umekutana na mwanamke akakuvutia kwa mara ya kwanza na ukamtazama directly machoni/usoni. Basi tambua ubongo wa huyo mwanamke unaanza kukudescribe papo kwa hapo kama unafaa kuwa nae au...
6 Reactions
13 Replies
774 Views
Ivi ushawahi kujiuliza kwanini 1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume? Namaanisha A. Mzuri wa umbo B. Mzuri wa kili C. Mzuri wa utafutaji D. Mzuri wa Dini E. Mzuri wa Tabia na maadili Yani...
3 Reactions
69 Replies
2K Views
Kama mwanamume nilijisikia vibaya ila kwa lile Traako no ilikuwa lazima nichape Kuna demu alipata kazi za muda mkoa ninaofanya kazi sasa kuna siku natoka kazini nikapitia hapo ofisi yao uwa...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Nimewahi sikia eti MWANAUME ANASEMA WANAWAKE WANANIKATAA 👇 Rafiki mwanamke akupendae na mwenye Future Yake hakatai mtu. Labda kama anampango wa kuchuna mali zako. But real women 🚺 hakatai...
9 Reactions
67 Replies
2K Views
Habari Wakubwa, Naona kuna. Tukio sio la kawaida naanza kuona vijana tunaanza kuwaogopa Wanawake sijui kaka zetu walifanikiwa vipi. Tena hawa kataa ndoa. Ndio wanatuharibu kabisa kisaikolojia...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu Mmesikia kuwa Wanawake wenye kipato kizuri wamekuwa chanzo cha migogoro ya ndoa, kwani wanakosa heshima kwa wenza wao na hata kushindwa kushiriki tendo la ndoa. === Jukwaa la wanaharakati...
1 Reactions
5 Replies
505 Views
Kila mwanamke anapenda hela ila sio wajibu wako kama hujamuoa, Mwanamke akikupenda: Hakosi hela ya nauli Hakosi hela ya saloni Hakosi bando Simu haiwezi kuisha chaji Hawezi kuwa busy Tatizo la...
2 Reactions
8 Replies
280 Views
Ewe Binti ,mdada na wanawake wengine wenye tabia za kutembea na waume za watu soma hapa chini Kwa umakini 📌. Kujiwekea uadui na watu wanaochukia wanawake wenye tabia hizo. 📌. Kutumika kama...
0 Reactions
0 Replies
256 Views
Itunze ndoa yako.. Omba msamaha ukikosa Sema asante kwa kile utakachopewa kiwe kikubwa au kidogo. Jali mahitaji ya mwenza wako, ya mwili na roho.. Kila mara mkumbuke hata akiwa bize, piga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanabodi hii hivi iko sawa. Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi". Je hio ni sawa au ni...
51 Reactions
129 Replies
5K Views
Kuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa...
33 Reactions
202 Replies
6K Views
Wakuu Daniel Marandu, Mhadhiri Msaidizi katika Idara ya Saikolojia ya Elimu, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akizungumza kwenye Kongamano la Mahusiano ya DADAZ kipindi cha EATV linalofanyika leo...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
WADOGO ZANGU: KAMWE USIJITESE KWAAJILI YA MWANAMKE. WÔTE MCHANGIE ÑGUVU KUYAENDESHA MAISHA YENU. HATAKI PIGA CHINI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Usiwe Mpumbavu. Usiwe mbumbumbu! Usiwe...
13 Reactions
64 Replies
2K Views
Ukweli Mchungu Ambao Wanaume Wengi Hawapendi Kusikia Kisaikolojia, mwanaume anapoteza mvuto anapokuwa: 🌀 Hana malengo: Mwanaume asiye na ndoto au juhudi huashiria kutoendelea maishani. 🌀 Ana...
2 Reactions
2 Replies
327 Views
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu, Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio...
26 Reactions
265 Replies
20K Views
Kwema wana JF nawasalimia wote! Niende moja Kwa moja kwenye mada, huu uzi nimeamua kuuleta ili kuwaonyesha ni jinsi gani mapenz ya urozi yalivyotaka kunisababishia uchizi au kuniondoa uhai...
1 Reactions
9 Replies
652 Views
Mwenye jukumu la kuwajibika ni mwanamke mwenyewe, utayari wa kimwili na kiakili wa mwanamke mwenyewe ndio utamuwezesha kuridhika na tendo. Mwanamke hana hisia na anaefanya nae sex (kajiegesha tu...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Katika Harakati za Kujamiana na watu mbalimbali kwenye mitandao basi nikapata binti mmoja nikamwelewa sana Ila siku ya appointment picha alizotuma na mwana dada niliyekutana nae ilikuwa ni ardhi...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom