Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kaeni mkijuaa wazazi hatuachani huwa tunatengana tuuu na tukipata nafasi tunaitumiaa vyema siwakatizi kuoa singles ila kaaeni mtambuee hilo tulio zaa hatuachani tunatengana tyuuu
5 Reactions
19 Replies
432 Views
Waswahili wanasema "Kata mti panda mti!". Huu msemo usiulete kwenye mapenzi utakuja kufa ulimi nje!. Baada yakubwagana na mpenzi wangu chapchap kuuponya moyo,roho na nafsi yangu nikaamua kutafuta...
44 Reactions
105 Replies
4K Views
Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa...
8 Reactions
72 Replies
3K Views
Wakuu, sorry if I will sound weird, ila hakuna jinsi bora kusema labda naweza pata tiba. Nifanyeje ili niweze kuondoa aibu? Mwanzo jilijua ni utoto itapotea with ages ila mpaka umri huu hali iko...
30 Reactions
198 Replies
8K Views
:: Msomi (at least Masters in progress) :: Pesa (sio za mawazo) :: Umri (at least 30+) :: Sifa nyingine unazofikiria hazina nguvu sana..Labda umpate aliyetendwa sana hadi benchi limemchosha...
2 Reactions
128 Replies
9K Views
90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo. Taarifa fupi ni hii.
34 Reactions
339 Replies
12K Views
Kama umeona mwenye hulka/tabia mojawapo kati ya hizi, basi mkeo ni kahaba, na anayafanya haya kuvutia wanaume wengine. Fukuza kabla mambo hayajakuharibikia:- 1. Anabandika kope, nyusi, kucha na...
20 Reactions
53 Replies
2K Views
Hakuna tofauti kati ya Single Mother na Single father, Ukiona mwanaume na mwanamke wameachana tayari wakiwa wameshazaa kama mwanaume unaogopa huyo mwanamke ambae ni Single Mother basi na wanawake...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii ina maana gani kuporomosha matusi mazito mazito wakati wa kufanya tendo la ndoa tena na mtu wa ibada kabisa na mwenye heshima anaeheshimika kwenye jamii? kwani hakuna maneno mengine hadi...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi, natumai ni wazima wa afya. Kama mada inavyosema. Kwa upande wako unamuogopa au hupendi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke au mwanaume gani? Kwa upande wangu mwanamke muongo...
7 Reactions
364 Replies
24K Views
Wanawake wanapigana vita vingi. Kutafuta mume ni vita, ukimpata mume bado shida zinabaki palepale, mume hatulii, akipata visenti vyote anamaliza nje na wanawake wa kila aina. Pesa zinapotea, afya...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini, Kuna issue moja nimeona among most men, comment ya Daniel mwasi na tit 4 tat wa JF, imefanya niandike huu uzi. Mwanaume unakuwa kimuonekano huna kasoro yoyote, pesa unayo, ila hutapata...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Nawasilimu wana JF Kwakweli tangu niliposhuhudia dem anaomba hela kwa boy wake anapewa halafu na yeye anaenda kumtoa lunch boy wake, basi niliumia sana. Njia pekee ya kuniach ni simple, niombe...
2 Reactions
9 Replies
349 Views
Natumai mu wazima wa afya, Twende moja kwa moja kwenye maada kuu, kama watu wa kiroho wanavyotafsiri alama hii 11:11, kuhusu alama hiyo kwa upande wangu kila siku naiona kwenye mizunguko ya...
0 Reactions
9 Replies
378 Views
Kila mtandao ukipita,utakuta wanaume wakiwashutumu wanawake sana,tena kwa maneno makali mno,kila uovu,kila ubaya tunawapakaza...
2 Reactions
10 Replies
283 Views
Huu ndo ukweli, mtoto anarithi akili za mama, mama akili ovyo kichwani tegemea na uzao wako utakuwa hovyo. Mungu hakupi vyote, huwezi kukuta mwanamke mrembo akawa vizuri kichwani, ana uzuri...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
I had a date yesterday with this guy pale wildflour jioni, Ila huwezi amini the guy didn’t show up , nampigia simu anapokea anasema tu nakuja nakuja kuna foleni. Nimekaa pale 3 hours namsubiri and...
22 Reactions
74 Replies
2K Views
Kuna jambo la kushangaza kidogo. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu katika biblia,kuna laana zilitamkwa na Mungu baada ya wazazi wetu kufanya dhambi. Katika laana zilizotolewa,ni pamoja na ile kuwa...
5 Reactions
7 Replies
437 Views
Kama mchumba, au mke wako amekwenda kwenye kongamano la Ladies In Red wao wanasema na kudai ni Kongamano mahususi la Mahusiano linalofanyika Mbezi Garden Hotel. Mwanaume mwenzangu anza kupiga...
15 Reactions
152 Replies
3K Views
Wakuu Wala sina maelezo mengi, kichwa chajieleza. Jiweke mbali na mapenzi
13 Reactions
52 Replies
1K Views
Back
Top Bottom