Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimekua nasikia siku nyingi kua watu weupe mfano wazungu,waarabu n.k miili yao ina baridi kama barafu wakati wa tendo la ndoa tofauti na watu weusi,kuna ukweli juu ya nadharia hii?
5 Reactions
23 Replies
1K Views
.....
11 Reactions
405 Replies
6K Views
WATU WA BLOOD GROUP O WALIO WENGI Hawa ni watu wenye HASIRA na UBABE sana kwenye maisha yao hawa wwtu WATU WA O Hawa watu nawaita watu hekaheka (masafa) ukikuta O mchovu basi anatakuwa na...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu, Wanawake wa Kenya mnakwama wapi? Ni excitement au despration ya kuingia ndoani? Nitumie nafasi hii kuwasii wanawake wa kitanzania msiige mfumo huu.
3 Reactions
9 Replies
653 Views
Katika dunia ya leo, wasiwasi na mashaka mara nyingi huchanganywa na akili au hekima. Watu wengi wanaamini kuwa kuwatilia mashaka wengine, kuepuka kujitolea, na kukataa mahusiano yanayohitaji...
1 Reactions
14 Replies
530 Views
USIUMIZE WATU WENYE MIOYO HALISI YA UPENDO : Unapowaumiza watu wenye mioyo halisi na ya upendo wa dhati Kwanza hautagundua matokeo yake mapema kwa yale maumivu unayo watia🥵🧐🥺 : Hawatanyanyua...
3 Reactions
20 Replies
861 Views
Shalom, Habari kwenu nyote wadau wa jukwaa hili, nimekuwa nikijiuliza sana haya maswali kwanini Yesu hakuoa, Kwanini Yesu hakuwa na mwanafunzi wa kike, kwanini Yesu pia hakuwa na ukaribu wala...
11 Reactions
97 Replies
5K Views
Najua kila mtu ana opinion yake ila tukiamua kusimama na facts wanaume hasa wazinzi na wale wakujichua wanaomwaga oili kila siku, Mshindo moja unatosha. Wanaostahili kupiga 2, 3 na kuendelea ni...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Nauliza hivyo kwa sabab zifuatazo: 1. Pisi Kali wengi hawaolewi 2. Pisi Kali wengi wanapata wanaume wahuni wahuni tu ambao hawana nia ya kuoa 3. Pisi Kali wengi wanaishia kupigwa mimba tu bila...
15 Reactions
142 Replies
15K Views
SIRI YA MOYO Katika Maisha Yetu Duniani nimegundua kwamba tunatumia muda mwingi kujirekebisha ili tuonekane wazuri, warembo, na ma-handsome 😍😎 — wajanja na watu makini. Lakini nimegundua mambo...
0 Reactions
3 Replies
446 Views
Wanandoa mke au mumeo sio adui,huyo ndio rafiki yako,mwandani wako,msaidizi wako,kiburudisho wako,mnalala uchi,mna share liquids zenu ama kwa mdomo au kwa nyuchi zenu,na miongoni mwenu mnameza...
6 Reactions
26 Replies
679 Views
Habarini wadau, Mara nyingi sana wanawake wamekuwa wanaposaliti au wanapoamua kujihalalishia dhambi ya uzinzi huwa wanaambiwa kabisa kuwa ukiwa kama mke na kuzini basi Biblia inatoa ruhusa ya...
7 Reactions
130 Replies
21K Views
MWANAUME MWENYE NGUVU NI YUPI.? : Je ni yule anayenyanyua vyuma na kushinda gym? : Je ni yule anayejua kunyanyua silaha za moto nakuelekea vitani, Nakupigana vita vizuri? : Je ni yule mwenye...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Natumai mu buheri wa afya. Nimeokota dodo la kishua pale Africa Sana. Katika chats za hapa na pale akadai sexual fantasy yake ni body massage kabla ya tendo la ndoa. Kwa kujimwambafy nikajikuta...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Abarini Wanawake eengi hasa apa kibonfo bongo kuanzia 25 nakuendelea,wameferi au WAMECHEZEA maisha Theyre desperate na mahusiao na nsoa,theyte desperwte nawnaume kwaujumla Wengi uringa sana ktk...
6 Reactions
28 Replies
639 Views
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ,. Kazii iendelee,? Turudi kwenye topic yetu,... Uzao wa abraham wa kwanza aliambiwa na Mungu apate mtoto basi wakajaribu na sara...
3 Reactions
1 Replies
213 Views
Habari za wakati huu wapendwa. Naomba nitoe ujumbe mfupi kwa wanaume wote ambao mpo kwenye ndoa na wake zenu na umepata uhamisho au ni mtu ambaye kazi inakuweka bize sana. Kama umepata uhamisho...
7 Reactions
87 Replies
10K Views
Habari wakuu? Asee leo ndo nimehitimisha tafiti yangu kwa asilimia 100% kuwa wake za watu wanaliwa sana maofisini asee kama mke wako ni mtumishi mfanyakazi asee tambua brother unagongewa kwa...
16 Reactions
112 Replies
5K Views
Nimekua nikiangalia sana muvi na kizungu na nimeona sehemu nyingi mtu anajitoa kufa kwa ajili ya anayempenda(kupigwa risasi badala ya mwingine n.k) Sasa natafakari sipati majibu kwasababu tunajua...
-1 Reactions
39 Replies
1K Views
Aisee Mambo yanayoendelea Dodoma after marathon ni balaa. Ni kama watu wenye ndoa wametoka kifungoni they want to experience everything. Watu wenye Pete ndio wanaongoza kuingia double kwenye...
29 Reactions
108 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…