Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Professor jizee kiukweli amepata mke bora na mwema sana aisee na mvumilivu aisee professor jizee pongezi zote amepeleka kwa mke wake na sijui amefanyeje kumpata yule mke wake na sikutegemea mke...
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Kama unaogopa kutuma nauli ya basi kutoka mkoa X kwenda mkoa Y utaweza kweli kuagiza mzigo wa milioni kadhaa online huko China au Dubai, Duniani marisk taker ndio waliofanikiwa Take a risk tuma...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Nilianza maisha kwa kutegemea mishahara ya ajira serikalini ila nashukuru nikaweza kujiongeza nifanye na biashara, huku kwenye biashara kwakweli huwa nakutana na watu wengi zaidi. Sasa katika...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Mwanamke akishapenda sehemu, Cha kwanza huwaza kuzaa( kumzalia huyo mwanaume) akidhani kwamba akimzalia ndo atamtuliza na mwanaume anazidisha mapenzi kwake kwakua wamezaa. Zaa ukiwa na Utayari...
2 Reactions
2 Replies
200 Views
Siku hizi, imekuwa kawaida kusikia mtu amepata mtoto bila kufunga ndoa, jambo ambalo zamani lilikuwa nadra sana, na hata likitokea, lilikuwa na unyanyapaa mkubwa. Lakini leo hii, mambo...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Hii kitu 'K' haijarishi wewe ni mzungu? "Kwasababu nimeshiriki project nyingi za wazungu wakija huku wanakuwa marimbukeni mbele ya "k". Hii 'K' kama wewe ni kijana unajitafuta kuwa makini nayo...
3 Reactions
9 Replies
397 Views
Natamani sana nipate mwanamke mpole msikivu na tutakaeelewana ili tujenge familia pamoja. Naahidi ntampenda na kumtunza. Namba yangu [emoji117] 0757 692 993
1 Reactions
0 Replies
150 Views
Karibuni wanajamii forum. Kisa ndo hicho chini ya picha.
1 Reactions
9 Replies
520 Views
Kama mahusiano yako yanakufanya ujisikie kuchoka na hauna raha,basi si wakati muafaka kwako kuendelea nayo Kama unajikuta kila unachofanya ni kwa ajili ya kuhakikisha mahusiano yako yanaendelea...
12 Reactions
24 Replies
2K Views
Nilifahamiana naye kupitia instagram. Mara nyingi ni mtu wa kupost msambwanda ie. Walewale akina mautamu! Basi bhana, siku moja nikakutana na video yake ya ovyo sana iliyonisisimua mwili...
4 Reactions
12 Replies
675 Views
Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar.... Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya. Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na...
25 Reactions
203 Replies
6K Views
Yan binti wa mjomba wa mbali sana..afu ni mtoto wa efu mbili..dogo ametulia yuko fresh..
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Ndugu wana JamiiForums naomba kuuliza swali? Swali langu linaweza kuonekana la kawaida Ila lina maana kubwa wengine husema uzuri wa mwanamke ni tabia. Wengine husema uzuri wa Mwanamke ni sura. Je...
2 Reactions
12 Replies
391 Views
Wakuu ! Habari za majukumu na mishemishe za maisha ya kila siku ? Huu msemo wa Mke wa mtu ni sumu hakika ni kweli na ni sumu kweli pale utakapo ingia kwenye 18 za mwenye mke wake. Kuna visa kama...
42 Reactions
106 Replies
6K Views
Habari za saivi wakubwa Kuna dogo bhana wa kiume alitokea kunikubali Sana Tena sana nimemzidi miaka kama mi 3 ivi alianza kunizoea Mimi nikawa namchukulia kama dogo Alikuja kuniambia siku moja...
16 Reactions
164 Replies
4K Views
Wadau za saizi nipo hapa bed nimejilaza na shida zangu tu Nikafikiri 97% ya shida zangu ninazopitia ni kwasababu sijatokea kwenye familia tajiri bali yenye hela Nikawaza hivi wakina MO au...
17 Reactions
135 Replies
6K Views
Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke...
12 Reactions
37 Replies
3K Views
Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau, kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya...
6 Reactions
83 Replies
21K Views
Wanaume wenzangu hivi unaoaje mwanamke mlevi kwa mfano? Aisee unaanzia kuoa mwanamke mlevi duh so sad Home niliona baba alikuwa akiingia jumamosi anakuja na bia mbili ndio anampa mama Sasa...
14 Reactions
67 Replies
1K Views
Back
Top Bottom