Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ukibaini umekosea chaguo/njia basi usiogope kuanza upya, maana hata watu sahihi au wema hukosea chaguo kwasababu ya ubinadamu walioumbwa nao au wamesababishiwa na mtu Mahusiano yanatakiwa yawe...
0 Reactions
3 Replies
227 Views
Mara nyingi katika mazingira fulani ambayo hatukutarajia na kwa namna isiyoeleweka kabisa ndipo tunakutana na watu wetu sahihi wakati mwingine hata tukiulizwa tulikutana wapi au tulifahamiana wapi...
2 Reactions
8 Replies
319 Views
Usiache kupenda tena, yawezekana huyo ndiye aliyekusudiwa kuwa wako. Ukiachana na mtu usisuse ila jisahihishe kisha daka chombo tena Usikubali kuishia njiani kwasababu umeachwa, umeumizwa na mtu...
1 Reactions
3 Replies
168 Views
Wajumbe salama? Hivi ni kwanini bado jamii yetu inaendelea kuwa na mtazamo kwamba ukionesha mapenzi kwa mkeo ni limbwata? Tunaamini sana katika ulozi? Ama ndiyo mfumo dume umeshatuathiri kwa...
6 Reactions
54 Replies
899 Views
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi...
8 Reactions
95 Replies
3K Views
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda...
32 Reactions
268 Replies
10K Views
Duuh yaani hata kabla sijafafanua hoja, mnaanza kunifokea!? Anyway, ukweli ni kwamba dunia hapo kale ilimtambua mume kuwa Kichwa Cha familia! Kiukweli kwa uhalisia wa nyakati zile Ilikuwa sahihi...
3 Reactions
16 Replies
595 Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters...
42 Reactions
274 Replies
11K Views
Katika jamii nyingi za Kiafrika, kuna mtazamo uliojengeka kwamba mwanamke ni lazima azalie watoto ili awe "kamili" au awe amekamilisha wajibu wake kwa familia na jamii. Lakini hivi kweli tunapaswa...
3 Reactions
22 Replies
695 Views
Jirani: Money penny njoo Money penny: Mekuja jirani nambie Jirani: Mepata bwana Mkatoliki, sa kila tukimaliza tendo la ndoa anakimbilia kuoga fastaa Nikamwuliza shida nini, akasema amefundishwa...
6 Reactions
63 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Ex wangu ni nesi katika hospitali fulani hapa mjini. Tuliachana kwa masuala ya kawaida na wala si kwa ugomvi... Sasa leo nikiwa katika pilikapilika zangu na demu wangu mpya...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Haya nimeulizwa huku Kuna wale wana wapenzi wao wakati wanafanya tendo la ndoa uwa wanapenda kuongea ongea mpaka mwisho inaitwa dirty talk Kuna wale wapenzi ambao kwenye tendo la ndoa wanakaa...
1 Reactions
5 Replies
459 Views
Tumeozesha majuzi tu Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho? Ila jamaa hana furaha kabisa Ametutumia picha hii TikTok - Make Your Day
17 Reactions
136 Replies
5K Views
Eh, Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi, "Nimechoka kuitwa...
8 Reactions
138 Replies
3K Views
Idadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana. Saikolojia yangu...
23 Reactions
409 Replies
34K Views
Habari wana JF,ipo hivi Kuna binti mgeni hapa mtaani kwetu, aliletwa familia moja awasaidie kazi za ndani. Si mnajua Tena akija mwanamke mpya lazima wanaume waanze process za kumunyatia. kifupi...
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Habar ndugu zangu. Awa wanawake sijiu wanakuwa na shida gani.Yaani kuna muda hata huwezi elewa anataka nini kwako,ili mapenz yadumu. Anyway nimeachwa kisa anasema huwa simtafuti mara kwa mara...
11 Reactions
46 Replies
1K Views
1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private), 2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique. 3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa...
35 Reactions
357 Replies
20K Views
MKIGOMBANA NA MKEO, AKAENDA KWAO, USIMFUATE WALA USIMTAFUTE Anaandika Robert Heriel. Leo sina mengi ya kusema ndugu yenu. Nimefanya uchunguzi Kama mnavyonifahamu. Nikisemacho ni kweli tupu...
108 Reactions
367 Replies
34K Views
Back
Top Bottom