Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Weekend ndio hivyo imeshafika wandugu wa jukwaa hili habari zenu nyote. kama tittle inavyosema umeshawahi kukutana na situation gani ukasema hii ni HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA . Miaka flani...
7 Reactions
41 Replies
1K Views
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri. Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu...
53 Reactions
206 Replies
6K Views
KIUKWELI Mimi nmeshindwa, vishawishi nivingi hapa mjini, kwenye mitandao na mitaani ndio usipime, vishawishi ndio hatari kabisa. Natamani nitafute hata mganga aniloge niache tamaa ya kutaka Kula...
9 Reactions
87 Replies
2K Views
Habarini wakuu mimi kijana wa miaka 27 tu lakini nahisi mpaka sasa nimeshafanya mapenzi na wanawake idadi inakaribia 50 Najiuliza kwanini hii hali inanitokea siipendi naichukia yaan mwanzo wa...
13 Reactions
58 Replies
2K Views
Watakuja watu wajinga hapa kutetea wanawake wajawazito kutembeana na magauni ya nusu uchi siyo akili zao bali ni kiumbe kilichopo tumboni ila jiulizeni kwani Mama zetu hizo mimba hawakuzibeba...
18 Reactions
87 Replies
3K Views
Huo ndio ukweli, msiwe mnatishwa na machozi ya wanawake hata siku moja. Mwanamke ni mtu katili sana ambae anaweza kukushangaza matendo yake hadi ukaduwaa! Fikiria mtu anabeba mimba bila...
23 Reactions
89 Replies
2K Views
Habari kaka Magical power mimi ni mmoja wapo ninae fatilia sana Uzi zako pamoja na ushauri wako, mimi ni binti wa miaka 24 nlikuwa kwenye mahusiano lakini hayakuwa ya amani hivi baada ya kuondoka...
2 Reactions
21 Replies
860 Views
Sijawahi kutoa damu ila kwa hii hela mimi niogope kutoa damu iliweje. Fikiria ukitoa damu unapata dola 10. Nikitoa mara kumi nakuwa na dola 100. Sasa chukua dola mia, nikienda kumuua Yanga...
6 Reactions
12 Replies
827 Views
Rafiki yangu mwema yawezekana maisha unayoishi si maisha uyatamaniyo uje uyaishi 1. Yawezekana umeumizwa sana na yule mtu uliyemwamini sana, umepata hasara, umefail au yawezekana nuru na tumaini...
0 Reactions
0 Replies
166 Views
Nyie wenye birthday mwezi huu, mshukuru sana kilichofanyika valentine day ya mwaka uliozaliwa. #Madodi
1 Reactions
1 Replies
166 Views
Wakuu habarini za mchana. Ningependa kulifikisha hili swala kwenu hasa wataalam wa afya kama wapo humu. Kuna huu msemo kwamba "kama ina maji mchubuko hauwezi kutokea na huwezi kuunganishwa kwenye...
9 Reactions
95 Replies
3K Views
KISA CHA KWANZA Niliwahi kuwa na mahusiano na mwanamke na niliendekeza kumpenda kupindukia na hilo ndiyo lilikuwa kosa langu kubwa. Mwanamke alikuwa anapata pesa na vitu vingi vya garama tu na...
9 Reactions
12 Replies
2K Views
Hallo, nisamehe kwa kukupigia muda huu ila napenda nikuambie, nilikupenda, ninakupenda nitaendelea kukupenda leo na mpaka kesho. Furaha yangu haijawahi kudumu bila wewe, nakupenda hauko nami ila...
3 Reactions
11 Replies
680 Views
Wanaume wenzangu ebu tupeane ramani ya kudili na wanawake wenye drama,maana wengi wetu mnakufa kwa presha wakati familia zina wahitaji Wanawake wana namna nyingi sana za kuwachanganya...
12 Reactions
22 Replies
1K Views
Kama amedhamiria kweli kuondoka mwache aende. Wapo watu wengine kuondoka kwao ndio mwanzo wa maisha mengine mazuri zaidi nje ya huyo mtu aliyeondoka au uliyemuondoa Maana matokeo ya upendo wa...
3 Reactions
17 Replies
629 Views
Kuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda Unafikiri anakupenda wew? Kama...
10 Reactions
51 Replies
1K Views
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, wakati napanga vitu vitu ndani,kwenye mkoba wa Mke wangu nimekuta vipande viwili ya mawe kwenye mkoba wake. MWENYE UELEWA, NAOMBA ANISAIDIE HII
15 Reactions
111 Replies
3K Views
Kaka Magical power umeamkaje na familia yako Kaka naomba kuwaambia watu hasa wadada wenzangu wajifunze kukoment positive kuna faida kama kuna post unaona huwezi kuandika kitu achana nayo. Mimi ni...
1 Reactions
6 Replies
243 Views
Siri ya Mapenzi ya Kudumu: Je, Uko Tayari Kusamehe na Kuendelea? (Au Bado Umeshikilia Kaa la Moto?) Leo tuna story kali kuhusu mapenzi. Yaani, ile siri ya kuwa na uhusiano unaodumu kama betri ya...
1 Reactions
15 Replies
828 Views
Wasalam wana wa jukwaa. Ndugu zangu yapata siku kadhaa sasa nawaya waya nisijue la kufanya. Kwa muda mrefu nimeishi bila kazi ya maana zaidi ya kubeba zege kwenye makampuni ya ujenzi ya kichina...
28 Reactions
569 Replies
66K Views
Back
Top Bottom