Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani nimemaliza chuo fulani hapa degree maisha ya wadada wa vyuoni naipatapata, mchumba wangu pia kaenda chuo this year.. Je nina mtu hapo au nitafute mwenzangu aliyepo uraiani tuu?? Serious...
1 Reactions
133 Replies
11K Views
Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo? Wako wapi? Ama wanafanya nini kwa wakati huu? Walijiajiri ama kuajiriwa...
6 Reactions
19 Replies
823 Views
Habari zenu wana Jf, Nina mdogo wangu wa kike baba mmoja ila mama ndio tofauti, mzee alikua na wake wawili. Huyu binti alikuwa akifanya biashara za kusafiri kwenda Kampala na Nairobi kwa miaka...
12 Reactions
161 Replies
17K Views
Ohoo! Kwa masharti haya, jamaa kamix kinoma. Anauliza kila mtu kuwa "huyu mwanamke karogwa nini?" Mke naye haelewi, anadai huo upuuzi wa kunyonya na kuyashika manyonyo yeye hataki kwa kuwa huwa...
29 Reactions
173 Replies
5K Views
"Buy one - get one free" It may be a marketing gimmick. But it is true in real life in many sense and ways. We buy anger and get high blood Pressure free. We buy jealousy and get headache free...
0 Reactions
4 Replies
220 Views
Je unakumbuka siku ambayo ulifanya mapenzi na demu au mkeo,mpaka akakubali kuwa yes umepiga show ya kibabe Unakumbuka ulivyofanya? na wewe mwamke unakumbuka siku uliofanya mapenzi ama na mmeo au...
9 Reactions
125 Replies
4K Views
Katika harakati za kubeba boksi nikakutana na mama mmoja wa kitasha. Kimsingi kuna kitu nilikuwa nahitaji ila nilipungukiwa cash na sikuwa na card. Nikamwambia isiwe kesi niwekee nitakuja...
19 Reactions
23 Replies
1K Views
Kipindi nasoma shule, nilipata kumsoma jamaa anaitwa Plato. Sikumbuki mengi sana kumhusu, ila nakumbuka kauli yake "Love is serious mental disease" na hii nimeishuhudia mara mbili kama ifuatavyo...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Kwanza kama wewe mwanaume unatoaje? Eti 250k hivi yeye na yule wa buza kwa rulenge wana tofauti gani? ?????
0 Reactions
10 Replies
495 Views
Pichani ni wazazi wakiwa wamehudhuria mahafali ya kijana wao aliyehitimu mafunzo ya jeshi. Unaweza kuona namna wazazi walivyochakaa kwa kumpigania kijana wao afikie ndoto zake pengine wameuza hata...
9 Reactions
13 Replies
585 Views
Anueonghaseyoooooooooooooooooooooooooo! Kutokana na watu kusafiria nyota yangu any allegations against me nazijibu kwa thread! Siendi kwenye thread ya mtu maana nakujazia trafic, unapata...
8 Reactions
563 Replies
33K Views
Wakikojoa wanajifuta na tishu, lakini mbususu inalambwa mpaka basi. Vinyeo vyao navyo hufutwa na tishu tu baada ya kujisaidia kubwa lakini vinalambwa mpaka basi. WAPOJE HAWA KWANI...
18 Reactions
121 Replies
3K Views
Habarini na poleni na majukumu Uzi huu nimeandika kutokana na mada mbalimbali nilizokutana nazo zinazohusu mahusiano ya kindoa juu ya single mothers Kwanza kabisa inabidi nitoe sababu chache za...
19 Reactions
95 Replies
7K Views
Kifupi tu nilikutana na Binti mtaani nikashoboka namba, akanipa mtoto ni pisi iliyonyooka mavaz juu kafunika Hadi macho(ila si muislam) Nikaomba urafiki akanikubalia, nikaenda chapu kwenye lengo...
10 Reactions
38 Replies
1K Views
Mambo vipi wakubwa. Ebana tuna siku ya tatu hatuongei na wife,sababu kubwa ni siku ya jumapili sikujua kama alipotoka church alipitia bar jirani na wanakwaya wenzie wakawa wanakunywa soda. Basi...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Ningeulizwa Version sahihi ya mwanamke Africa mashariki na Kati inapatikana wapi bila kupoteza muda najibu ni RWANDA alafu ningeulizwa Why? Maelezo yangu yangekuwa haya Of course sitaki kuponda...
3 Reactions
43 Replies
10K Views
Habarini wadau wa jukwaa hili, nimepata wasiwasi baada ya kuzidi kwa vitendo ambavyo sivielewi kwa mwenza wangu. Kwanza amekuwa akidai nimpe T-shirt zangu na nimempa kadhaa kwani nilijua ana...
13 Reactions
144 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu. Naomba ushauri wa namna ya kuweza kuendelea na mahusiano na mwanamke mwenye hasira za karibu sana hata kwa jambo ambalo halina maana ya mtu kukasirika. Mana naona uvumilivu...
2 Reactions
15 Replies
827 Views
Je Wajua? Number Plate(Plate Number) Kwa mujibu wa kiswahili fasaha huitwa KIBANA? Chukua hiyo,huishi nayo! Kabla ya ndoa mara nyingi wanaume wanataka kupima kama yaliyomo yamo,siyo mtu...
0 Reactions
3 Replies
343 Views
Habari wakuu, Nipeni ushauri juu ya huyu mke amekuwa na tabia kuwa jambo tunalojadili mimi na yeye kisha yeye kumpelekea mama yake na mama yake kuyasema kwa ndugu zake. Ndugu hao hao wa ndani...
9 Reactions
111 Replies
9K Views
Back
Top Bottom