Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Naitwa dany from singida tanzania (25) naitaji rafiki wa jinsia yyt kunzia 18-25. Mtu awe serious na anaejitambua kwaajili yakupeana company (0746893854) whatsap
3 Reactions
9 Replies
258 Views
Wandugu habari zenu, napitia wakati mgumu kimaisha na mke WANGU kwakweli nimeishi nae miaka 17 bila shida yeyote lakini hivi karibuni amekuwa na mambo tofauti sana. Wiki iliyopita aliomba ruhusa...
45 Reactions
267 Replies
13K Views
Kuna mbaba hapa kapiga mkewe nusu kufa kisa tu mkewe kamfatilia mumewe na kumkuta yupo na kidumu. Mkewe akaanza kumshambulia hiko kidumu cha mumewe weeee mwanaume alimtukana tukana mkewe...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
On and on. ...... What would you do To get to me What would you say To have your way Would you give up Or try again If I hesitate To let you win Or would you be yourself Or play your role Tell...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
wakuu habari za uzima? Mimi na mke wangu niseme watu tunaopenda sana kusoma vitabu, sasahivi tuna mtoto mmoja handsome boy linanipa faraja sana na kunifanya niendelee kupambana. Niseme katika...
29 Reactions
227 Replies
28K Views
Salamu wana jf. Kwakweli hii tabia ya rafiki yangu imekuwa sasa kama maradhi kwake, huyu rafiki yangu ana mke tatizo lake kubwa hutongoza wanawake na kutangaza ndoa. Sasa kuna wanawake kama watano...
3 Reactions
91 Replies
7K Views
Kila mtu ana kitu ambacho ni muhimu kwake kabla ya kulala na baada, au awapo safarini, sasa leo niambie ni nini ambacho usipokifanya huwezi kulala au kuondoka home asubuhi baada ya kuamka...
4 Reactions
183 Replies
14K Views
Umekulia huku kwetu Kwamtogole, ukiwa A level ulikutana na huyu binti anatoka ushuani. Alikusaidia sana katika maisha ya shule, alihakikisha unapata extra tuition na past papers mpaka umetoboa...
17 Reactions
89 Replies
8K Views
Dawa ya kuacha punyeto hii hapa Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu. Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku...
1 Reactions
36 Replies
1K Views
Acha kabisa hii maneno Kuteseka ni lazima kwa mama hata kwa baba pia Huruma zaidi huja pale mimba inapomgeukia baba na kuwa kama yeye ndio kaibeba! Yaani vichefu chefu vyote yeye malimao mbilimbi...
16 Reactions
142 Replies
25K Views
Daaah!! Wadada mnakwama wapi lakini?? Hivi huwa mnatafuta nn? Kwann tunaenda kinyume na uumbaji wa mwenyezi Mungu?? Wadada wenye hii tabia au ambao wanafikiria kufanya vitu kama hivi, hebu...
3 Reactions
46 Replies
46K Views
Women don't have have a problem with a broke man,they have a problem with a man who's comfortable being broke......Kwa lugha nyingine mwanamke anathamini na kuheshimu 5000 ya mpambanaji kuliko...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Mabibi na Mabwana wote mko huru kuchangia katika uzi huu.... Kuachilia chura.. Ila paja la mwanamke hutumaliza sana sisi wanaume.. Vaa uwezavyo ichonge chura uwezavyo...ila Paja halina mpinzani...
9 Reactions
121 Replies
43K Views
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..?????? Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao...
26 Reactions
177 Replies
15K Views
Ukimfumania mke au mume / mpenzi wako chumbani kitu gani cha kwanza kukifanya wewe? Naanza mimi nitanyanyua mtungi wa gas nawarushia 😁
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu Je, ni lazima mke amuombe ruhusa mumewake Ili aweze kwenda Kwa msiba wa mama yake mzazi? Je Mumewe anayo haki ya kumkatalia ombi...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
Na hili nimeshuhudia kwa marafiki zangu wengi weusi, rangi nyeupe zinawazuzua mno, KWANINI? Binafsi mimi ni mwanaume mweupe, kusema kweli katika maisha yangu hasa ya ujana nilipenda zaidi...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Nimefanya kazi na mume wangu pia, anafanya kazi serikalini, kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na...
58 Reactions
336 Replies
28K Views
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta...
10 Reactions
30 Replies
799 Views
Back
Top Bottom