Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wapendwa nawasalim. Katika hali ya u serious natafuta binti makini kwa ajili ya urafiki na ikipendeza kua nae kwenye mahusiano yenye future. Itapendeza sana muhusika akiwa na miaka 24 - 29. Na...
2 Reactions
12 Replies
293 Views
Marry Christmas to everyone in here.. Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi...
98 Reactions
416 Replies
68K Views
Nilitandika vibinti enzi hizo,na vikazaa hovyo tu,. Mi nikaendelea tu kibabubabu na kibibibibi. Mi ndoa nilishakataa. Sasa X zaidi ya saba wanataka kurudi ntawapeleka wapi? Huku nna x wa mwisho...
1 Reactions
1 Replies
167 Views
Wanawake waliojitunza vyema huzaa watoto waliofanana na baba zao. Kinyume na hapo mwanaume mwenzangu ujue umeoa kicheche mstaafu. Huu ndiyo ukweli mchungu kwa wanaume walio wengi.
1 Reactions
8 Replies
311 Views
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto. Big up kwa...
55 Reactions
314 Replies
7K Views
Kama kuna watani wa jadi wengine wasiotajwa sana basi ni hizi mbari mbili Mabinti under 25 Wamama( mashangazi) over 40 Kesi ya binti under 18 aliyebakwa na kulawitiwa na vijana under 30 Refer...
16 Reactions
45 Replies
3K Views
Mwenzenu Mangi nimepigwa na kitu kizito. Yaani siamini. Nimekuwa na kiherehere cha kuwatetea wanawake kwenye karibu kila nyuzi zinazomponda mwanamke lakini hivi karibuni nimepigwa tukio hadi...
21 Reactions
90 Replies
3K Views
Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke...
11 Reactions
95 Replies
4K Views
Habari wadau Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira...
22 Reactions
270 Replies
5K Views
Simple as that. Tusilaumiane . Watu tunaoa tulio kuwa nao. Enzi hatuna kitu, and we still don't have enough , they still love and support us to this day. Mtu anashinda hotelini, Anashituka 30s...
31 Reactions
105 Replies
5K Views
Kuna maeneo ukipita usiku ni kama yamehalalishwa kwa ajili ya biashara ya ukahaba (Ngono) na mida ya saa mbili ukipita nyuma ya stand ya Nyegezi iliyopo Mwanza utadhani kuna shule ya wanafunzi wa...
12 Reactions
148 Replies
40K Views
Huyu mshikaji wangu wa pili ana oa mtoto wa kibopa. Yani pisi ya kawaida sana to the point tunajua amefata life completion na connection. Wakwanza alioa pisi moja ni zaidi ya kawaida ila sherehe...
25 Reactions
115 Replies
6K Views
Kuna ujinga unakuta mtu anasema naoa au naolewa sababu namhurumia huyo mtu ninayemuoa au ninayeolewa naye. Usioe au kuolewa sababu unamhurumia huyo mtu, oa au olewa sababu unampenda huyo mtu...
8 Reactions
31 Replies
513 Views
Umaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka. Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Wangapi wamewahi kuwakomoa wasichana wakati wa kufanya mapenzi? Na mliowakomoa in which ways? Na nini sababu ipi iliwapelekea kukomoa?
13 Reactions
576 Replies
197K Views
Binafsi demu wa mwisho kumtongoza ana kwa ana [jicho kwa jicho] nilimtongoza 2007 Ila mpaka sasa natongozea vidole kwa msaada wa simu wewe bado unaendelea kutongoza/kutongozwa ana kwa ana?
4 Reactions
58 Replies
14K Views
Kuna vitu vinachosha sana. Mtu anakuona anasema “ Una macho mazuri” au una vidole vya kike (sababu ni vizuri), Au anakuangalia anasema unanywele laini lama za mwanamke. Sasa kwani wanaume ndo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine. Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada...
24 Reactions
229 Replies
12K Views
Habari zenu wadau natumai siku kwenu inaenda vizuri. Leo ningependa kuongelea kidogo kuhusu sisi wadada warefu ambao tupo wachache Tanzania. Binafsi mimi nina urefu wa 5'10 1/2 (178cm) na hii...
61 Reactions
509 Replies
73K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…